kamala harris

Kamala Devi Harris ( (listen) KAH-mə-lə DAY-vee; born October 20, 1964) is an American politician and attorney who is the 49th and current vice president of the United States. She is the first female vice president and the highest-ranking female official in U.S. history, as well as the first African American and first Asian American vice president.A member of the Democratic Party, she served as a United States senator from California from 2017 to 2021, and as the attorney general of California from 2011 to 2017. Harris became vice president upon inauguration in January 2021 alongside President Joe Biden, having defeated the incumbent president, Donald Trump, and vice president, Mike Pence, in the 2020 election.
Born in Oakland, California, Harris graduated from Howard University and the University of California, Hastings College of the Law. She began her career in the Alameda County District Attorney's Office, before being recruited to the San Francisco District Attorney's Office and later the City Attorney of San Francisco's office. In 2003, she was elected district attorney of San Francisco. She was elected Attorney General of California in 2010 and re-elected in 2014. Harris served as the junior United States senator from California from 2017 to 2021. Harris defeated Loretta Sanchez in the 2016 Senate election to become the second African American woman and the first South Asian American to serve in the United States Senate. As a senator, she advocated for healthcare reform, federal de-scheduling of cannabis, a path to citizenship for undocumented immigrants, the DREAM Act, a ban on assault weapons, and progressive tax reform. She gained a national profile for her pointed questioning of Trump administration officials during Senate hearings, including Trump's second Supreme Court nominee Brett Kavanaugh, who was accused of sexual assault.Harris sought the 2020 Democratic presidential nomination, but withdrew from the race prior to the primaries. Biden selected her as his running mate in August 2020, and their ticket went on to win the general election in November. She assumed office as vice president of the United States on January 20, 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. Suley2019

    Obama kumpigia kampeni Kamala Harris

    Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, anajiandaa kufanya kampeni kwa ajili ya Makamu wa Rais Kamala Harris katika juhudi za mwisho kuelekea uchaguzi. Obama, ambaye ni Kiongozi mashuhuri wa Chama cha Democratic, ataanza kampeni zake kwa Harris Alhamisi ijayo huko Pittsburgh, huku akipanga...
  2. Mindyou

    Maafisa usalama zaidi ya 700 wamuunga mkono Kamala Harris dhidi ya Trump kwenye Uchaguzi mkuu Marekani 2024

    Mbio za kampeni za uchaguzi nchini Marekani zimeendelea kuwa sukari na hii ni baada ya maafisa takriban 700 wa usalama wa kitaifa na wanajeshi nchini humo kumuidhinisha na kumuunga mkono Kamala Harris kwenye mbio zake za Urais dhidi ya Donald Trump. Kupitia barua yao ya pamoja, maafisa hao wa...
  3. Mindyou

    Shambulio la risasi laitikisa Ofisi ya Kampeni ya Kamala Harris huko Arizona. Polisi watoa tamko!

    Ofisi ya kampeni ya mgombea urais wa Marekani, Kamala Harris, huko kwenye mji wa Phoenix ilishambuliwa kwa risasi na kusababisha uharibifu kwa majengo na madirisha huku hakuna majeruhi walioripotiwa. Tukio hilo lilitokea usiku wa manane, siku chache kabla ya ziara ya Harris jimboni humo, na...
  4. L

    Watanzania mnajifunza nini kwa Taifa letu juu ya andiko hili la Kamala Harris Mgombea Urais wa Marekani kupitia Democrat?

    Ndugu zangu Watanzania, Kila siku huwa ninawaambia na kuwaelekeza mambo mengi sana juu ya changamoto katika uongozi.huwa ninawaambia kuwa changamoto huwa hazikosekani. lakini kikubwa kinachopaswa kuangaliwa ni dhamira ,nia na hatua zinazochukuliwa katika kutatua na kumaliza changamoto na kero...
  5. Yoda

    Utawala wa Democrats watuhumiwa kukandamiza uhuru wa kujieleza Marekani

    Raia mmoja wa Marekani ameonekana katika video clip mtandaoni Twitter akibishana na baadaye kuwatimua maafisa wa FBI waliofika nyumbani kwake kufanya mahojiano naye kuhusu chapisho lake katika mtandao wa X lililosema "Mtu yeyote atakayemuua Kamala Harris atakuwa shujaa wa Marekani" ========...
  6. bahati93

    Sauti ya Kamala Harris kinanda masikioni mwangu

    Wallah! sauti ya Kamala imenikosha sana, kabda akilini mwangu nilikosa sauti nzuri kutoka kwakwe nyingi ya sauti zake nilizowahi kumsikiliza nilimwona kama mtu anayeongelea puani kitendo kilichokuwa kinanikera. Sasa bwana hii Debate aliyofanya majuzi kati yake na Trump imebadilisha kabisa...
  7. Zanzibar-ASP

    Trump atangaza kutoshiriki tena midahalo ya urais

    Mgombea urais wa chama Republican huko USA, Donald Trump ametangaza rasmi kususia midahalo yoyote ya urais inayomkutanisha na Kamala Harris. Uamuzi huu umekuja siku moja tu baada ya Trump kuhenyeshwa vibaya na mpinzani wake wa chama cha Democrat, mwanamama Kamala Harris kwenye mdahalo wa kwanza...
  8. Zanzibar-ASP

    Midahalo hata irudiwe mara kumi, kiufundi Trump hataweza kumshinda Harris katika mdahalo!

