Korona Kielce, Polish pronunciation: [kɔˈrɔna ˈkʲɛltsɛ], (Korona – Crown – symbol of club and city, Kielce – name of city where club is based) is a Polish football club, currently playing in the Ekstraklasa. In the years 2002–08 Club belonged to Polish holding company Kolporter Holding and achieved its greatest success – in 2005, winning promotion to the first division (Ekstraklasa). Since then Korona has spent 5 seasons in Polish soccer top level. In 2006–07 season Korona played in the final of the Polish Cup. As a result of alleged corruption after 2007–08 season Club was relegated to I liga. After a one-year banishment Korona returned to the Ekstraklasa.
Tafiti zinaonesha kuwa virusi vya Korona haviambukizwi kupitia njia ya kunyonyesha
Hivyo mama aliyethibitika au kuhisiwa kuwa na Virusi vya Korona anaweza kuendelea kunyonyesha mtoto wake isipokuwa atazingatia yafuatayo:-
Kuosha mikono mara kwa mara na sabuni na maji tiririka au kwa kutumia...
Glovu zinazotumika mara moja huvaliwa katika kazi za kitabibu. Glovu hizi hazina ufanisi katika maisha ya kila siku katika kujikinga na Korona.
Usivae glovu katika mazingira ya kawaida kila siku kama vile unapofanya manunuzi.
Kuvaa glovu kunaweza kukufanya ujihisi kuwa upo salama hali ambayo...
Nimegundua mwaka ni mdogo sana katika maisha,
Kama yalivyo mafupi maisha yenyewe. Hatahivyo vinaunogosha na kuukimbiza mwaka ni pamoja na MATUKIO (mnapigwa matukio, mnapigwa matukio, mkija kujistukia mwaka huo umeisha unakuja mwingine)
Ingawa mengine yanatokea tu kwa matakwa ya 'muweza' yapo...
Watu walikuwa wengi kwelikweli, ni maelfu ya watu wamekusanyika kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Kilimanjaro Marathon. Miongoni mwao wapo ambao hawakuvaa barakoa kabisa, na wamo amabao walizivaa na kuzivua.
Mkusanyiko wa mahali hapo ulikuwa ni mkubwa kiasi kwamba kaa kuna wstu wana virusi...
Ambassador to Tanzania. I want to talk to you about COVID-19, and how we can work together to prevent its spread and help all of us stay safe.
Since the start of the Covid-19 pandemic, almost two and a half million people have died of the disease. The loss is staggering, and no country has...
Mganga wa tiba mbadala ndugu Shabani wa Lushoto mkoani Tanga amesema amegundua dawa ya kinga ya Corona ambayo imewasaidia watu wengi mkoani Tanga.
Shabani amesema dawa hiyo ni kinga kwa magonjwa yote ya mfumo wa kupumua na kwamba hadi sasa wabunge wengi wameshakwenda hapo Lushoto kunywa kikombe...
Waziri wa fedha na mipango Dkt. Philp Mpango amesema anarudi kuchapa kazi baada ya mkono wa Mungu kumvusha na ugonjwa uliomkumba mpaka akalazwa.
Waziri Mpango amesema haya (Nukuu) - Narudi kazini na kazi ndogondogo nimekwishaanza za kulitumikia Taifa. Watanzania tuendelee kumwomba Mungu kwa...
Awali ya yote napenda kutoa salamu za dhati kabisa kutoka katika kina cha nia yangu kwenu nyote nikiwa na uhakika salamu hii itapokelewa na kila mtu atakayesoma andiko hili na kuruhusu kuelewa zaidi ya uelewa ulivyo.
Natamani sana andiko langu niliweke katika lugha ambayo itamfanya kila mmoja...
Huyu ni mwanasayansi gani asiyetambua ukweli? Kirusi cha Corona kwenye nguo uhai wake siku mbili na kwenye vyuma kinaishi hadi siku nne.
Kontena tuka huko kwa mabeberu usafirishaji unachukua wiki tatu hadi mwezi kufika Tanzania. Sasa virusi gani tunavyoletewa toka kwa mabeberu?
