kiongozi

Enjo Kiongozi (born 27 March 1990) is a Tanzanian cricketer. He played in the 2014 ICC World Cricket League Division Five tournament.

View More On Wikipedia.org
  1. Lady Whistledown

    Malawi: Kiongozi wa Upinzani ashtakiwa kwa Njama za Mauaji ya Rais Chakwera

    Patricia Kaliati (57) Mwanasiasa wa ngazi ya juu wa Upinzani na Katibu Mkuu wa chama cha UTM, amekamatwa na kushtakiwa kwa tuhuma za kupanga njama za kumuua Rais Lazarus Chakwera, huku Wanasiasa wengine wa upinzani wakidai kuwa mashtaka hayo yana msukumo wa Kisiasa. Kaliati, alifikishwa...
  2. T

    Sijawahi kumsikia kiongozi yeyote wa nchi walio serious na maisha eti anainua michezo kwa kununua magoli!

    Hapa bongo kuna kila aina ya vituko moja ya kituko kinacho niacha hoi ni huu utaratibu wa viongozi wa kitaifa eti kuifanya wanahamasisha michezo wakati ukweli ni kwamba wanajijenga zaidi kisiasa kuliko kuinua hiyo michezo yenyewe. Badala ya kukaa na kuumiza kichwa ni vipi tunakuza vipaji ni...
  3. matunduizi

    Jerusalem Post: Kiongozi mkuu wa Iran Khamenei anaumwa vibaya muda wowote anatutoka

    Kiongozi huyo mwenye miaka 85 yuko hoi sana kitandani na muda wowote anaweza kuaga dunia. Kwa sasa anayetarajia kupokea kijiti ni mtoto wake au mwingine atakayechaguliwa. Taarifa hizi zimekuja siku moja baada ya kushambuliwa vibaya kwa maeneo zaidi ya 20 huko Iran. Chanzo...
  4. Mindyou

    Rasmi, Israel yathibitisha kumuua Hashem Saffiedine, kiongozi mpya wa Hezbollah aliyechaguliwa hivi karibuni

    Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limetangaza kumuua Hashem Safieddine, kiongozi wa kidini aliyekuwa anatajwa kuwa mrithi wa Hassan Nasrallah, kiongozi wa Hezbollah. Kifo chake kilitokea kwenye shambulio la anga lililofanyika karibu na Beirut, Lebanon, takriban wiki tatu zilizopita. IDF...
  5. A

    Mwalimu Nyerere: Chagueni Kiongozi anayechukia rushwa

    Wananchi wanataka Kiongozi anayechukia Rushwa, hata ukimwangalia huyu wewe mwenyewe unaona yupo hivyo. https://youtu.be/hNq1ZG-Ve0k?si=cnOufUfawtuRb2PB
  6. RWANDES

    Tanzania inahitaji kiongozi kijana kama Ibrahim Traoré wa Burkina Faso

    Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya. Hapa kwetu wazee...
  7. Oscar Wissa

    Umuhimu wa Kiongozi wa Kiroho Kuwa na Muda na Wakristo ili Kuwaimarisha

    Katika utumishi wa Mungu, mahubiri pekee hayawezi kuwatosheleza waumini kupata uimarishaji wa kiroho. Ingawa mahubiri ni muhimu, watu wanahitaji zaidi ya neno linalotolewa madhabahuni. Wanahitaji muda wa kibinafsi na viongozi wao wa kiroho ili kupata msaada wa kiroho na kiushauri, kuelewa...
  8. Ritz

    Tetesi: Khalid Mish’al anaweza kuwa kiongozi anayefuata wa Hamas

    Wanaukumbi. BREAKING: KHALID MISH’AL ANAWEZA KUWA KIONGOZI ANAYEFUATA WA HAMAS Kuna muundo wa uongozi uliowekwa ========================= https://x.com/shaykhsulaiman/status/1846918165936091304?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
  9. M

    Kiongozi wa Mwenge kawa mkweli

    Muhtasari wa taarifa ya mbio za Mwenge 2024 imejaa ukweli mwingi. Wamejitahidi kubainisha kero na mahitaji ya wananchi kutoka mikoa mbalimbali. Sikusikia kero za wakazi.wa Dar ila kwa mujibu wa ripoti Wazanzibari wengi wameonyesha kuridhishwa na utendaji wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano na wa...
  10. U

    News alert Kiongozi mwandamizi Hezbollah Wafiq Safa anusurika shambulizi ndege za IDF zikilipuwa jengo kubwa la ghorofa Lebanon, 22 wauawa

