kiswahili

  1. Kyambamasimbi

    Iwekwe siku ya kumbukumbu na kuenzi mchango wa Muziki wa Dansi katika kukuza lugha ya Kiswahili

    Katika kumbukumbu za siku ya kiswahili, sijawahi kusikia wakitajwa wasanii wa Muziki wa Dansi katika kukuza lugha ya kiswahili hasa wakati ule ambapo jamii nyingi zilikuwa Bado hazijafunguka na wengi walisthiriwa na vilugha vyao. Lakini wanamuziki wa enzi hizo kwa majitoleo na uzalendo mkubwa...
  2. Mr Why

    Diamond Platnumz ni Msanii mkubwa duniani, BASATA pamoja TASUBA kuna haja ya kumpongeza kwa jitihada zake za kukuza lugha ya Kiswahili

    Diamond Platnumz ni Msanii mkubwa duniani, BASATA pamoja TASUBA kuna haja ya kumpongeza kwa jitihada zake za kukuza lugha ya Kiswahili Diamond ni kijana wa Tanzania mwenye kiu ya kufikisha mbali Muziki wa Tanzania kuna ulazima wa kila mtanzania kuunga mkono jitihada zake za kukuza muziki wa...
  3. GENTAMYCINE

    Wanajeshi mlioko hapa JamiiForums tafadhali naomba neno sahihi la Kiswahili la 'Quarter Guard' nitawashukuruni sana

    Na nitaomba pia kama kuna Mwanajeshi yoyote yule hapa JamiiForums mwenye Kamusi Maalum ya maneno ya Kijeshi ya Kiswahili kwenda Kiingereza au Kiingereza kwenda Kiswahili aniwekee hapa au aniambie naweza kuipata wapia. Asanteni Maafande.
  4. Ricky Blair

    Kiswahili

    Je Kiswahili ni Lugha yako ya Kwanza?
  5. Tatu

    Update: Naomba Neno Moja tu la Kingereza Ambalo Halina Tafsiri Rasmi ya Kiswahili.

    Kama kichwa cha Habari kinavyosema, zaidi ya wiki sasa imepita toka nilete hii changamoto iliyopo katika lugha yetu ya Kiswahili. https://www.jamiiforums.com/threads/naomba-neno-moja-tu-la-kingereza-ambalo-halina-tafsiri-rasmi-ya-kiswahili.2228322/page-9#post-50651130 Nashukuru kwa wale wote...
  6. Mbabaishaji

    Kwa Nini Tanzania Inapaswa Kubadilisha Jina Lake Kuwa la Kiswahili?

    Jina la nchi lina umuhimu mkubwa wa kitamaduni, kihistoria, na kitaifa. Linahudumia kama ishara ya utambulisho, umoja, na fahari kwa wananchi wake. Mfano wa orodha ya baadhi ya nchi na lugha zao:- zinazohusiana: Ufaransa - Kifaransa Ujerumani - Kijerumani Hispania - Kihispania Italia -...
  7. Hance Mtanashati

    Baraza la Sanaa limfungie Bambo kazi zake. Anaharibu sana Kiswahili kwa makusudi

    Dickson Samson Makwaya (Bambo) Baraza la sanaa linashindwa vipi kumuita na kumuonya Bambo aache kuharibu lugha ya kiswahili kwa makusudi. Huyu kijana nje ya kuharibu lugha yetu ya kiswahili sidhani kama ana kitu anachochekesha. Ifike mahali sasa aonywe ikiwezekana afungiwe kabisa ,nakumbuka...
  8. Balqior

    Sitosahau mtihani wa kiswahili wa form 4 necta csee 2009

    Hello guys, Ule mtihani ulikuwa umesukwa, walioongoza kitaifa wenyewe walikuwa na B kwenye huo mtihani wa kiswahili. Hivi kwenye ule mtihani, nchi nzima kuna mtu alipata A kweli😁, nahisi alietunga ule mtihani ni mzaramo pure. Na form 4 yangu nilikutana na misamiati ambayo sikuwahi iona tangu...
  9. Tlaatlaah

    Je, unaweza kuzungumza lugha ya kabila la mzazi/wazazi wako?

    Yaani hata kile cha kuombea maji au kusalimiana au kujitambulisha tu kwa walugha wenzio. Haya ni matokeo ya fikra na falsafa chanya ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K. Nyerere katika kupiga vita na kutokomeza mipaka na ubaguzi wa kikabila nchini. Kwa mafanikio na matokeo haya, nadhani nia yake hii...
  10. L

    China yaungana na Waswahili kukikuza Kiswahili kwa kukitumia hadi kwenye tamthilia zake

    Kwa zaidi ya miongo miwili, sera ya China kwa Afrika ilijikita zaidi katika maendeleo na miundombinu. Lakini sasa imepanua mawanda yake na kuingia ndani zaidi hadi kwenye utamaduni na lugha, ikitumia njia ya kukikuza na kukieneza Kiswahili ili kujenga ukaribu zaidi na wenzao wa nchi za Afrika...
  11. Mullykim

