kamala harris

Kamala Devi Harris ( (listen) KAH-mə-lə DAY-vee; born October 20, 1964) is an American politician and attorney who is the 49th and current vice president of the United States. She is the first female vice president and the highest-ranking female official in U.S. history, as well as the first African American and first Asian American vice president.A member of the Democratic Party, she served as a United States senator from California from 2017 to 2021, and as the attorney general of California from 2011 to 2017. Harris became vice president upon inauguration in January 2021 alongside President Joe Biden, having defeated the incumbent president, Donald Trump, and vice president, Mike Pence, in the 2020 election.
Born in Oakland, California, Harris graduated from Howard University and the University of California, Hastings College of the Law. She began her career in the Alameda County District Attorney's Office, before being recruited to the San Francisco District Attorney's Office and later the City Attorney of San Francisco's office. In 2003, she was elected district attorney of San Francisco. She was elected Attorney General of California in 2010 and re-elected in 2014. Harris served as the junior United States senator from California from 2017 to 2021. Harris defeated Loretta Sanchez in the 2016 Senate election to become the second African American woman and the first South Asian American to serve in the United States Senate. As a senator, she advocated for healthcare reform, federal de-scheduling of cannabis, a path to citizenship for undocumented immigrants, the DREAM Act, a ban on assault weapons, and progressive tax reform. She gained a national profile for her pointed questioning of Trump administration officials during Senate hearings, including Trump's second Supreme Court nominee Brett Kavanaugh, who was accused of sexual assault.Harris sought the 2020 Democratic presidential nomination, but withdrew from the race prior to the primaries. Biden selected her as his running mate in August 2020, and their ticket went on to win the general election in November. She assumed office as vice president of the United States on January 20, 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Rais Samia ampokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Ikulu Dar es Salaam leo Machi 30, 2023

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Ikulu Dar es salaam leo Machi 30, 2023 Rais Samia ameishukuru Serikali ya Marekani kupitia misaada na uwezekaji wa aina mbalimbali unaofanyika nchini. Serikali ya Tanzania...
  2. Justine Marack

    BRICS pigo kwa Marekani. Kamala Harris atembelea Afrika kimkakati

    BRICS imekua ni gumzo huko MAREKANI. Huku kukiwa na hofu ya MAREKANI kupoteza ushawishi Duniani. Inatarajiwa nchi nyingi za Asia zinazo zalisha mafuta zimeomba kujiunga na BRICS. Pia nchi zote za Africa zikiongozwa na South Africa zitajiunga. Marekani amepoteza ushawishi Saud Arabia. Na kufanya...
  3. Mpinzire

    Ndege ya Air Tanzania yazuiliwa kuingia katika anga sababu ya ndege ya Kamala Harris

    Hizi ndizo habar za muda huu! Ndege ya Air Tanzania aina ya Airbus A220-300 yenye usajili wa namba 5H-TCM ikiyotokea Mbeya kuja Dar es Salaam imepigwa stop kuingia katika anga la Dar es Salaam mpaka Vice President wa Marekani atue na ashuke kabisa. Kwa mliopo katika mtandao wa Flight Reader...
  4. M

    Kwanini Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris anafanya ziara yake nchini Tanzania?

    Leo Taifa la Tanzania litampokea Makamu wa Rais wa Marekani Bi Kamala Harris ambaye atafanya ziara ya siku tatu nchini ikiwa na lengo la kuimarisha Mahusiano baina ya Tanzania na Marekani. Yapo masuala mbalimbali yaliyochagiza ujio wa Bi Kamala nchini Tanzania ikiwemo: 1: Kuimarika kwa...
  5. ChoiceVariable

    Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Kumpokea Kamala Harris leo 29 Machi, 2023

    Naona Itifaki imezingatiwa. VP Kwa VP. MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango leo anatarajiwa kumpokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) mkoani Dar es Salaam. Serikali kupitia kwa Msemaji wake mkuu, Gerson Msigwa imemkaribisha...
  6. TODAYS

    Kamala Harris karibu Tanzania ila usitupige chenga kama Wazambia, au umekosea?

    Amani kwako mdau. Direct kwenye topic; Huyu mama dada yangu Kamara Harris ametua Zambia na kufanya kilichompeleka kwa mjoli mwenzangu Rais wa Zambia Mh. Hichilema. Mara baada ya purukushani kadhaa huyu mama akadai miaka ya 1960, babu yake mzee Gopalan aliyewahi kuishi nchini humo baada ya...
  7. N

    Ujio wa Makamu wa Rais wa Warekani sio bahati mbaya

    Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya! Rais Samia Suluhu amerudisha sana heshima ya Tanzania kwenye diplomasia na sasa imerejea mahali pake, Serikali ya awamu ya tano ilififisha mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kuimarisha...
  8. Anna Nkya

    Karibu Kamala Harris, Asante Rais Samia Suluhu

    Kuna kipindi Rais Samia alienda Marekani, halafu ikatokea kwamba hajafika Ikulu ya Marekani. Baasi humu mitandaoni akaanza kushambuliwa hasa na watu wa CHADEMA kwamba hajaonana na viongozi wakuu wa Marekani kisa Tanzania hakuna demokrasia. I dont think kama walisema kweli ila sawa hakwenda...
  9. D

