Wana JF,
Leo Tarehe 5/7/2023 asubuhi wakati nasikiliza BBC kupitia Radio Free Afr., nimeshangaa kusikia kwamba nchi moja wapo ya majirani zetu wameamua kufundisha lugha ya KISWAHILI katika primary schools zao.
Sasa, kilichokuja kunishangaza ni kusikia mwalimu shuleni akiwafundisha watoto...