Mimi ni binti wa miaka 24, nina degree ya Information systems Management. Natafuta kazi nina ujuzi wa computer (word, power point na excel). Mchapakazi, msikivu na ninaependa kujifunza. Utanipata kwa email hii: kimishalilian@gmail.com. Asante.
Habari wanajukwaa,
Nahitaji msaada wa kisheria kuhusu suala linalonihusu. Nilikuwa nafanya kazi sehemu fulani bila kuwa na mkataba wa maandishi. Hivi karibuni niliamua kuacha kazi, lakini meneja wa kampuni amenipa chaguo mbili:
Kulipa pesa ya mshahara wa mwezi mmoja.
Kufanya kazi kwa mwezi...
Habari wakuu,
Mimi ni mwandishi wa makala mwenye uzoefu mkubwa katika kuandika maandishi yenye ubora wa hali ya juu kwa lugha zote mbili yani Kiswahili na Kiingereza. Nimejikita zaidi katika sekta ya utalii, safari, michezo, kamari na masuala ya kijamii, huku nikitumia mbinu za kisasa za SEO...
Habari wakuu.
Mimi ni dereva wa Magari makubwa Kama Scania ,Faw .n.k
Nimekuja hapa kutafuta Ajira au Kazi Kwa wamiliki wa maroli .
Nipo na uzoefu wa kutosha wa jumla miaka 8
Namba yangu ya simu ni +255 749 515 178
Habari wakuu .
Mimi nimekuwa nikusumbuliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa aina ya kipanda uso.
Nimetumia Dawa za kutuliza maumivu Kwa muda mrefu Sana , Ila nimekuja kupona Kwa kutumia tiba moja inaitwa "Urine therapy).
Tiba hii nimetumia siku tano Kwa kufanya hivi.
Kunywa mkojo robo...
Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?
2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu...
Tutaanza na Bob Marley katika kazi iliyotukuka isiyoisha fashion ya no woman no cry (hakuna mwanamke hakuna kilio)
No woman no cry lyrics by bob marley
[Chorus]
No woman, no cry
No woman, no cry
No woman, no cry
No woman, no cry
[Verse 1]
'Cause, 'cause, 'cause
I remember a when-a we used to...
DEI (Diversity, equity and Inclusion) ni ajenda inayotumika kwenye baadhi ya majimbo ya marekani hasa yale yenye uwakilishi wa chama cha Democrats walichomo kina Kamala Harris,
Lengo la DEI ni kufanya sehemu za kazi na uongozi kuwepo na watu wa matabaka mbali mbali
Tatizo linapokuja hii DEI...
1.Epuka kukubali kuguswa na mtu ,iwe begani au wapi pindi mpo kwenye stori na vema wakajua kuwa huwa hupendi.
2.Epuka kukumbatiana na mwanaume mwenzio pindi mnasalimiana,hata kama mmemisiana muda mrefu.
Labda kama ni Baba mzazi au mwanao,japo huwa sioni ulazima.
3.Epuka kuwa mwepesi wa kukopa...
Kijana anatafuta Kazi au kibarua Kwa sasa yupo Dar es salaam.
Sifa zake hizi hapa
Umri miaka 20
Jinsia ME
Aina ya Kazi .
Kazi Kama za jikoni anaweza kufanya mfano katika pub n.k
Kazi Kama kulinda na kusimamia Nyumba .
Na Kazi nyingine zote Kama kukaa dukani , kuwa PA wa mtu personal...
Habari ya Jumapili wana JF.
Natafuta ajira/Kazi nimesomea Human resources Kwa level ya degree.
Nipo tayari kufanya Kazi mkoa wowote
Kuhusu Mimi
-Mchapa Kazi
-Mtu wa kutoa matokeo
-Na mbunifu.
Pamoja na kuwa nimesomea human resources Ila ndani yake naweza kufanya Kazi Kama, Marketing officer...
Habari wana Jamii forum
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 ninae patikana Chamwino dodoma, Nina uhitaji wa kazi yeyote au nafasi ya kazi kama legal officer
ELIMU
Nimehitimu shahada ya Sheria mwaka 2022
Nime maliza masomo ya shule ya sheria kwa vitendo Law school of Tanzania ambapo na...
Ukongwe unakujaga pale unapopotea sokoni & husikik Radion wala mitandaoni, Lakini kama bado msanii anatoa ngoma zenye impact ni ngumu kuitwa mkongwe (mfano kwa Ali Kiba na Diamond walioanza kuhit kabla ya 2010 na bado wapo).
Mifano ya legends / wakongwe
Wasanii.
20 Percent
Lady Jay Dee
Ray C...
Hellow Tanganyika,
Mnajaribu kutuambia umma kwamba uraiani hakuna ulinzi na USALAMA wa raia?
Kwamba korokoroni ndio Mahali salama?
Kwamba tuache nyumba zetu uraiani ,tuje kupata ulinzi murua korokoroni?
Ndugu Bashungwa, majibu tafadhali 🙏
Karibuni!
Hizi kazi zingekuwa za mkataba wa muda mfupi kama miaka mitano mitano zingepunguza gharama na kuongeza ufanisi sana.
1.Ubalozi
2.Mwanasheria mkuu
3.Wakurugenzi wa mashirika ya umma
4.Madaktari
5.Polisi
===
Kwanza, Nataka nyie msio wakatoliki mfahamu kuwa Mapadre na maaskofu wa Katoliki sio ngurumbili kama baadhi ya Viongozi wetu wengine wa dini hapa nchini.
Mapadre na maaskofu wa kikatoliki ni watu wasomi na wabobevu wakubwa katika maswala mbalimbali ya Kijamii kama siasa, Uchumi, Elimu etc...
Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.
Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.
HUWEZI kujenga au kuwa na maisha ya maana kwa kazi ya Bodaboda nk
Fanya biashara ambayo histologically...
Habari wadau wa Barabarani, kumekuwa na changamoto kubwa kwenye Mtandao wa Polisi wa kuangalia Traffic Fine za magari na madeni ya leseni, mtandao huu umeacha kufanya kazi tangu mwanzoni mwa Desemba 2024, huku ukisababisha madeni kuongezeka kwa kuchelewa kulipa.
Traffic akikusimamisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.