Ukweli ni kwamba waomba ajira ndo wengi juu,
Kuliko wanaopambana ili wajiajiri tu!
Unaweza miliki pesa ukakosa uhuru juu,
tambua huru ndo UTAJIRI pekee huku juu.
Mtu akishapata nafasi uku juu,
ujikuta anajipa ukuu,
atambui atabaki mmoja tu,
Na ndo mwenye hukumu na uwezo wa hali ya juu.
Mungu...