Wizara ya Ulinzi ya Ukraine imetetea uamuzi wake wa kuwavalisha wanajeshi wa kike viatu vya mchuchumio (vyenye visigino virefu) katika gwaride la kusherehekea miaka 30 ya kujitenga na Umoja wa Kisovieti baada ya baadhi ya wabunge kulalamikia uamuzi huo.
Picha za wanajeshi hao zilisambaa katika...
Mtoto wa kike tamaa yake kubwa itakuwa ni kupendeza na kuwakoga wenzake. Kama atachomoa hela za kampuni itakuwa ni kwa ajili ya nguo, vikuku vya dhahabu na handbags. Mtoto wa kike kama ni mpenzi atakuwa nae mmoja na ni mara chache sana atamshirikisha katika mambo ya pesa.
Mtoto wa kiume...
Wakuu poleni na majukumu ya siku ya leo. Nimekuwa nikifatilia mienendo ya wanafunzi wetu pindi wanapokuwa likizo nikajiridhisha kuwa watoto wengi wanaingizwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanaume wasio waadilifu. Kipindi hiki kuna wanafunzi waliomaliza Kidato cha Sita mtaani, wapo waliomaliza...
Husika na kichwa cha habari hapo mnamo mwaka jana niliweza post humu kuwa nimempa mimba binti wa chuomwaka wa pili mimba.
Wengi humu walitoa ushauri kwamba nisije jaribu kumwambia huyo binti atoe hio mimba wala nisikatae majukumu kwa sababu mwanakulitafuta mwana kulipata hivyo nikafuata...
Lady Jaydee ndiye gwiji wa Bongofleva kwa upande wa kinadada. Ana miaka 21 katika hii gemu tangu alipoachia wimbo wake wa Machozi mwaka 2000.
Amewezaje kudumu katika gemu kwa miaka yote hiyo wakati kuna Wasanii wa kike kibao ambao walimkuta akiwa juu na wamefutika akiwa juu? Hili ni swali...
Jamani embu tuambieni Kati ya vilevi hapo Chini ukimuona mtu anatumia huwa una muona wa ajabu sana yaani hajitambui(hopeless and useless man).
1. Ugolo
2. Gongo
3. Bhangi
4. Mirungi
5. Konyagi na Valeur bila kusahau K vant
6. Mataputapu mengine(ulanzi, kindi, viduchu, kimpumu, kimono n.k)...
Duh! Akina dada wamechoka kutumiwa na za kutolea, wameamua kuongoza shughuli kwa mbele
Eng. Veronica Nyambura (right) with Rift Valley Commander George Natembeya (cemter) on Monday, March 21, 2021.
TWITTER
For years, the engineering industry was considered a preserve for the male gender but...
Wakuu poleni na majukumu.
Mimi ni mjasiriamali mdogo niliyejikita katika mradi wa ushonaji. Kimsingi huwa nauza mashati ya shule, nashona kwa oda kwenye shule zinazohitaji na kipindi cha msimu huwa nawauzia mawakala wa Kariakoo.
Kwa sasa nimeanza kushona mashati ya kike ya color combo...
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, na Taasisi ya Flaviana Matata Foundation, zimempongeza rais wa Tanzania, Rais Mama Samia Suluhu Hassan, sio tuu kwa kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bali pia kwa kuwa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni mwanamke...
Wasaalam wakuu
Hivi tunakwenda wapi na DUNIA yetu
Mwaka uliopita kulizuka habari juu
Paris Jackson, binti wa Fundi wa pop marehemu Michael Jackson, anahusika katika filmu mpya ambayo yeye atacheza kama ,Yesu Kristo kama mwanamke msagaji katika filamu hiyo mpya ya Habit
Habit, pia itachezwa...
Habari wakuu,
Tumeleta mzigo wa pochi za kina dada nzuri.
Tunauza kwa bei ya jumla na reja reja
Bei yetu ya jumla ni sh. 13,000/=✓ kuanzia PC tano tu na rejareja sh. 15,000/=
Tunapatikana Nyegezi Mwanza
Karibu WhatsApp 0763772636 popote zitakufikia kwa bei ya tabasamu
Habari Wadau,
Sisi tunajihusisha na ushonaji wa nguo za aina zote kwanza,
Nguo za Harusi ( Suti na Magauni)
Uniform za Maoffisi na Mashuleni
Mishono ya Vitenge
Casual Wear etc
Karibuni Ofisi zetu zipo kinondoni Manyanya opposite na American Chips. Mawasiliano 0737610682
Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki. Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii ina maana gani?
Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
Habari zenu wanajamii forums,
Miezi 6 iliyo pita mahusiano yangu yalivunjika sababu ambazo zilikua juu ya uwezo wangu. Niliamua kujipa mda kuzipumzisha hisia zangu katika swala zima la mahusiano ingawa kwa huu mda ambao nimejipumzisha na telationship nimekua very social na kuwa na rafiki mmoja...
Naitwa Junior Mkazi wa DSM nina miaka 27 natafuta mchumba wa kike wa kuanzisha nae mahusiano ya kudumu
SIFA:
1.Awe na umri kuanzia miaka 19-25
2.Awe mweupe au maji ya kunde
3.Asiwe mnene sana wala mwembamba sana
4.Dini yeyote
5.Kabila lolote
6.Awe na nidham pamoja na maadili mema
7.akiwa...
Baada ya utopolo wanaume , leo ni zamu ya yanga queen mpaka sasa wamefungwa mbili bila na mchezaji wao mmoja kapewa red card kwa kudaka mpira makusudi.
Tayari goli tatu.
Full time 3-0 tumeshuhudia pira biriani kwa dada zetu
Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla.
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake.
Babu Tale amesema msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.