kike

The word kike () is an ethnic slur for a Jew.

View More On Wikipedia.org
  1. afrique

    Sale sale sale nguo za kike za mtumba nusu bei

    Duka linapatikana njiro 88 pick n pay Baada ya crdb Room no 8 Nguo nzuri za kike ziko kwenye punguzo Suruali za vitambaa 10000 ukipata kuanzia 5 @8000 Magauni 10000 Skirt 10000 Jeans 8000 Instagram:Divineclothingstore_arusha 0762 998333
  2. I am Groot

    Nini sababu ya viumbe vingi vya kiume vinavutia kimuonekano kuliko vya kike?

    Sijui sababu ni nini inapelekea jambo hilo,, kwa sababu nimejaribu sana kuangalia wanyama wengi, wadudu, ndege na hata samaki; jinsia ya kiume huwa na mionekano mizuri kuliko jinsia ya kike. Labda isipokuwa kwetu binadamu na nyoka hatutofautiani sana baina yetu. Mfano wa picha katika viumbe
  3. B

    Rafiki wa Kike anahitajika

    Rafiki wa kike anahitajika umri kuanzia miaka 18 mpaka 50 Awepo maeneo ya Dar Dini yoyote kabila lolote Karibuni pm
  4. M

    Ni imani potofu: Mwanamume kufika haraka ni wingi wa nguvu za kiume na si upungufu. Pia mwanamke kuchelewa kufika ndio upunguvu za nguvu za kike!!

    ANGALIZO: KAMA HAUJAOA AU KUOLEWA PITA KIMYA KIMYA TU, HAIKUHUSU!! Upotofu huu umechagizwa na watu kutaka kupiga pesa!! Wanaume wanaaminishwa kuwa hawana nguvu za kiume kwa kuwa wanafika kileleni haraka (ndani ya dakika 5 goli tayari). Kwa hiyo wanahitaji dawa au virutubisho!! Hii ni biashara...
  5. Frumence M Kyauke

    Mfanyakazi wa kike anahitajika

    Mfanyakazi wa kike anahitajika Mawasiliano: 0684054688
  6. N

    INAUZWA Nauza sandals za ngozi OG za kike na kiume Dar

    Habari wana JF, Nauza sandals za ngozi OG za kike na kiume Dar..Jumla 18,000 rejareja 20,000. Ni imara na hazipauki kirahisi wala kukakamaa. Kwa mawasiliano nipigie 0657940974
  7. data

    Sauti za kike zilizokuwa zikimback up Ndugai wakati akiongelea Mikopo ni kina nani!?

    Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa. Kuna mmama mmoja akasema 'not at all. Hao nao hawana budi kuondoka naeee. Haki tena. Mwenye ile video aweke.
  8. T

    Utafiti: Wazazi wenye watoto wa kike ni rahisi sana kuachana kuliko watoto wa kiume.

    Utafiti uliofanyika huko Marekani na Netherlands kuanzia miaka ya 80 unaonyesha kwamba wazazi wenye watoto wa kike ni rahisi sana kuachana kuliko watoto wa kiume. Sababu inaonyesha kwamba ni rahisi kulea watoto wadogo wa kiume kuliko wa kike. Utafiti unaenda mbali zaidi na kusema talaka inakua...
  9. A

    Natafuta mpenzi serious wa kufikia malengo ya kuoana ndani ya mwaka 1

    Ni kijana wa umri wa 27 Elimu: degree Dini: mkristo Makazi: dar es salaam Kazi: kujiajili, wakala wa Tigopesa na kusajili lines Anayehitajika Elimu: form 4 mpk darasa la 7 Msichana umri chini ya miaka 23 Urefu wa saiv ya kati Uwe serious kweli. Whatsapp 0674028267
  10. Pascal Mayalla

    Kwanini Hatuna Watangazaji wa Kike wa Mpira Miguu?. Tanzania Alijitokeza Mmoja, Halima Mchuka, Leo ni Miaka 10 Toka Afariki, Kwanini Hana Mrithi?

