korona

Korona Kielce, Polish pronunciation: [kɔˈrɔna ˈkʲɛltsɛ], (Korona – Crown – symbol of club and city, Kielce – name of city where club is based) is a Polish football club, currently playing in the Ekstraklasa. In the years 2002–08 Club belonged to Polish holding company Kolporter Holding and achieved its greatest success – in 2005, winning promotion to the first division (Ekstraklasa). Since then Korona has spent 5 seasons in Polish soccer top level. In 2006–07 season Korona played in the final of the Polish Cup. As a result of alleged corruption after 2007–08 season Club was relegated to I liga. After a one-year banishment Korona returned to the Ekstraklasa.

View More On Wikipedia.org
  1. TODAYS

    Muongozo wa Serikali: Kuhusu Muhula wa I na II 2020 Baada ya Ugonjwa wa Corona

    1. Muhula wa kwanza utaanza tarehe 29.06.2020 mpaka tarehe 28.08.2020 2. Likizo fupi itakuwa kuanzia tarehe 29.08.2020 mpaka 06.09.2020 3. Muhula wa pili utaanza tarehe 07.09.2020 mpaka tarehe 18.12.2020 4. Siku tulizosoma kabla ya kufunga shule kwaajili ya corona ni 52,siku zilizobaki...
  2. J

    Kipindi hiki cha lockdown umejifunza nini?

    Dah hamuwezi amini katika kipindi hiki cha kukaa ndani numejifikiria nanimegundua kwamba p,q,d,b, zote ni herufi moja sema matumizi na mikao ndo inafanya zionekane tofauti. Tupia fikra zako tuedelee ku share ideas mbali mbali
  3. Cannabis

    Rais wa zamani wa Malawi, Joyce Banda asema nchi hiyo haina Corona

    Rais wa zamani wa Malawi Joyce Banda amesema nchi hiyo haina virusi vya Korona na kuituhumu serikali kwa ‘kugushi’ takwimu. Vyombo vya habari vya Malawi vimeripoti kuwa Bi Banda alinena hayo akizungumza kwenye mkutano wa hadhara. Aidha ametaka fedha za misaada dhidi ya Corona zitumike kwa...
  4. M

    Utafiti waonyesha Mask na Social distance inasaidia kupunguza usambaaji wa Corona

    Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa uvaaji wa Maski na social distancing vinasaidia sana kupunguza ueneaji wa virusi vya Corona. Kwetu hapa Tanzania, wananchi walikuwa wameanza kuwa na mwamko wa kuvaa barakoa. Ilikuwa ukienda kwenye madaladala au magari ya mwendokasi unakuta wananchi wamevaa...
  5. guwe_la_manga

    Kuna fursa gani za kibiashara pale Namanga Border kipindi hiki cha Corona?

    Wakuu, ni biashara gani inayoweza nitoa haraka kama nitaileta mpaka wa Namanga kwa sasa?
  6. kimbendengu

    Tetesi: Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza pia apatikana Corona

    Rais anayemaliza muda wake Nkurunzinza pamoja na mkewe wamepimwa na kukutwa na Virusi ya Corona ======= It is now emerging that Burundi’s President Pierre Nkurunzinza could after all have contracted Coronavirus (Covid-19). Sources in Bujumbura close to Presidency indicate that soon after the...
  7. M

    Kwa kuwa Tanzania inadai imefanikiwa kudhibiti virusi vya Korona, nashauri isipewe misaada ya kupambana na Korona

    Kwa kuwa tayari Tanzania imeudhihirisha ulimwengu kuwa tayari imeshinda Vita ya ugonjwa wa Korona na Hadi sasa in wagonjwa wasiofika hata 20 kwa nchi nzima, nazishauri nchi za magharibi ambazo bado zinatoa misaada kwa serikali ya Tanzania yenye lengo la kupambana na virusi vya Korona, nchi hizo...
  8. L

    Kama taarifa ya janga la korona haina umuhimu Tanzania kwanini vyombo vyetu vya habari viendelee kutoa taarifa za mataifa mengine?

    Baadhi ya vyombo vya habari kama ITV na UTV hapa nchini kila baada ya taarifa ya habari hutoa summary ya mwenendo wa maambukizi ya korona duniani. Je kuna faida au madhara gani kwa wananchi kusikia taarifa ya mwenendo wa Korona kwa mataifa ya nje tu bila kujua kinachoendelea nchini? Je...
  9. M

    Haiwezakani siye tusiwe na korona wakati Kenya wana visa zaidi ya 1600, jihadhari

    Kenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha. Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua. Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa...
  10. B

    Mgonjwa wa Corona haambukizi baada ya siku 11 hata kama atakuwa 'positive'

    Utafiti mpya umeonyesha kuwa mgonjwa wa korona ana uwezekano kubwa wa kutoambukiza watu wengine baada ya siku 11 hata kama akipimwa akaonekana ni positive. Jielimishe zaidi. ====== Covid-19 patients are no longer infectious after 11 days of getting sick even though some may still test...
  11. Zitto