    Ujio wa Kamala Harris Tanzania inaweza kuwa ni shubiri kwa nchi yetu

    Kwa maoni yangu, ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani Tanzania kwa zaidi ya 75% inaweza kuwa ni JANGA kwa Tanzania. (1) Kiongozi wa Marekani kufanya ziara ya siku 3 Tanzania, faida yake inaweza kuwa ni ndogo zaidi kuliko hasara. (2) Bush aliyekuwa Rais wa Marekani wakati huo aliwahi kufanya ziara...
  10. sinza pazuri

    Epuka matapeli. Kamala Harris hamjui msanii yoyote kwenye playlist inayozunguka

    Huo ni mchongo wa kuokota trend songs za wiki hii huko apple music kisha unadanganya waafrica. Hauitaji kuwa genius kuona ilo. Wabongo tupige kazi tuufikishe mbali muziki wetu safari yetu bado ni ngumu. Huyu mmoja anaetuwakilisha nje siku hatokuwepo na tutarudi enzi za dharau. Say no tu janja...
  11. BARD AI

    Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris awataja Harmonize, JUX, Darasa, Zuchu, Alikiba, Mbosso, Jay Melody, Marioo na Platform kwenye Playlist yake

    Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ametoa Spotify playlits yake ya nyimbo 25 za Wasanii wa Afrika ambazo anazikubali ambayo ameipa jina la “Safari Zangu: Ghana, Tanzania na Zambia”, kama sehemu ya kukuza muziki na kuwapa hamasa zaidi Wasanii wa Afrika wakati huu ambapo anafanya ziara...
  12. Carlos The Jackal

    Ukraine hapumui kwa sasa, silaha mpya za wa Magharibi zinawahitaji wapate muda mwingi wa kujifunza

    Ukraine kama Nchi ilotokana na USSR, Hawa Hadi Leo hii Asilimia kubwa ya Silaha zao ni za Kisovieti . Ukraine hapumui Kwa Sasa, Silaha Mpya za wa Magharibi zinawahitaji wapate muda mwingi wa kujifunza. CIA kupitia washirika wake Duniani kote, Kwa Sasa wanaendesha Operesheni Dunia nzima hasa...
  13. chiembe

    Ndugu zangu Wahaya, tuache upotoshaji, Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris hana asili ya Kanyigo, Bwanjai wala Kanyangereko

    Baada ya nchi kupata taarifa za ugeni wa Makamu wa Rais wa Marekani, ndugu zetu wahaya wameanza propaganda kwamba huyu mama ana asili ya mkoa wa Kagera, natumia fursa hii kuweka wazi kwamba hana nasaba yoyote na Mkoa wa Kagera.
  14. K

    THRDC: Ujio wa Kamala Harris ni matokeo ya kuimarika kwa Haki za Kibinadamu na Utawala Bora

    Mratibu wa mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa anasema ziara zozote za viongozi wakubwa zinakuwa na manufaa ya kuboresha uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizo na kwamba Tanzania imekua kwenye nafasi nzuri. "Viongozi hawa wakuu wanapopanga ziara zao...
  15. kmbwembwe

    Nawaza kitakachotokea ziara ya Kamala Harris

    Atamsifia Samia kwamba kaimarisha demokrasia na kwamba kaleta haki za binadamu na karuhusu upinzani kufanya mikutano. Samia atavimba kichwa na kufurahi kusifiwa na makamu wa rais wa Marekani kumbe wananchi shida yao ni uchumi. Kamalla atapiga vijembe awamu ya tano na kujidai hali ya Tanzania...
  16. Ex Spy

    Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

    United States Vice President Kamala Harris will be the 18th and most senior American official to visit Africa this year in late March. The tour to Ghana, Tanzania, and Zambia was scheduled for 25 March to 3 April. This visit will be the most high-profile as the US and Russia go pound-for-pound...
  17. Kijakazi

    #COVID19 Makamu Rais wa Marekani, Kamala akutwa na maambukizi ya Uviko-19 licha ya kuchanja mara mbili

    Makamu wa Rais wa USA Kamala Harris tests positive with Corona virus … ======= (CNN)Vice President Kamala Harris tested positive for Covid-19 on Tuesday after returning from a weeklong trip to California. "Today I tested positive for COVID-19. I have no symptoms, and I will continue to...
  18. beth

    Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris apigwa marufuku kuingia Urusi

    Marufuku ya kuingia Nchini Urusi sasa itawajumuisha Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg pamoja na Maafisa, Wafanyabiashara na Wanahabari wengine 27 kutoka Taifa hilo Serikali ya Urusi imesema Watu hao wamezuiwa kuingia Nchini humo kwa muda...
  19. N

    What’s your opinion of Kamala Harris

    Kamala Harris tangia awe Vice President amegeuka kuwa kichekesho Kwa nini ??
  20. The Boss

    Kamala Harris atarithi Urais kama Samia Suluhu?

    For some reason naona Kamala atakuja kurithi Urais kama Samia. Sioni how Biden atafikisha miaka nane Ikulu..unless otherwise wasipate second term.
Back
Top Bottom