    October 11, 2024 LATEST UPDATES ON WAFIW SAFA CONDITION FOLLOWING IDF AIRSTRIKE IN BEIRUT Report: Hezbollah official Wafiq Safa in critical condition after airstrike in Beirut Today, 1:55 pm 13 Sky News Arabia reports that Hezbollah’s Liason and Coordination Unit chief Wafiq Safa is in...
  11. Thabit Madai

    Fahamu mwili wa kiongozi U.S.S.R na uhifadhi wake

    Hii ndio picha ya mwisho ya Vladimir Lenin, aliyekuwa kiongozi wa kwanza wa Muungano wa usovieti, U.S.S.R. Mwaka 1923, Lenin alipata tatizo la kupooza na kupoteza uwezo wake wa kuongea. Hatimaye tarehe 21 January 1924 alifariki dunia. Baada ya kufariki, Joseph Stalin alichukua madaraka...
  12. Gol D Roger

    Kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Hizbollah ni kama kupewa death sentence

    🚨Lebanese media: Hezbollah member "Ibrahim Amin Al-Sayyed" refuses to assume leadership of the party; and requests to travel to Tehran in order to devote himself to worship in Iran. Why does no one agree to be the Secretary-General of Hezbollah? This is why? Head of Hezbollah Hashem safi al...
  13. G

    Kiongozi mpya wa Hezbollah aliemrithi Hassan Nasrallah alieuawa wiki iliyopita na yeye kauawa?

    Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un Rest in peace Wiki iliyopita Jeshi la Israel lilimuangamiza Nasrallah Israel ilitekeleza shambulio la kulenga huko Beirut usiku wa Jumatano kwa wakati wa eneo, dhidi ya mkuu wa kamati kuu ya Hezbollah, Hashim Safi al-Din, maafisa watatu wa Israel walisema...
  14. U

    Mayahudi wa Iran walazimishwa na Serikali kuomboleza kifo cha hassan nasrallah kiongozi mkuu wa magaidi wa Hezbollah aliyeuawa na Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Iranian Jews compelled to mourn Nasrallah's death amid oppressive climate Oct 1, 2024, 16:43 GMT+1 Updated Oct 2, 2024, 08:01 GMT+1 Jews in Iran are being pressured by the authorities to publicly mourn the death of Hezbollah...
  15. Camilo Cienfuegos

    Member wa JF “Tumia Akili” alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu na kikatokeaa kweli. Mpaka leo naendelea kushangaa!!

    Tunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili” Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea. Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
  16. U

    Naim Qassem Kaimu Kiongozi Mkuu Hezbollah atoa hutuba nzito, aionya Israel isithubutu kuivamia Lebanon watapambana nao vikali

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: In first address since killing of leader Hassan Nasrallah, Hezbollah deputy chief Naim Qassem says group is ready for any Israeli ground invasion, will select new head based on existing mechanism. https://aje.io/ohd77t
  17. D

    Kiongozi wa kata wa CHADEMA, ni sawasawa na kiongozi wa CCM wa ngazi ya kuanzia mkoa

    'Ukimchukua kiongozi wa kata wa CHADEMA, ni sawasawa na kiongozi wa CCM wa ngazi ya kuanzia mkoa au kidogo ni Taifa'' - Gavana Kaduma, Katibu wa CHADEMA kanda ya kusiniKwa urefu zaidi unaweza kuitazama kupitia YouTube channel yetu ya EastA
  18. MK254

    Hezbollah wakanusha, bado hawajamchagua kiongozi mpya

    Hezbolla, magaidi wa waislamu wakanusha kwamba kwa sasa hawajamchagua kiongozi yeyote.... Kwa namna viongozi wao wanaliwa, kila mmoja lazima aogope kutajwa yeye.............Maana ukitajwa tu, Israel wanalala na wewe mbele. =================== Hezbollah has denied that Hashem Safieddine has been...
  19. HIMARS

    Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

    Jeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana. Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake. Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah...
  20. K

    Rasmi Hezbollah yathibitisha kuuawa kwa kiongozi wao Hassan Nasrallah

    Ni rasmi ameuawa jana kwenye Makao makuu ya Hezbollah -Beirut kwa mashambulizi ya ndege za F35 ambapo eneo alilokuwemo lilipigwa na bomu la bunker lenye pound tani 2000. Hassan Nasrallah ameongoza Hezbollah kwa miaka 32,kutoka mpiganaji wa mtaani mpaka kiongozi Mkuu.
Back
Top Bottom