Patricia Kaliati (57) Mwanasiasa wa ngazi ya juu wa Upinzani na Katibu Mkuu wa chama cha UTM, amekamatwa na kushtakiwa kwa tuhuma za kupanga njama za kumuua Rais Lazarus Chakwera, huku Wanasiasa wengine wa upinzani wakidai kuwa mashtaka hayo yana msukumo wa Kisiasa.
Kaliati, alifikishwa...
Hapa bongo kuna kila aina ya vituko moja ya kituko kinacho niacha hoi ni huu utaratibu wa viongozi wa kitaifa eti kuifanya wanahamasisha michezo wakati ukweli ni kwamba wanajijenga zaidi kisiasa kuliko kuinua hiyo michezo yenyewe.
Badala ya kukaa na kuumiza kichwa ni vipi tunakuza vipaji ni...
Kiongozi huyo mwenye miaka 85 yuko hoi sana kitandani na muda wowote anaweza kuaga dunia. Kwa sasa anayetarajia kupokea kijiti ni mtoto wake au mwingine atakayechaguliwa.
Taarifa hizi zimekuja siku moja baada ya kushambuliwa vibaya kwa maeneo zaidi ya 20 huko Iran.
Chanzo...
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limetangaza kumuua Hashem Safieddine, kiongozi wa kidini aliyekuwa anatajwa kuwa mrithi wa Hassan Nasrallah, kiongozi wa Hezbollah. Kifo chake kilitokea kwenye shambulio la anga lililofanyika karibu na Beirut, Lebanon, takriban wiki tatu zilizopita.
IDF...
Wazee hili taifa letu la Tanzania wamelitapanya Sana kwa kuingia mikataba hewa ya kilaghai na mataifa ya nje . Kijana traore anezaliwa Mwaka 1987 nikijana katika viongozi wa afrika wa mfano na anafaa kuigwa, Kila anapopita wananchi hawachoki kumshangilia kwa kazi anayoifanya.
Hapa kwetu wazee...
Katika utumishi wa Mungu, mahubiri pekee hayawezi kuwatosheleza waumini kupata uimarishaji wa kiroho. Ingawa mahubiri ni muhimu, watu wanahitaji zaidi ya neno linalotolewa madhabahuni. Wanahitaji muda wa kibinafsi na viongozi wao wa kiroho ili kupata msaada wa kiroho na kiushauri, kuelewa...
Wanaukumbi.
BREAKING: KHALID MISH’AL ANAWEZA KUWA KIONGOZI ANAYEFUATA WA HAMAS
Kuna muundo wa uongozi uliowekwa
=========================
https://x.com/shaykhsulaiman/status/1846918165936091304?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Muhtasari wa taarifa ya mbio za Mwenge 2024 imejaa ukweli mwingi. Wamejitahidi kubainisha kero na mahitaji ya wananchi kutoka mikoa mbalimbali. Sikusikia kero za wakazi.wa Dar ila kwa mujibu wa ripoti Wazanzibari wengi wameonyesha kuridhishwa na utendaji wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano na wa...
October 11, 2024
LATEST UPDATES ON WAFIW SAFA CONDITION FOLLOWING IDF AIRSTRIKE IN BEIRUT
Report: Hezbollah official Wafiq Safa in critical condition after airstrike in Beirut
Today, 1:55 pm
13
Sky News Arabia reports that Hezbollah’s Liason and Coordination Unit chief Wafiq Safa is in...
Hii ndio picha ya mwisho ya Vladimir Lenin, aliyekuwa kiongozi wa kwanza wa Muungano wa usovieti, U.S.S.R.
Mwaka 1923, Lenin alipata tatizo la kupooza na kupoteza uwezo wake wa kuongea. Hatimaye tarehe 21 January 1924 alifariki dunia.
Baada ya kufariki, Joseph Stalin alichukua madaraka...
🚨Lebanese media: Hezbollah member "Ibrahim Amin Al-Sayyed" refuses to assume leadership of the party; and requests to travel to Tehran in order to devote himself to worship in Iran.
Why does no one agree to be the Secretary-General of Hezbollah?
This is why? Head of Hezbollah Hashem safi al...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Rest in peace
Wiki iliyopita Jeshi la Israel lilimuangamiza Nasrallah
Israel ilitekeleza shambulio la kulenga huko Beirut usiku wa Jumatano kwa wakati wa eneo, dhidi ya mkuu wa kamati kuu ya Hezbollah, Hashim Safi al-Din, maafisa watatu wa Israel walisema...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Iranian Jews compelled to mourn Nasrallah's death amid oppressive climate
Oct 1, 2024, 16:43 GMT+1
Updated Oct 2, 2024, 08:01 GMT+1
Jews in Iran are being pressured by the authorities to publicly mourn the death of Hezbollah...
Tunae mwenzetu siku hizi sijui kapotelea wapi, anaitwa “Tumia akili”
Jamaa alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu, na kweli ikatokea.
Mpaka leo najiuliza ni namna gani baadhi ya wanadamu wenzetu walivyo na uwezo usio wa kawaida!
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
In first address since killing of leader Hassan Nasrallah, Hezbollah deputy chief Naim Qassem says group is ready for any Israeli ground invasion, will select new head based on existing mechanism.
https://aje.io/ohd77t
'Ukimchukua kiongozi wa kata wa CHADEMA, ni sawasawa na kiongozi wa CCM wa ngazi ya kuanzia mkoa au kidogo ni Taifa'' - Gavana Kaduma, Katibu wa CHADEMA kanda ya kusiniKwa urefu zaidi unaweza kuitazama kupitia YouTube channel yetu ya EastA
Hezbolla, magaidi wa waislamu wakanusha kwamba kwa sasa hawajamchagua kiongozi yeyote.... Kwa namna viongozi wao wanaliwa, kila mmoja lazima aogope kutajwa yeye.............Maana ukitajwa tu, Israel wanalala na wewe mbele.
===================
Hezbollah has denied that Hashem Safieddine has been...
Jeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.
Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.
Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah...
birthday
hassan nasrallah
hassan nasrallah dead
hesbollah
hezbollah
inasikitisha
israel
israel vs hesbollah
kiongozi
kuteua
siku
tanzania
wakati sahihi
Ni rasmi ameuawa jana kwenye Makao makuu ya Hezbollah -Beirut kwa mashambulizi ya ndege za F35 ambapo eneo alilokuwemo lilipigwa na bomu la bunker lenye pound tani 2000.
Hassan Nasrallah ameongoza Hezbollah kwa miaka 32,kutoka mpiganaji wa mtaani mpaka kiongozi Mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.