kanuni

Suleiman I (Ottoman Turkish: سلطان سليمان اول‎ Sultan Süleyman-ı Evvel; Turkish: Birinci Süleyman, Kanunî Sultan Süleyman or Muhteşem Süleyman; 6 November 1494 – 6 September 1566), commonly known as Suleiman the Magnificent in the West and Kanunî Sultan Süleyman (Ottoman Turkish: قانونى سلطان سليمان‎; "Suleiman the Lawgiver") in his realm, was the tenth and longest-reigning Sultan of the Ottoman Empire from 1520 until his death in 1566. Under his administration, the Ottoman state ruled over at least 25 million people.
Suleiman succeeded his father as sultan in September 1520 and began his reign with campaigns against the Christian powers in central Europe and the Mediterranean. Belgrade fell to him in 1521 and Rhodes, long under the rule of the Knights of St. John, in 1522–23. At Mohács, in August 1526, Suleiman broke the military strength of Hungary, with the Hungarian king Louis II losing his life in the battle.
Suleiman became a prominent monarch of 16th-century Europe, presiding over the apex of the Ottoman Empire's economic, military and political power. Suleiman personally led Ottoman armies in conquering the Christian strongholds of Belgrade and Rhodes as well as most of Hungary before his conquests were checked at the Siege of Vienna in 1529. He annexed much of the Middle East in his conflict with the Safavids and large areas of North Africa as far west as Algeria. Under his rule, the Ottoman fleet dominated the seas from the Mediterranean to the Red Sea and through the Persian Gulf.At the helm of an expanding empire, Suleiman personally instituted major legislative changes relating to society, education, taxation and criminal law. His reforms, carried out in conjunction with the empire's chief judicial official Ebussuud Efendi, harmonized the relationship between the two forms of Ottoman law: sultanic (Kanun) and religious (Sharia). He was a distinguished poet and goldsmith; he also became a great patron of culture, overseeing the "Golden" age of the Ottoman Empire in its artistic, literary and architectural development.Breaking with Ottoman tradition, Suleiman married Hürrem Sultan, a woman from his harem, an Orthodox Christian of Ruthenian origin who converted to Islam, and who became famous in the West by the name Roxelana, purportedly due to her red hair. Their son Selim II succeeded Suleiman following his death in 1566 after 46 years of rule. Suleiman's other potential heirs, Mehmed and Mustafa, had died; the former had died from smallpox, and the latter had been strangled to death 13 years earlier at the sultan's order. His other son Bayezid was executed in 1561 on Suleiman's orders, along with Bayezid's four sons, after a rebellion. Although scholars no longer believe that the empire declined after his death, the end of Suleiman's reign is still frequently characterized as a watershed in Ottoman history. In the decades after Suleiman, the empire began to experience significant political, institutional, and economic changes, a phenomenon often referred to as the Transformation of the Ottoman Empire.

View More On Wikipedia.org
  1. OKW BOBAN SUNZU

    Yanga imetumia kanuni gani kuingilia geti la mashabiki?

    Hii timu inaendeshwa kwa imani za kishirikina sana, kama ndondo tu. Sasa unajiuliza hii ndio timu iliyosimamia kanuni mpaka ikagoma kuingiza timu dhidi ya Simba kikanuni. Uko wapi msimamo wa kuzingatia kanuni. Wachambuzi takataka nao wako kimya kuikemea hii timu ambayo ni kioo chakavu kwa timu...
  2. C

    Kupeleka mbele Ratiba ya Yanga vs Azam na Yanga vs Biashara United kulifuata kanuni!

    Kwanza nianze jambo moja... Kama utanisoma kwa kuongozwa na Think Tank wa Club ya Simba, yaani Haji Manara, katu hutanielewa! Ni bahati mbaya sana nimetafuta barua kutoka TFF au hata Yanga zinazotoa maelekezo ya kupeleka mbele mechi hizo hapo juu! Pamoja na yote hayo, kama utaweza ku-connect...
  3. S

    Yanga mnaivimbia TFF kisa kanuni imekiukwa. Mmejipanga kuzifuata kanuni zote au ni mihemko tu?

    TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa. Lakini ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba. Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia...
  4. Roving Journalist

    Dkt. Hassan Abbas: Serikali ipo tayari kufanya mabadiliko yoyote kwenye kanuni au sera ya habari

    Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imesema ipo tayari kubadili sera na sheria ya vyombo vya habari kulingana na maoni ya wadau wa tasnia ya habari nchini. Hayo yameelezwa na katibu mkuu wa wizara hiyo, Dk Hassan Abbas leo Jumatano Aprili 28, 2021 wakati akifungua kongamano la wadau...
  5. Replica

    Hotuba ya Rais Samia Suluhu Bungeni: Spika awaonya watakaovaa tai nyekundu

    Leo bunge limetengua kanuni kuruhusu wageni wasioruhusiwa kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge wakati wa hotuba ya Rais Samia Suluhu, miongoni mwao ni Makamu wa Rais, Philip Mpango na Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi. Pia spika Ndugai aliwashauri wabunge wasivae tai nyekundu kwasababu ni kwaajili...
  6. Dropout

    Jipatie Katiba, Kanuni na nyaraka muhimu za Taasisi yako

    Hello jf Kwakuwa tunapaswa kuishi kwa kuendana na alama za nyakati basi kama wewe ni mmliki au mbeba maono ya taasisi fulani ( kanisa, msikiti, chama,kikundi, jumuiya) Ni wakati sasa uweke mikono ya wataalamu katika taasisi yako tukuandalie nyaraka muhimu za katiba na kanuni ili uweze kuendana...
  7. Red Giant

    Naomba huu uwazi alioanzisha Rais uwekwe kwenye Sheria na Kanuni

    Nafikiri hii ni glasnost yetu. Mambo mengi japo si yote ya nchi ni vema kuwa wazi. Watu wayajadili na kutoa maoni yao mbalimbali. Mambo ya umma yanatakiwa kuwekwa wazi na kujadiliwa kwa uhuru. Hapo ndiyo tutaepuka mambo kama yaliyotokea miaka mitano ya JPM. Sasa hili suala lisiachwe kwa Rais...
  8. Red Giant

    Sheria gani na kanuni gani zimetungwa kipindi cha Magufuli zinatakiwa kutenguliwa?

    Mi binafsi napenda ile sheria ya kutaka mtu anayefungua akounti youtube alipie. Au yule anayefungua blog, online tv na websites alipie. Tena kulipia pesa ndefu. Ungependa kanuni na sheria gani kandamizi iondolewe?
  9. farmersdesk

    Ukizingatia Kanuni hizi, basi ufugaji wa kuku utakunyanyua kiuchumi

    @farmersdesk_tanzania KABLA UJANZA KUFUGA KUKU TAMBUA MBEGU BORA YA KUFUGA🐓 MBEGU BORA YA KUKU KABLA hujaanzisha mradi wa ufugaji kuku, ni lazima utafute aina ya mbegu bora itakayo kuongezea kipato. Kumbuka kuna aina nyingi za kuku na ni aina zuri zote. Ila kila mfugaji huwa na malengo sasa hayo...
  10. J

    Kanuni za maadili kwa wapiga picha za magazeti

    Muongozo uliotolewa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) kuhusu kanuni za maadili kwa wanataaluma wa habari zinaeleza kanuni za maadili kwa Mpiga picha za magazeti kama ifuatavyo:- Wapiga picha wa magazeti wanatakiwa kutoa picha zinazoonesha usahihi wa hali ya tukio husika. Wawe makini wakati...
  11. J

    Kanuni za Utoaji na Usimamizi wa Mikopo kwa Vikundi vya Watu Wenye Ulemavu

    KANUNI ZA UTOAJI NA USIMAMIZI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (MAREKEBISHO) ZA MWAKA 2021 Kufungu 6A (1) Mtu mwenye ulemavu atakuwa na sifa ya kupata mkopo kama kikundi cha watu wenye ulemavu endapo: (a) Kamati ya Kudumu ya Fedha, Mipango na Uongozi...
  12. comte