    Tangazo la Tasker lager la Kiswahili

    Hivi unakumbuka tangazo la TUsker klager, aliimba TID, linaongelea kuhusu "Twende Pamoja ni wakati wetu" Ni kama hili, ingawa hili ni la Kenye wamefanya kwa Kiingereza. https://www.youtube.com/watch?v=gJl_q_Twt34 Kama mtu anajua pa kulipata em tusaidie kuweka link. Asante
  12. Victor Mlaki

    Mhadhara wa Uprofesa: Machungu ya MV Bukoba, Dola na soko

    Katika tukio la kipekee ambalo linakipa Kiswahili nafasi iliyopokwa siku nyingi ni tukio la muhadhara wa uprofesa kuendeshwa Kwa lugha ya Kiswahili. Mchango mkubwa wa Profesa Mkandala katika hili siyo jambo dogo. Ni dhahiri kuwa ana mchango mkubwa yeye binafsi na kupitia historia yake ya...
  13. Kidagaa kimemwozea

    SoC04 Tanzania inavyoweza kunufaika na Lugha ya Kiswahili kama raslimali nyingine

    Katika makala hii tutajadili jinsi ya kukufanya kiswahili kuwa bidhaa, jinsi ya kukufanya kuwa na mashiko kiuchumi, mbinu mpya ya kukiendeleza na kuwavutia zaidi wazungumzaji na jinsi tunavyoweza kunufaika na Lugha hii katika muktadha wa kiuchumi. Ubidhaishaji wa lugha ya kiswahili tunaweza...
  14. UMUGHAKA

    Watanzania tujifunze Kiswahili tuache ujanja ujanja!

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! Nimekuwa nikishangazwa na maneno haya mawili (2) ambayo yamekuwa yakitumika sana na jamii mbalimbali ya watanzania!. Maneno hayo ni :- 1.Uzuri 2.Urembo Haya ni maneno mawili tofauti,lakini watanzania wengi wamekuwa wakidhani ni neno moja...
  15. Kitotole

    Wimbo: Cavalier solitaire mwimbaji: JB Mpiana ft Papa Wemba tafsiri: Sule Mkandarasi

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : Cavalier Solitaire 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : J.B MPIANA ft PAPA WEMBA 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: 𝙎𝙐𝙇𝙀 𝙈𝙆𝘼𝙉𝘿𝘼𝙍𝘼𝙎 𝙒𝙖𝙨𝙬𝙖𝙝𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙨𝙚𝙢𝙖 "𝙐𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙣𝙞 𝙨𝙬𝙖𝙡𝙖 𝙙𝙤𝙜𝙤 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙬𝙖𝙬𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙤𝙥𝙚𝙣𝙙𝙖𝙣𝙖" 𝙃𝙞𝙞 𝙞𝙣𝙖𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙮𝙖 𝙠𝙬𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙞𝙠𝙞𝙬𝙖 𝙬𝙖𝙬𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙥𝙚𝙣𝙙𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙙𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙗𝙖𝙨𝙞 𝙝𝙖𝙬𝙖𝙩𝙤𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙩𝙚𝙣𝙜𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙪𝙩𝙤𝙠𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙨𝙖𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙞𝙨𝙝𝙞 𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞...
  16. KENZY

    Tujuzane maneno sahihi ya Kiswahili...

    Mada hii itakuwa ni mada maalum ya kujulishana usahihi wa maneno yakiswahili,sanasana uandishi wa maneno hayo au maana n.k Yapo maneno yanayotutatiza ama katika uandishi au matumizi yake,hapa pawe uwanja wakuchambua,kurekebisha nakuelimishana juu ya maneno hayo. Nikianza namimi binafsi maneno...
  17. L

    Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa Kiswahili

    Naombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia Kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika. Natanguliza shukrani.
  18. Stephano Mgendanyi

    Serikali Imeahidi Kufanya Jitihada za Kuhakikisha Mtandao wa Google Unakuwa na Tafsiri Sahihi na Sanifu kwa Lugha ya Kiswahili

    Serikali Imeahidi Kufanya Jitihada za Kuhakikisha Mtandao wa Google Unakuwa na Tafsiri Sahihi na Sanifu kwa Lugha ya Kiswahili "Lugha ya Kiswahili kwa sasa ni Lugha rasmi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC), Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Umoja wa Afrika (AU). Kila tarehe...
  19. GENTAMYCINE

    Tafadhali mwenye Ktabu chochote au Chapisho lolote la Kumfundisha Mtu vyema Lugha ya Kiswahili aniwekee hapa ili 'Nikidanlodi' haraka sana

    Huyu Mrembo wa Kinyankole hapa Uganda sitaki nimkose na anapenda sana Kujua Kiswahili hivyo nisaidieni nisimkose.
  20. DeepPond

    Maana ya baadhi ya maneno ya kiingereza

    Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee 1. Charger – kimemeshi 2. Appetizers –vihamuzi 3. Simcard – kadiwia/mkamimo 4. Memory card –kadi sakima 5. Business card – kadikazi 6. Microwave –tanuri miale 7. Cocktail party – tafrija mchapalo 8. Lift – kambarau 9. Toothpick – kimbaka 10...
Back
Top Bottom