NILICHOGUNDUA KWENYE KELELE ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI
Na, Robert Heriel.
Taikon wa Fasihi
Mayowe kila upande,
Kusini hakuna umeme!
Mashariki hakuna maji,
Kaskazini Tozo
Magharibi vifurushi
Chini Mafuta
Juu mlipuko wa bei!
Kelele siku zote zinamzunguko na mhimili wake. Hata hivyo kuna namna ya...