    Korona: Watanzania Tujilinde, Serikali inajali Uchumi kuliko Uhai wenu - Zitto

    KORONA: HATUA ZA SERIKALI NA UMUHIMU WA KUJILINDA WENYEWE UTANGULIZI Ndugu wananchi wenzangu, Kama mnavyofahamu, sisi ACT Wazalendo tumekuwa tukiuchukulia kwa uzito wa juu kabisa ugonjwa wa Virusi vya Korona (Covid 19). Sio tu kwa sababu tunaamini kwamba ugonjwa huu kama janga la dunia...
  12. chiembe

    Wakuu wa Ofisi za umma zinazonyima wananchi huduma kisa Corona au kutovaa barakoa, wafukuzwe kazi

    Mkuu ameshatoa agizo watu wachape kazi, yeye mwenyewe havai barakoa. Sasa kuna ofisi za umma zinanyima huduma wananchi kisa hawajavaa barakoa, hawa wafutwe kazi. Jaji Mkuu na majaji wenzake na mahakimu wametengeneza genge la ulaji, wananunua TV kama wamechanganyikiwa, huu ni ufisadi mkubwa...
  13. wanzagitalewa

    Corona: Sekta mbalimbali zinavyobadili sera za kiutendaji kulinda wafanyakazi na kupunguza maambukizi

    Mlipuko wa homa ya kirusi cha corona umelazimisha sekta nyingi kutazama upya namna zinavyoendesha kazi zake. Katika juhudi za kupunguza maambukizi na kulinda wafanyakazi sekta nyingi zimejaribu kutengeneza sera mpya kiutendaji. Nchini Tanzania, Mamlaka ya Usafiri wa Anga mwanzoni ilichukua...
  14. M

    Propaganda za CCM zinawafanya Watanzania waamini kuwa hakuna korona nchini

    Viongozi wa CCM wanashangaza, wanatuhimiza kunawa mikono, kuvaa barakoa, kuepuka mikusanyiko na kukaa Nyumbani Kama hauna sababu ya kutoka, lakini wakati huo huo wanatuambia kuwa Tanzania Hakuna korona. Cha kushangaza idadi ya Madereva wanaopimwa na kukutwa na virus vya korona kwenye mipaka ya...
  15. anonymousafrica

    Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, DK Abdallah Possy aitaka timu ya Simba Sc kutotumia kigezo cha Ugonjwa wa Korona kutaka ubingwa

    Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, DK Abdallah Possy aitaka timu ya Simba Sc kutotumia kigezo cha Ugonjwa wa Korona kutaka ubingwa, na hivyo kuwataka waache uoga ili wamalizie ligi a
  16. Chagu wa Malunde

    Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

    Nauliza hili swali sababu kama wananchi tunataka kufahamu ukweli juu ya hili janga. Tunataka waziri wa afya, au msemaji mkuu wa serikali kila siku awe anatoa taarifa zilizo rasmi. Mbona nchi za wenzetu ambazo zimekumbwa na hili janga kila siku lazima watoe taarifa rasmi kuhusu...
  17. FRANC THE GREAT

    Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

    Habari! Karibu ili kujuzwa na pia kupata taarifa (masasisho) mbalimbali ya kile kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) almaarufu kama "kirusi cha Wuhan" kutoka nchini China. Katika uzi huu utapata kufahamu mambo mbalimbali hususani hali ya ongezeko na ukuaji, jitihada...
  18. Analogia Malenga

    Virusi vya Corona: Zanzibar Yapokea Mashine Yenye Uwezo wa Kupima Watu 288 kwa Siku

    Zanzibar imepokea mashine moja yenye uwezo wa kupima sampuli 288 kwa saa 24. Mashine nyingine mbili zilizoagizwa zitafika nchini humo muda wowote kuanzia sasa. Zanzibar iliazimia kuwa na Maabara ya kisasa ya kupima COVID19 nchini humo ili wasiwe wanatuma sampuli kwenye maabara zilizoko Dar es...
  19. M

    Unaziamini dawa za kienyeji, unadhani Waafrika watafanikiwa kujipatia ufumbuzi wa Korona?

    Nchi za Afrika zinakabiliwa na shinikizo zaidi la kutafuta mikakati ya kupambana na janga la Corona. Huku ulimwengu ukiwa mbioni kutafuta chanjo na tiba ya ugonjwa wa Covid 19 ambao umeathiri kila kona ya ulimwengu. Nchi kadhaa za Afrika zikiongozwa na Madagascar zimevumbua dawa za kiasili au...
  20. M

    Wanatupotosha tena, wanaokufa na Corona wakiwa na magonjwa mengine hawafi na Corona

    Wanadai wagonjwa wa magonjwa mengine wakipata korona wanakufa na magonjwa hayo siyo korona, kama kisukari, moyo, saratani n.k. Lakini duniani kuna hata watoto walio fit bila magonjwa mengine, wamekufa na korona, kuna watu wazima wenye Afya zao wamekufa na korona. Kwa madai yao wanatupotosha...
Back
Top Bottom