"Nendeni mkasikilize kero za wananchi" - Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania.
---
---
Makonda amezunguka mmeona mfano, Wananchi wana kero kadhaa, nyingine nyepesi tu za kutatuliwa huko chini, hawasikilizwi. Na wasiposikilizwa zile ndiyo kura zetu.
Akipita mwingine akiwaambia mimi...