kero

  1. jodac

    Kero ya kuchelewa kuhuishwa kwa kadi za NHIF kwa wanafunzi wanufaika wa Mkopo toka HESLB.

    Habari. Naomba kwasilisha kero wanayopitia baadhi ya wanafunzi wanufaika wa mkopo unaotolewa na HESLB ambapo hela kwaajili ya kadi za bima ya afya kwenye akaunti zao inaonyesha wameshalipia lakini kadi haziko activated. CHANZO CHA TATIZO Kosa linalofanywa na HESLB ni kulipa hela hii moja kwa...
  2. GENTAMYCINE

    Wenye Mabaa sehemu mbalimbali hii Kero ina maana imewashinda au mnataka sasa Wateja wenu tutembeze Kichapo kwa hawa Watu ndiyo muelewe tumechoka nao?

    Inakera sana yaani wengine tukienda huko katika Mabaa ( tena na Mademu ) ambao tunataka Kuwatongozea huko huwa tunakuwa tayari tumeshakariri Mistari / Maneno yote kiasi kwamba tukiwa hayo maeneo huwa hatutaki disturbance na distraction yoyote kwani itafanya twende Off Point na tuliyoyakariri ili...
  3. Teslarati

    Hizi message za Kizimkazi vipi tena, mbona kama kero sasa?

    Wiki hii zinaingia tu kila siku Angalie wenyewe
  4. Bruno Jewel

    Kwanini wananchi wakihojiwa kwenye vyombo vya habari, kero zao wanaziwasilisha kwa rais na sio kwa viongozi wa mkoa au wilaya?

    Kumekuwa na tabia inayoendelea kushika kasi kwenye nchi yetu ya wananchi kutaka au kuwasilisha kero zao na matatizo yao moja kwa moja kwa rais, wakati huo viongozi wa mikoa na wilaya wapo na wameaminiwa na rais kumuwakilisha. Swala hili limeshika kasi sana katika nchi yetu ya Tanzania. Swali...
  5. A

    Tumechoka wananchi wa Karagwe na mamlaka za TANESCO pamoja na TCRA

    Kutoka Rwambaizi Karagwe Kagera wananchi tumekuwa tukiteseka Sana kwanza kuna swala vocha wenye maduka wamekuwa wakijapangia Bei za vocha ya sh 500 wanaiuza kuanzia 600 hadi 700 tunaomba Jamiiforums mtupazie sauti watanzania kwa mamlaka husika. Pili swala la umeme wamekuwa wakikata umeme...
  6. A

    KERO Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), hili la maegesho (parking) ni kero kubwa

    Leo nimeshangaa pale nilipoegesha gari Terminal 2 kwa saa 72 na kudaiwa 75,000 za maegesho na kuambiwa kuwa “Long term parking” inahesabiwa ukiegesha Terminal III. Kwanza, kaka aliyekuwa pale nikamuomba anisaidie (najua kuna uwezekano huo kwani mfumo unaona wazi gari limekaa muda mrefu hivyo...
  7. M

    Tukutane tuliosoma Vyuo vya Mjini na kero zake

    Tuliosoma vyuo vikuu vya mijini tukutane hapa. Wahenga wanasema ukizaliwa mjini tu basi wewe Form 6. Ukikulia mjini basi tayari upo University. Tuliosoma Vyuo Vikuu vya mjini kuna raha yake ambavyo waliosoma vyuo vya nje ya mji hawapati. Kero nilioyokutana nayo mimi vyooni, licha ya vyuo...
  8. mirindimo

    KERO App za mikopo zimekuwa kero kwa watu wasiohusika sasa wanatoa vitisho

    Kuna kazi kubwa ya kufanya kwa Mwigulu na team nzima ya BOT hizi App zinaendeshwa kwa kanuni ipi au sheria ipi? Wanatoa wapi kibali cha kukopesha na kutumia taarifa za watu hata wasiohusika na ambao hawajakubali kumdhamini mkopaji? Soma pia: Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi yazionya Taasisi...
  9. A

    KERO Vitisho toka kwa M/Kiti wa Kitongoji cha Itumbi (Mbeya) kwa wakazi wa Majengo-Mapya

    UTANGULIZI Mtaa wa Majengo mapya_Jeshini, unapatikana Mkoani Mbeya, wilaya ya Chunya, kata ya Matundasi, kitongoji cha Itumbi. HISTORIA YA ENEO Hili ni eneo ni mojawapo nchini ambalo liliteuliwa kuwa kambi ya kijeshi ya wapigania uhuru kusini mwa Afrika. Mara baada ya shughuli kumalizika...
  10. Stephen Ngalya Chelu

    Kupendwa sana na mtu ambaye humpendi ni moja ya kero ambayo haisemwi

    Mahusiano yana mengi sana. Kuna nyakati unakuwa na mtu anayekuonesha mapenzi ya dhati, anakufanyia kila kitu lakini haum'feel kabisa. Unajaribu kumkasirisha ili labda akasirike akuache lakini wapi, kila kosa lako analisamehe na mara nyingine yeye ndo anakuwa anaomba msamaha kwa makosa yako...
  11. N

