kanuni

Suleiman I (Ottoman Turkish: سلطان سليمان اول‎ Sultan Süleyman-ı Evvel; Turkish: Birinci Süleyman, Kanunî Sultan Süleyman or Muhteşem Süleyman; 6 November 1494 – 6 September 1566), commonly known as Suleiman the Magnificent in the West and Kanunî Sultan Süleyman (Ottoman Turkish: قانونى سلطان سليمان‎; "Suleiman the Lawgiver") in his realm, was the tenth and longest-reigning Sultan of the Ottoman Empire from 1520 until his death in 1566. Under his administration, the Ottoman state ruled over at least 25 million people.
Suleiman succeeded his father as sultan in September 1520 and began his reign with campaigns against the Christian powers in central Europe and the Mediterranean. Belgrade fell to him in 1521 and Rhodes, long under the rule of the Knights of St. John, in 1522–23. At Mohács, in August 1526, Suleiman broke the military strength of Hungary, with the Hungarian king Louis II losing his life in the battle.
Suleiman became a prominent monarch of 16th-century Europe, presiding over the apex of the Ottoman Empire's economic, military and political power. Suleiman personally led Ottoman armies in conquering the Christian strongholds of Belgrade and Rhodes as well as most of Hungary before his conquests were checked at the Siege of Vienna in 1529. He annexed much of the Middle East in his conflict with the Safavids and large areas of North Africa as far west as Algeria. Under his rule, the Ottoman fleet dominated the seas from the Mediterranean to the Red Sea and through the Persian Gulf.At the helm of an expanding empire, Suleiman personally instituted major legislative changes relating to society, education, taxation and criminal law. His reforms, carried out in conjunction with the empire's chief judicial official Ebussuud Efendi, harmonized the relationship between the two forms of Ottoman law: sultanic (Kanun) and religious (Sharia). He was a distinguished poet and goldsmith; he also became a great patron of culture, overseeing the "Golden" age of the Ottoman Empire in its artistic, literary and architectural development.Breaking with Ottoman tradition, Suleiman married Hürrem Sultan, a woman from his harem, an Orthodox Christian of Ruthenian origin who converted to Islam, and who became famous in the West by the name Roxelana, purportedly due to her red hair. Their son Selim II succeeded Suleiman following his death in 1566 after 46 years of rule. Suleiman's other potential heirs, Mehmed and Mustafa, had died; the former had died from smallpox, and the latter had been strangled to death 13 years earlier at the sultan's order. His other son Bayezid was executed in 1561 on Suleiman's orders, along with Bayezid's four sons, after a rebellion. Although scholars no longer believe that the empire declined after his death, the end of Suleiman's reign is still frequently characterized as a watershed in Ottoman history. In the decades after Suleiman, the empire began to experience significant political, institutional, and economic changes, a phenomenon often referred to as the Transformation of the Ottoman Empire.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Headline: Kanuni ya mawakala kutopewa fomu ya matokeo ni batili na ipuuzwe hivi

    Raha ya uchaguzi huu ni pamoja na tunavyoelimika. Mimi leo naelimisha jambo moja tu nalo ni kanuni mpya za uchaguzi wa mwaka huu. Kabla ya kuongelea kanuni hizo tujikumbushe siku ya kupiga kura huwa inaendaje. Katika chaguzi zilizopita watu wakishamaliza kupiga kura kura zinaanza kuhesabiwa...
  2. PAZIA 3

    Uchaguzi 2020 Je, Tume yaUuchaguzi inaweza kushitakiwa Mahakamani kwa kukiuka Sheria za Uchaguzi au viongozi wake wanaweza kuwajibishwa na Kamati ya Maadili?

    Kila mtu anashuhudia mambo yanavyoendelea, kwa uelewa wangu wa katiba ya nchi hii, mwenye kinga ya madaraka ni Rais pekee, He vipi kuhusu watendaji wa Tume ya uchaguzi, hawawezi kuburuzwa korotin kwa kukiuka Sheria na Kanuni za Uchaguzi zilizoweka kwa mujibu wa katiba ya nchi hii? Nani mwenye...
  3. General Mangi

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Sijapokea wito kutoka Tume ya Uchaguzi. Sitarajii kuacha Kampeni kwa kuitikia wito kutoka mitandaoni

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema hajapokea malalamiko yoyote kuhusiana na uchaguzi na hajapokea wito wowote wa kufika tume zaidi ya kusikia kwenye mitandao. Hivyo hawezi kuacha Kampeni kwa maneno ya mitandaoni ===== => Sijapokea malalamiko yoyote juu ya jambo lolote linalohusiana na...
  4. Dam55

    Uchaguzi 2020 Wapinzani Kama Tume si huru kwanini mmekubali kushiriki na kusaini kanuni za uchaguzi?

    Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi. Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru? Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru? Sasa...
  5. Cannabis

    Je, kanuni na sheria za Uchaguzi kwa taifa letu zinaruhusu mtu mwenye uraia pacha kugombea nafasi nyeti ya urais?

    Wakuu leo katika press conference ya Ndugu Humphrey PolePole nimemsikia akisema kwamba ana taarifa kwamba kuna mgombea wa Urais ameshapata uraia wa nchi nyingine, ndio maana anachochea watu kufanya vurugu baada ya uchaguzi. Je, sheria na kanuni za uchaguzi mkuu wa nchi yetu zinaruhusu mtu aliye...
  6. Chief Wingia

    Utaratibu wa kulazimisha mtoto wa kwanza kuanza kufunga ndoa kwanza kisha ndio wafuate wadogo zake

    Habari zenu wana MMU nawasalimu Nianze kwa kusema ndoa ni rizki, ndoa ni bahati, ndoa ni baraka sasa kuna mila na desturi za ndoa ambazo ni za kishamba katika jamii zetu ambazo bado tunazikumbatia bila maana yoyote. Ipo hivi mwanzoni mwa mwaka huu kuna rafiki yangu wa karibu alidhamiria kuaga...
  7. Informer

    Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA SAED AHMED KUBENEA Mnamo tarehe 5/9/2020, Jeshi la Polisi Tanzania lilimkamata SAED AHMED KUBENEA akiwa katika gari la abiria lenye namba ya usajili T. 645 DKR akitokea kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya, eneo la Namanga akielekea...
  8. B

    Uchaguzi mkuu kanuni wapi au mambo valu valu tu?

    Mabibi na mabwana heshima kwenu. Uchaguzi ndiyo hivyo unajongea kampeni nazo zinaendelea. Kila mtu na kila chama na lake. Wakati wa teuzi palikuwa na fomu yenye kanuni za maadili ya uchaguzi. Nini contents za fomu hii? Ilikuwa vyema kilichomo kikafahamika kwetu wapiga kura pia. Ili tuweze...
  9. Mema Tanzania

    Kanuni nne za kujijengea kuepuka mnyororo wa muongozo wa fikra za kijamii

    The Four Agreements ~ Don Miguel. Don Miguel ni moja ya waandishi nguli duniani. Ni mtunzi wa vitabu maarufu The Mastery Love, The Voice of Knowledge na Prayers. Katika kitabu cha The Four Agreements ameelezea kanuni kuu nne ambazo mwanadamu anaweza kujijengea na kuepuka mnyonyoro wa...
  10. Roving Journalist

    Clouds Media wafungiwa kwa siku 7, kwa kutangaza Takwimu za Uchaguzi ambazo hazijathibitishwa na Tume

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia vituo vya habari vya Clouds TV na Radio kwa siku saba kuanzia kesho Agosti 28 na adhabu ya kuomba radhi siku nzima ya leo kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo za utangazaji za Uchaguzi. TCRA imesema kosa walilolifanya ni...
  11. Wakusoma 12

    Kanuni za chama kutaka kulazimisha kuwa Sheria na Kanuni za Nchi ni jambo hatari

    Wakuu amani iwe nanyi! Kwa Siku za hivi karibuni kumeibuka tetesi mbalimbali zinazosema kuwa mgombea mwanachama na makamu mwenyekiti wa chadema bara ndugu Tundu Lisu amevunja moja ya kanuni muhimu ya sheria za tume ya uchaguzi. Kanuni hiyo ni kwambaTundu Lisu ameanza kampeni kabla ya wakati na...
  12. C

    Uchaguzi 2020 Watanzania eleweni: Kuanza kampeni kabla ya wakati ni kanuni ndani ya CCM tu; haipo popote katika Sheria za Tanzania, wala katika Kanuni za Uchaguzi

    Habari wana JF, Naomba niwaelimishe, CCM wana utaratibu wao wa siasa. Ndio walijiwekea kitu kinaitwa, "kuanza kampeni kabla ya wkt" huko kwao. atika Hakuna popote hicho kitu ktk sheria za nchi ya Tanzania, wala haipo katika kanuni za uchaguzi mkuu za nchi yetu. Sasa kanuni za CCM nani anataka...
  13. Nigrastratatract nerve

