Kizazi hiki wanazaliwa vijana wengi hawana akili.. yaani mtu unamkuta mzito wa akili anawaza mademu, kujichua, kubet, kushabikia.
Vijana wengi wame opt ushoga, hawajagangamaa kama sisi miaka yetu, wamelegea sana. Yaani inasikitisha wanapita wanalamba lips na kubinua makalio. Vijana wameopt kuwa...
Nitaeleza Kwa kifupi faida za Mhe. Rais kutuachia katiba awamu yake ya Kwanza then akastaafu Kwa heshimu
1. Tayari amaeshakuwa Rais na hakuna Jambo jipya analoweza kulipata kwenye urais hata aliongoza miaka Mia.
2. Endapo ataamua kuingia kwenye uchaguzi 2025 Ndipo mchakato wa katiba uanze...
Group 1. Kuna Watanzania ambao wanaamini nchi yetu inahitaji dikteta ambaye ataendesha nchi kimabavu na kuwa kama Mungu mtu.
Dikteta ambaye awe na uwezo wa kufunga yeyote, kuuwa yeyote na kufanya lolote kwasababu yeye ndiye atakayejua nani ni muhimu na manufaa kwa taifa.
Huyu mtu Mungu ndiyo...
Yaani huyu Mama naona anaenda kuwa Rais was pili ukimtoa Baba wa Taifa, maana Kama atatupatia katiba Mpya Basi Legacy yake itakuwa kubwa Sana.
Nilichogundua Uongozi ni akili. Legacy sio kujenga barabarani mbovu zenye mashimo na ujanja ujanja.
Mama akiacha katiba Basi peponi moja kwa moja.
Hivi tumemsikia Mama na kumwelewa kuhusu Katiba Mpya?
Neno "KATIBA MPYA" Ni dhana tu, ni neno la kudanganyia watu kujipatia POLITICAL POPULARITY, hakuna jipya tunatakiwa kubadilika kulingana na wakati na ndiyo nasema;
Mimi nimemsoma mama mambo matatu (Na ngoja niandike kwa herufi kubwa...
Salaaam!
Kuhusu kuundwa katiba mpya serikali haina budi kutenda haki juu ya muundo wa jopo au kamati au bunge ambalo halitahusisha mbunge yeyote na wa chama chochote, katiba iundwe na wasiofungamana na siasa za uwakilishi wa kibunge na Baraza la wawakilishi.
Ni matumaini yetu ya kwamba...
Heri ya X Mass.
Tunamshukuru Mungu kwa siku kuu ya leo,na kwa namna ya kipekee kabisa nawapongeza waKristo wote Tanzania na Duniani.
Wakati bado tunaendelea kusheherekea siku hii muhimu naomba tuwarejeshe katika mjadala wa mchakato wa KATIBA MPYA.
Ni hakika KATIBA ya sasa ina mapungufu mengi...
Ili kudhibiti wanaotaka kupingana na maamuzi ya Chama kilichokupa dhamana ya uongozi. Katiba mpya iseme wazi kuwa KAMATI KUU ndio kiwe chombo cha juu kabisa cha kudhibiti wakaidi
Huko Zanzibar mambo ndiyo kama hivi:
Ya nini kufanya uchaguzi bila katiba mpya? Si heri kuwaacha CCM kama ndivyo waendelee tu kulamba asali kwa raha zao?
“Insanity is doing the same thing over and over and expecting different results.”
Asema Einstein.
NB: Tume Huru bila Katiba Mpya ni...
Ndugu zanguni, nimemsikiliza Mh. alipokuwa akiwahutubia Wana Diaspora Marekani. Moja kati ya masuala aliyozungumzia ni Katiba mpya. Nilichotambua ni kwamba, kama tutatembea kwenye mawazo yake, Katiba mpya haitapatikana leo wala kesho. Labda kizazi kingine huko mbeleni.
Kwa sababu kila...
Kinachoshangaza Katiba pendekezwa hata haijapigiwa kura, tayari wapinzani wameanza mchakato wa Katiba nyingine hasa wale CHADEMA.
Sasa tutakuwa na Katiba ngapi?
Katiba pendekezwa, Katiba ya Mkandala, Katiba ya Maridhiano, wengine wanasema wanataka ya Warioba!
Mbona awamu ya 5 hatukusikia hizi...
Habari za saa wanachama wenza wa Jamiiforums natumai ni wazima.
Nilikuwa na jambo linalo nitatiza na lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wanachama na jambo lenyewe lina husu katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwa miaka ya hivi karibuni mpaka sasa hapa taifani kumekuwa na mijadala...
Nani asiyejua umuhimu wa katiba mpya? Nani anaweza kuthubutu kujipa jukumu hilo peke yake na kuwasusa wengine kwa sababu zozote zilizokwisha pita?
Misahafu inasema ni furaha kuu mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja akitubu.
Hivi hata ya waungwana hatuyasikii?
Nini tofauti ya ya chawa uchwara...
Kampuni tanzu kampuni ya Eurowagon kutoka uturuki iliyopewa tenda hayat John Pombe Magufuli kutengeneza reli na mabewa iliondolewa na kuletwa kampuni kutoka China Korea kusini ambazo zimeleta izi bewa na na lijua Aya yatatokea bewa zilizo wasili pale bandarin hakuna mtanzania aliependa hata za...
Huwezi kupata Katiba Mpya bila ya Kuwa na movement (Vuguvugu) sahihi na hiyo hufanywa na Vijana wenye fikra Huru
Alichofanikiwa Nyerere na ambacho Wapinzani wamerithi pia ni kuzikamata fikra za Vijana tangu wakiwa Shuleni na Vyuoni
Ndio sababu kama Taifa hatuwezi kusogea kwa sababu Vijana...
Wakuu,
Muombe sana Mungu, nimeona uwanja ukiwa na giza nene sana na njia haipo kabisa.
Yaani hawa jamaa kamwe hawatokubali katiba mpya labda wananchi waidai kwa njia nyingine lakini wao kama wao hawana wazo la katiba mpya.
Na inaonekana suala la maendeleo ya dhati nalo itakua ndoto maana...
Muundo wa serikali yetu, rais analazimika kuteua mawaziri kutoka ktk wabunge. Akikosa mtu anayefaa, rais amepewa nafasi za kuteua wabunge. Utaratibu huo unampa rais nafasi ya kuteua mbunge ili amtumie ktk nafasi ya uwaziri. Ubunge wa kuteua umekuwa ni kama sadaka na zawadi tu.
Katika uteuzi wa...
1. Kuhusu Mikutano ya Hadhara na Mikutano ya Ndani ya Vyama Vya Siasa,
Kikosi Kazi kinapendekeza Sheria ya Vyama vya Siasa ifanyiwe marekebisho ili:
a) kulipatia Baraza la Vyama vya Siasa mamlaka ya kuishughulikia suala la uvunjifu wa maadili ya Vyama vya Siasa kupitia Kamati yake ya...
Maoni kuhusu Mbunge/Wabunge kivuli/Vivuli (Shadow Member of the Parliament)
Inaletwa kwenu nami Kelvin Nyagawa (Mwanasheria)
Kwani Prof. Rwekaza ni Professor wa sheria?
Kwanini hakupewa chairman Prof. wa sheria?
Tukimuuliza Prof. Rwekaza ili tuwe na tume huru kisheria nini inahitajika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.