    Mdahalo wa kwanza baina ya Donald Trump na Kamala Harris katika kinyang'anyiro cha urais wa USA umefanyika usiku wa kuamkia leo huko marekani, baadhi yetu tulifanikiwa kuufatilia kwa kina katika kujifunza nk. Mbali na sera za wagombea kuna vitu vingi mnoo huangaliwa katika midahalo hiyo ili...
  9. Webabu

    Kamala Harris aahidi kuendelea kuilinda Israel

    Kwenye mdahalo wa wagombea uchaguzi huko Marekani uliofanyika hapo jana,mgombea uraisi kupitia chama cha Democratic, Kamala Harris ameahidi kuendelea kuipa nguvu Israel kuendelea kujilinda dhidi ya maadui na jirani zake. Katika mdahalo huo bi Kamalla pamoja na ahadi hiyo amejidai anataka vita...
  10. JanguKamaJangu

    Kamala, Trump wavutana katika Mdahalo wao, kila upande wadai umefanya vizuri

    Harris campaign wants a second debate Harris’s campaign has almost immediately called for a second debate against Trump. “Under the bright lights, the American people got to see the choice they will face this fall at the ballot box: between moving forward with Kamala Harris, or going backwards...
  11. The Palm Beach

    USA Pesidential debate today: Kamala Harris (Democrats) vs Donald Trump (Republican): Hizi ndizo sheria na kanuni za mdahalo huu

    Mdahalo (debate) utaanza saa 10:00 alfajiri ( Saa za Afrika Mashariki) siku ya Jumatano na itaenda hadi around saa 12asubuhi.. Kwa watakaotaka kufuatilia, TVs zote za dunia CNN, BBC, FOX NEWS, ALJAZEERA, CBS, ABC, SABC, SKYNEWS nk nk zitarusha live mdahalo huo...
  12. GENTAMYCINE

    Mdahalo wa Dunia kati ya Harris na Trump: Muda kamili kwa saa za Afrika Mashariki huu hapa

    Mdahalo huu mkubwa sana na Unaosubiriwa na Watu wenye Akili Kubwa (tulio na Akili zilizotukuka) utaanza Saa 10 Kamili Alfajiri (Kesho Jumatano) na kumalizika Saa 11 na Nusu. Haya mtaarifu na Mwenzako kuhusiana na huo muda na wale Wenzangu tusiojua Kiingereza tuhakikishe Kamusi za TUKI hazikai...
  13. G

    Mambo yalikuwa ni magumu sana kwa Iran awamu ya Trump. Walibanwa kisawasawa, wanaombea Kamala aendelee kuwapa ulaji baada ya Biden

    Iran ilikuwa dhaifu na imefilisika awamu ya Trump, Iran imekuwa tajiri na yenye jeuri ya pesa za kufadhili vikundi vya kigaidi awamu ya Biden. Trump aliiwawekea vikwazo vikali mno Iran ili wasiuze mafuta, Mkakati huu uliwafanya Iran wawe wamenyongonyea kiuchumi, Hawakuwa na nguvu wa la jeuri...
  14. Mindyou

    Hawa ndo Marais wabovu zaidi kuwahi kutokea Marekani. Donald Trump yupo kwenye top 3

    Wakuu habarini za muda huu, Kwenye raundi zangu mbili tatu huko mtandaoni, nilikutana na article kutoka CBS News ambayo inaelezea wakina nani walikuwa na marais wabovu zaidi kuwahi kutokea Marekani, tangu nchi hiyo kupata uhuru mwaka 1776. Kulingana na CBS News, Rais mbovu na dhaifu kuwahi...
  15. ward41

    Trump sijui atatoboa, Kura za Maoni zinamkataa

    Safari ya Donald Trump kuelekea White House bado ngumu Bado Republican Walikosea kumsimamisha Trump. Alikutana tu na weak opponent Joe Biden. Sasa anapambana na mtu mwenye misuli ya Kisiasa na Mwanasheria. Ni ngumu Sana Kutoboa
  16. B

    Makamu wa Rais wa zamani, Cheney (Republican) kumpigia kura Kamala Harris

    Hii ndiyo ile maana kamili ya vyama kutokuwa mama wa waungwana: Uwaambie nini wale chawa kindaki ndaki wa pande za kwetu? Kwamba hayapo wanayosimamia ila vyama.
  17. Mindyou

    Donald Trump: We hata kama hunipendi, nipigie tu kura

    Uwanja wa siasa nchini Marekani umezidi kuchangamka na hii ni baada ya mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump, hivi karibuni kusema kuwa hata kama humpendi yeye kama yeye ni muhimu sana kumpigia kura. Trump aliyasema hayo kwenye jimbo la Pennsylvania huko nchini Marekani akiwa kwenye...
  18. Tea Party

    Kitakachompa urais Trump mwaka huu ni sakata la wahamiaji haramu

    Habari zenu wanajamvi. Mko vizuri? Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani. Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa 2000 watakuwa wanafahamu. Wengi wasichofahamu ni kuwa karibu kila opinion poll Marekani inatabiri kuwa...
  19. Webabu

    Trump hatashinda japo na Kamala Harris hatauweza urais wa Marekani kipindi ambapo taifa hilo linadidimia

    Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani. Historia ya maisha yake ya kihuni na kupenda ubaguzi pamoja na uadui kwa waislamu hautamuwezesha Donald Trump kurudia kwenye...
  20. G

    Poll: Trump kamgaragaza Kamala Harris kwa 78% kwa zaidi ya kura milioni 1 huko X (Twitter)

    Updated - Kura zaidi ya milioni 4 na laki 3 zimepigwa TRUMP ANAONGOZA KWA ASILIMIA 74 Pia soma: LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Back
Top Bottom