    Wanaspoti Kwanini sisi Tanzania hatuna watangazaji wa kike wa mpira wa miguu?. Tanzania alijitokeza mmoja, Sports Lady Halima Mchuka, leo ni kumbukumbu ya miaka 10 toka alipofariki, kwanini mpaka leo hujawahi kupata mrithi?. Tujikumbushe enzi zake Video kwa hisani ya Aboubakar Liongo. Soma...
  11. K

    Mbeya wapi wanauza nguo za kike grade A mtumba

    nahitaji nguo za kike nzuri za mtumba grade A naomba mnisaidie mlioko mbeya napataje na soko gani
  12. Travis Walker

    Saikolojia ya mwanamke - Fahamu kuhusu mtoto wa kike

    Saikolojia ya Mwanamke Maelezo haya yanatoa mafunzo kuhusu tabia na akili ya mwanamke wakati anapoingia katika mapenzi na mwanaume. Na hasa mwanamke anapokuwa mrembo, fahamu atakujaribu bila hata ya yeye mwenyewe kujifahamu. Ukiweza kufaulu kwenye majaribu hayo, she feels like wow na anaanza...
  13. Gamba la Nyoka

    Hongera Serikali kwa kukubali kumtendea haki mtoto wa kike

    Hatimaye serikali imesikia kilio cha wadau wa elimu waliokuwa wakishauri kuitaka serikali iruhusu watoto wanaopata ujauzito wangali mashuleni waendelee na masomo, binafsi naipongeza serikali kwa kuona kuwa ni vyema na haki kuwaandalia utaratibu watoto hao kuendelea na masomo, Na sababu zangu ni...
  14. Frumence M Kyauke

    Hayawi sasa yamekuwa: Nedy Music na mwonekano wa tofauti ndani ya gauni la kike

    Said Seif Ally (aliyezaliwa Februari 24, 1995) maarufu kwa jina la Nedy Music, ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo za Afropop, Zouk na Bongo Flava kutoka Tanzania. Anafahamika kwa wimbo wake "Usiende Mbali". Nedy aliteuliwa kwenye tuzo za Afrima mwaka wa 2018 na alishinda katika kipengele cha...
  15. Frumence M Kyauke

    Barnaba Classic azungumzia kuhusu mwonekano wake wa kike

    Mkali wa muziki Bongo Barnaba Classic amesema anaona amefanya kitu sawa kwenye maisha yake baada ya kuonekana akitrend mitandaoni kwa kuvaa sketi ya kike. Barnaba Classic anasema haitaji kuelezea sana suala hilo kwa kuwa haliwahusu watu pia kazi yake ya sanaa inaingiliana na mambo ya fashion...
  16. Dr Matola PhD

    Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

    Makolo mulibwanji?😄😄 NAWEKA REKODI SAWA JE PABLO FRANCO MARTIN, ALIWAHI KUWA KOCHA MSAIDIZI WA REAL MADRID? Taifa limeendelea kudanganywa kwa mara nyingine, naweza kusema hivyo bila shaka. Pia, udhaifu wa wachambuzi wetu katika kulipokea jambo fulani kisha kulifanyia utafiti wa kina...
  17. Equation x

    Dalili zinazoashiria mpenzi wako wa kike anakuitaji

    Hizi ni baadhi ya dalili zinazoashiria mpezi wako wa kike anataka penzi:- Ukimuuliza swali anakujibu kwa lugha ya ukali Akianza kukusemesha yeye ataongea kwa taratibu bila kujiamini Anaweza kukuuliza kitu kisichokuwa na maana yoyote na ukahisi labda ana akili za kitoto Anasahau sahau kitu...
  18. M

    Natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya mahusiano ya kuelekea ndoa

    Wapendwa, Wasalaam! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta msichana ambaye tutaanza naye urafiki wa kimapenzi. Lakini lengo hasa ni kuona kama tunaweza kuelewana na kuelekea katika ndoa. Awe na sifa zifuatazo: - 1) Elimu: Form Four na kuendelea. Kama ni la saba, awe tayari...
  19. F

    Kwa asilimia kubwa sana dunia inaendeshwa na mawazo ya kike

    Kama dunia imekwama mahali fulani au imefanikiwa sana basi yote hayo mawili yamesababishwa na mwanamke. Wanaume wote kabisa kwa 90% ni wanawake kwa mawazo yao (ambayo ndiyo yanayotengeneza tabia zao na mifumo ya maisha yao), pia wanaishi mfumo ambao siyo dume bali jike (feminism) kasoro...
  20. J

    Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

    Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku. Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku. Naomba Ushauri wenu tafadhali.
Back
Top Bottom