The Old Kerosene Store is located at Bathers Beach in Fremantle, Western Australia, adjacent to the ruins of the original Fremantle Long Jetty. It is a single-storey limestone building and forms part of the historic Arthur Head Reserve precinct.
Yaani kuna watu humu wanaandika mambo mpaka unajiuliza huyu naye ana demu? Aliwezaje mpata demu wake? Alitumia maneno gani kumshauri demu atoe nguo?
Maana kichwani ni empty kabisa. Unawazaaaaaa. Unasema Khaaah.... Mademu wana huruma sana. Hata huyu naye anapata wa kugegeda? Hii Dunia hiii...
Tunaendelea kupata picha halisi ya yaliyojiri kabla ya mkataba huu wa aibu wa kuwahi kutokea kuhusu bandari zetu.
Wabunge walikwenda Dubai na wapo wanaodai kupewa kiasi cha fedha takriban 6M bila kujua hasa kwa madhumuni gani. Ni vigumu kuamini mbunge kuhongwa 6M ili kukubaliana na mpango wa ku...
Siku za karibuni kumekuwa na nyuzi za sisi wanaume kuwafungukia hawa warembo wetu wa humu jamvini.
Wengi tunajiuliza kwa nini hizi nyuzi zinafuatana sana, kulikoni kuna nini?
Au hawa warembo wameshatuendea kwa babu na kutupika kwenye vyungu nini? :D :D
Mabaharia wenzangu, njooni kwenye...
I. Utangulizi
Katiba ni msingi wa utawala bora na demokrasia katika jamii yoyote. Inaamua muundo wa serikali, haki na uhuru wa wananchi, na majukumu ya viongozi. Katika Tanzania, kama ilivyo katika nchi nyingine, Kitabu Kidogo cha Katiba kinachotawala na kuwajibisha ni muhimu katika kuhakikisha...
Mtu na akli zake timamu kabisa anaenda kupanga foleni kupewa nguvu za kiume na muhubiri dini.
Hizi dini zinazidi kupoteza maana sababu ya tamaa za wanadamu.
Hello JF!
Currently tuna changamoto ya ajira kwa wanazuoni wengi but hata zile zenye kipato kidogo hawataki. Anaona kuliko apewe 150k per month bora akae nyumbani au bila kazi. Bila kujua pale sio tu anapata 150k but exposure ya mambo mbali mbali pamoja na ujuzi na kuaminika maeneo mbalimbali...
Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.
Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?
Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?
Hebu tujaribu...
DR. MARCO MKALI, MARCO CHIZI KIDOGO
Alipita Metro studio, Serious Records, Kama kawa Records mpaka alipotuliza majeshi MJ RECORDS na kufanya kazi na mkubwa Master Jay huku pia akiwavuta wadogo zake; Daxo Chali (Daxo Cha) na Za Chali (Zacha)
Chali amefanya kazi na wasanii TOFAUTI lakini...
Huyu alijibu hivi, wewe utajibuje?
I’m not sure what physicist exactly you would consider to be “smarter” than Einstein. Possibly Maxwell or Dirac? I could imagine making a case for Maxwell or Dirac, but I’m not sure that it would be a winning case.
I don’t think you can really count Newton or...
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.
Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa...
Habari za muda huu.
Hizi ndio sheria 9 ambazo kila mwanaume inabidi asijue!
1. Mwanaume inabidi uweze ku control hisia zako.
2. Mwanaume inabidi uwe na uwezo kwa kuchanganua mambo kwa kutumia logic.
3. Mwanaume inabidi awe na uwezo wa kucontrol hasira zake.
4. Mwanaume hutakiwi kujieleza...
Waku za sahizi asee nimekuja hapa kuomba ushauri wenu kidogo kwa ambae atakuwa na wazo zuri
Picha inaanza mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 20.
Changamoto yangu ni kuwa mapumb* yangu ni makubwa sana wakuu inaniwia vigumu hata nikifanya mazoezi hasa hasa ya kuruka maana yanakuwa yananesa nesa...
Huyu askari kadharirisha jeshi la polisi kiukweli . Serikali inafumbia macho masuala haya why? huyu yuko na familia na watoto . Kuna watu wanasema tunamchafua kwani alikuwa kaelewa kusema labda kabakwa au katekwa amejitakia mwenyewe na unaonekana amejirekodi . Video ya pili anaonekana anapigiwa...
Tujikumbushe: Mwaka 2008 Wasabato Masalia walitinga Airport Dar wakitaka kwenda ng'ambo wakaeneze injili bila kuwa na documents yoyote kama visa, passport, tiketi nk 😂😂😂
Nchi hii imepitia mengi sana aisee.
Ukweli ni kwamba waomba ajira ndo wengi juu,
Kuliko wanaopambana ili wajiajiri tu!
Unaweza miliki pesa ukakosa uhuru juu,
tambua huru ndo UTAJIRI pekee huku juu.
Mtu akishapata nafasi uku juu,
ujikuta anajipa ukuu,
atambui atabaki mmoja tu,
Na ndo mwenye hukumu na uwezo wa hali ya juu.
Mungu...
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.