    KERO Wanaoendesha pikipiki zenye milio ya juu usiku wa manane maeneo ya Ilala Boma hadi Buguruni ni kero, wachukuliwe hatua

    Ni muda sasa wakazi wengi wa maeneo Ilala ikiwemo boma, Amana, Bungoni, Sharifu Shamba, Malapa na Buguruni Rozana tunateseka na kero ya wanaoendesha pikipiki zenye milio ya juu wakati wa usiku tukiwa tumelala. Kero hii inatokea kuanzia majira ya saa sita usiku hadi kwenye saa nane wakati...
  12. The useful idiot

    KERO Kero kwenye vivuko, Dar es Salaam

    Hawa watu wa vivukoni ni bora wafurushwe wote kuanzia anaesafisha vyoo hadi wasimamizi!! Hii ni total failure, vivuko vyote vimeharibiwa kimebaki kimoja mara kwa mara kinazimika njiani! Tulizoea huduma ni Masaa 24 ila kwa sasa huduma inaishia saa nane usiku!! Leo kwenye kuscan kadi upande...
  13. Teko Modise

    Meseji za Zuia Uhalifu zimekuwa kero sasa kwenye simu zetu

    Kuna meseji zinatumwa kuhusu Zuia Uhalifu. Ni wazo zuri lakini sasa wahusika wanazituma mfululizo kwa sisi watumiaji wa simu na kutujazia inbox zetu sisi watumiaji wa mtandao wa tigo. Hii ni kero sasa, wahusika watume walau mara moja kwa wiki.
  14. M

    KERO Watumishi wapya wa Mahakama mkoa wa Iringa hatujalipwa fedha za kujikimu

    Ajira mpya utumishi wa mahakama mkoa wa iringa hatujalipwa fedha za kujikimu mpaka sasa.
  15. doctor mwanafunzi

    KERO Jumbe fupi (sms) vamizi ni kero na usumbufu

    Sms zinazotumwa kutoka kwa watu wasiojulikana zimekuwa ni kero kubwa sana na wakati mwingine zinawapa wananchi wasiwasi kuwa huenda taarifa zao binafsi zinazohifadhiwa kwenye simu ya mkononi zikawa zimevuja...tunaomba serikali au mamlaka husika itilie mkazo kwenye kudhibi tabia hizi za sms za...
  16. Roving Journalist

    NEMC: Tunachunguza madai ya Baa ya Ellis kuwa imekuwa kero kwa majirani kutokana na kelele za muziki

    Baada ya Wapangaji wa Shirika la Nyumba zilizopo karibu na Manispaa ya Morogoro tunalalamika baa maarufu ya Ellis iliyopo karibu na Ofisi za Manispaa ya Morogoro, kuwa inapiga kupiga mziki mkubwa hadi asubuhi hali ambayo ni kero kubwa kwetu, Mamlaka husika imezungumzia suala hilo: Kusoma hoja...
  17. JanguKamaJangu

    DOKEZO Ujenzi wa maeneo mengi ya Kariakoo hauzingatii usalama wa Watu na mali zao, hatua zichukuliwe tusisubiri majanga

    Kwa siku za hivi karibuni kama kati yetu kuna ambao wamebahatika kwenda kwenye eneo maarufu la kibiashara Kariakoo jijini Dar es Salaam mtaungana na mimi kwamba kuna ujenzi wa majengo mengi ya gorofa unaendelea kwa sasa. Ujenzi huo unafanyika katika Mitaa mbalimbali ya Kariakoo ambapo kipindi...
  18. P

    KERO Serikali mnasubiri mpaka sehemu hii ya barabara iwe handaki? Ni kero kubwa kwa wakazi wa Mbezi Beach

    Wakuu, Kipande hiki cha barabara ni maeneo ya Mbezi Beach Dar upande wa chini, ambako si mbali sana kutoka ilipo supermark ya Shopaz (kwa ambao si wenyeji wa maeneo haya), kipande hiko cha lami kinachoonekana hapo mwisho kwenye video ndio kinashuka na kupita ilipo supermarket ya Shopaz. Sehemu...
  19. BigTall

    Bodaboda ni kero kubwa na chanzo cha ajali kwenye Zebra ya Msimbazi Kariakoo ambazo zimefutika

    Mamlaka za Jiji kwa kushirikiana na Kitengo cha Usalama Barabarani (Polisi) waangalie kwa jicho la tatu namna Bodaboda wanavyotumia vibaya kipande cha Mwendokasi eneo la Msimbazi la Kariakoo, Dar es Salaam. Bodaboda wamekuwa kero kubwa na kusababisha ajali za mara kwa mara kwenye njia hiyo...
Back
Top Bottom