    Tundu Lissu ni ‘mwanakulitafuta, mwanakulipata’. NEC tendeni haki, kama kavuruga mkateni kwa mjibu wa sheria, kanuni na utaratibu bila huruma

    Tundu lisu ni mwanasheria mzuri sana anajua lipi ni kosa kisheria na lipi si kosa kisheria Kama anajua kuwa kufanya maandamano ya shangwe na bashasha wakati wa musiba wa Mzee Mkapa si kosa kisheria basi atagombea Urais wa JMT Kama anajua kuwa kuidanganya mahakama kuwa hawezi kuhudhuria...
  14. T

    Uchaguzi 2020: Mafuriko ya Tundu Lisu, anaweza kubadili kanuni za uuwindaji!

    MAFURIKO ya Tundu Lisu, yaweza kubadili kanuni za uuwindaji. Yaani, Mbuni kuanzia kumuwinda Tembo. Au sungura kuanzia kumwinda mbwa! Katika siasa Hakuna jambo linaloweza kutokea kwa bahati mbaya. Matukio yote hupangwa kwa njia za haki au hila! Hupangwa mchana au usiku! Sirini au kwenye Meza...
  15. Sophist

    Uchaguzi 2020 Kitanzi dhidi ya Wagombea wa Upinzani kimefichwa ndani ya Kanuni za Uchaguzi 2020

    Kwa jicho la uchambuzi hebu angalia kanuni hii: 30.-(1) Subject to the provisions of the Act, the Director of Elections, Registrar of Political Parties, Returning Officer, Attorney General or a candidate for Parliamentary election may lodge an objection of the nomination of any Parliamentary...
  16. Kurzweil

    Uchambuzi: Kanuni Mpya za Maudhui ya Mtandaoni 2020, Marufuku ya Maudhui yaongezeka

    Julai 17, 2020, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilichapisha mabadiliko ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni kwenye gazeti la Serikali kupitia gazeti Na.29 Toleo la 101. Mabadiliko hayo ambayo yalitolewa kupitia notisi Na. 538 yanabadilisha baadhi ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni za mwaka 2018 na...
  17. n00b

    Kanuni mpya za Maudhui ya Mtandaoni: Wenye 'channel' na tovuti za dini nao kusajiliwa

    Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA), Namba 3 ya mwaka 2010 inamruhusu Waziri kuleta Kanuni za kusimamia maudhui ya mtandaoni. Waziri mwenye dhamana ya Mawasiliano amesitisha matumizi ya Kanuni za Maudhui ya Mtandaoni Namba 133 ya mwaka 2018 zilizochapishwa mwaka mnamo Machi...
  18. Return Of Undertaker

    Kama sheria haijapitishwa na Bunge na haijafuata Katiba, Sheria hiyo ni batili. Kanuni mpya za mitandao ni batili

    (1) Katiba hutoa madaraka kwa Bunge kupitisha sheria. SHERIA lazima iwe within 4 walls ya katiba-la sivyo sheria ni batili. Sheria inatoa madaraka kwa Waziri au taasisi nyingine (k.m TCRA) kutunga KANUNI. Kanuni lazima ziwe within 4 walls ya sheria mama na Katiba-la sivyo ni batili. (2)...
  19. safuher

    Ninaamini kuna kanuni za siri tena rahisi zinazoratibu mambo haya ya Ulimwengu hasa Teknolojia

    Baada ya salamu naomba kushare nanyi jambo hili ambalo nimekuwa nikilitafakari kwa siku nyingi sana. Kuhusu mambo ya kilimwengu hasa haya mambo ya sayansi na technolojia.tukiangalia namna tunavyopata picha katika tv kupitia ving'amuzi mbalimbali na sauti na watu tukawaona live pale kwenye...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Uchaguzi 2020 Kumkata Paul Makonda kwenye Kura za Maoni CCM, siyo maamuzi yenye akili

    KUMKATA MAKONDA SI MAAMUZI YENYE AKILI Na, Robert Heriel Ikiwa CCM itaamua kumkata Mhe. Paul Makonda itakuwa imefanya maamuzi yasiyo na busara. Yatakuwa ni maamuzi yasiyo na akili. Makonda ni moja vijana wachache muhimu kwa zama hizi katika taifa hili. Taifa la Tanzania linahitaji vijana mia...
Back
Top Bottom