Nashindwa kuelewa tusimame kwenye kauli ya yupi!!
Sielewi ni kauli ya yupi ina uhalali baina ya hawa wawili!!
Sielewi mbaya hasa kwa mujibu wa sheria hapa ni nani,baina ya wanaosemwa wanatukana viongozi mitandaoni,na huyu anaetangaza kuwapoteza hao wanaotukana viongozi mitandaoni tena kwa...