Propaganda...
Wakuu wenye bongo bobevu,
Hili bandiko limekusudiwa kuuliza wataalamu wabobezi kwamba, mosi,
1. Je, vimelea vya virusi vya Korona vilitokea tu kutokana na nguvu ya asili na mabadiliko ya hali hewa ikiwa na chanzo cha viumbe hai ama mimea au vimetengenezwa na binadamu kupitia utafiti wa utukutu...
TAARIFA KWA UMMA
Ndugu Watanzania,
TAMKO LA TLS JUU YA KUWEPO KWA WIMBI LA PILI LA UGONJWA WA KORONA NCHINI
Mnamo tarehe 13 Februari 2021 Baraza la Uongozi la TLS lilikutana kutekeleza majukumu yake na moja ya ajenda ya kikao hicho ilikuwa ni umuhimu wa TLS kuitaka Serikali kutoa tamko...
Kufuatia tahadhari zinazoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali za elimu ya juu Nchini ikiwemo Chuo kikuu cha Daressalaam (UDISM) na chuo kikuu Huria (OUT), Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) nacho kimewatahadharisha wanajumuiya wa taasisi hiyo kuchukua hatua stahiki za tahadhari dhidi ya...
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA
OFFICE OF THE VICE CHANCELLOR
P.O. Box 23409 Tel: 255-22-2668992/2668445 Dar es Salaam, Tanzania Fax: 255-22-2668759
http://www.out.ac.tz E-mail: vc@out.ac.tz
WARAKA WA TAHADHARI YA MAAMBUKIZI YA COVID 19 NA 21
8 Februari 2021, Dar es Salaam,
Ndugu...
Nimemsikiliza waziri Kabudi ambaye alimwakilisha Rais Magufuli kwenye kikao cha Umoja wa Afrika. Wakati Rais Ramaphosa wa Afrika ya Kusini akiwa ni mwenyekiti anayemaliza muda wake, akieleza jinsi korona ilivyovuruga mipango ya maendeleo katika bara la Afrika, Tanzania ilitoa msimamo wake na pia...
Nimesoma sehemu kuwa miili ya watu wengi waliokufa korona imekutwa na damu ikiwa imeganda kwenye mishipa midogomidogo ya damu na kuiziba (thromoembolism). Wamesema hii ni moja ya complication ya korona.
Sasa kitunguu swaumu kina tabia ya kufanya damu iwe nyepesi na isigande kirahisi. Naona ule...
Mbinu Binafsi Dhidi ya Korona
NARUKA!: Haya ni maoni binafsi. Mimi si daktari tabibu wa binadamu (MD). Ukiyafuata yaliyoandikwa humu ni kwa hasara na hatari yako mwenyewe. Yaliyoandikwa humu siyo ushauri wa afya. Pata huduma kwa watoa huduma za afya wanaotambulika na mamlaka husika kwa masuala...
Hili gonjwa lipo na siku ukibahatika kumuona mgonjwa wa COVID19,utataka siku hiyohiyo uchanjwe chanjo yake.
Kama hujaona ndugu yangu basi omba usione wewe kubali kuchanjwa tu siku ikifika uachane na siasa.
Ebu Leo tuambizane ukweli hapa!!
Hivi ni kweli kabisa Dunia imeshindwa kuwakamata waliotengeneza kirusi cha korona?
Mataifa makubwa wameshindwaje kung'amua mipango ya uaandaaji wa kirusi hiki hadi project ikakamilika?
Ukiangalia mtandaoni zipo video nyingi sana ikiwemo (Contagious)...
Korona 2.0 Kwani Rais ana Ubia na Maisha Yenu?
Na. M. M. Mwanakijiji
Naandika kama shabiki wa Magufuli; naandika kama mtu ambaye nimeelewa malengo yake na mitazamo yake, na ninaandika kama mtu ambaye sijaegesha akili yangu mahali mwenyewe nikaondoka. Nimesoma na kufuatilia mijadala ya kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.