    Ten rules for sidechicks

    HEART MATTERS 10 Rules Of Being The Perfect Side Chick By Kate Published September 14, 2018 How to be the perfect side chick If you must be a side chick, you must follow the side chick code of conduct. This is because being the other woman is not easy. Aside the gifts, sex and exciting...
  13. The Assassin

    Askofu mkuu Ruwa'ichi anasema corona bado ipo, amesihi tuendelee kuvaa barakoa, tunawe mikono, tufuate kanuni za afya

    Askofu mkuu wa jimbo katoliki la Dar es Salaam amewasihi waumini kufuata taratibu za kisayansi kupambana na corona. Askofu ameomba tusaidiane na Mungu kupambana na corona. Askofu amesisitiza kuwa corona bado ipo na kuwasihi waumini waendelee kuvaa baracoa, kunawa mikono na maji tiririka pamoja...
  14. ommytk

    Moja ya kanuni ukitaka maendeleo uwe na roho mbaya je kweli?

    Wadau juzi nilikutana na rafiki yangu ambaye tumepoteana muda mrefu amepiga hatua kubwa sana kimaisha nikamuuliza katika mazungumzo yetu kauli yake ni moja tu kaka ukitaka kusogea kimaisha toka hapo ulipo unatakiwa uwe na roho mbaya sana utafanikiwa. Hii kauli mpaka sasa naitafakali.
  15. tyc

    Kwa mujibu wa kanuni, Chikwende hatocheza mechi yoyote CAF group stage akiwa na Simba

    Inasikitisha Simba tumesajili mchezaji mwenye kiwango kizuri, uzoefu wa kutosha katika mashindano ya kimataifa ngazi ya klabu lakini hatoweza kuichezea Simba katika hatua ya CAF group stage (16 round) Hii ni kutokana na kanuni ya CAF kwamba timu yoyote ikifuzu kuingia group stage basi...
  16. J

    Je, kuna haja ya Spika Ndugai kumjibu Mbowe juu ya tafsiri halisi ya Katiba na Kanuni kuhusu kiapo cha mbunge?

    Spika Ndugai alisema kanuni za bunge zinaruhusu mbunge kuapishwa nje ya ukumbi wa bunge jambo muhimu ni lazima mbunge aape mbele ya Spika wa bunge. Mwenyekiti wa Chadema ambaye ni mbunge mstaafu na pia alikuwa mjumbe kwenye kamati ya kanuni amesema kanuni ile inakwenda kinyume cha katiba...
  17. D

    Kanuni ya haki ya msingi haikufuatwa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake 18

    Nimetafakari sana kisheria kuhusu kufukuzwa akina Mdee uanachama ninapata shida kidogo. Sina uhakika kama suala hili lilifanyika with due diligence. Hii ni kwa sababu kwa hali ya kawaida walipaswa waandikiwe barua ya mashtaka (kimaandishi)kuhusu makosa/tuhuma zinazowakabili na wapewe muda wa...
  18. Francis12

    Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe atazungumza na Umma wa Watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari, leo Novemba 27, 2020, kuanzia saa 3.00 (usiku huu), kuhusu maamuzi ya Kikao cha Kamati Kuu ya Chama Vyombo vya habari vya Kitaifa na Kimataifa vimealikwa. Stay Tuned for Updates...
  19. B

    Wakati vyama vingi vinaanza tulitumia kanuni ya mpinzani atatoka CCM, kanuni hii imefeli. Sasa hivi mpinzani wa kweli lazima azalishwe na upinzani

    Tulipoaminishwa CCM itauwawa na wana CCM kutoka CCM kwenda upinzani ilikua sahihi kwa wakati huo kwa sababu watu walikua watiifu kwa chama na walipikwa kwenye chama nakufahamika nje ndani ya maisha yao. Tukawa na waasisi akina Mrema, Slaa, Shibuda, Cheyo, Makani na wengine wengi waliojiengua...
Back
Top Bottom