korona

Korona Kielce, Polish pronunciation: [kɔˈrɔna ˈkʲɛltsɛ], (Korona – Crown – symbol of club and city, Kielce – name of city where club is based) is a Polish football club, currently playing in the Ekstraklasa. In the years 2002–08 Club belonged to Polish holding company Kolporter Holding and achieved its greatest success – in 2005, winning promotion to the first division (Ekstraklasa). Since then Korona has spent 5 seasons in Polish soccer top level. In 2006–07 season Korona played in the final of the Polish Cup. As a result of alleged corruption after 2007–08 season Club was relegated to I liga. After a one-year banishment Korona returned to the Ekstraklasa.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Simpendi na sikumchagua Magufuli lakini naunga mkono 100% msimamo wake kuhusu Korona

    Korona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpaka leo hakuna kinga, ukimwi...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona

    Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango, amewataka watumishi wa wizara hiyo kuchukua tahadhari zote kuhusu ugonjwa wa corona, licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa. Dk Mpango alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa Wizara...
  3. M

    Corona hakuna nchini, lakini majirani zetu wanayo

    Serikali ya Tanzania na hasa kiongozi wetu mkuu amerudia mara nyingi kuwa hatuna ugonjwa wa Covid-19 na wote tumeshuhudia ya kuwa kambi na wodi zilizokuwa zimetengwa zilifungwa tangu mwaka jana.Hili ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu. Jambo moja ambalo binafsi sikubaliani nalo ni hili la...
  4. Infantry Soldier

    Wanahabari na Kiswahili: Je, ni neno lipi la Kiswahili sanifu huanza kwa consonant "C" na vowel "O"? Virusi wale ni sahihi kuwandika Corona au Korona?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa jamiiforums Ndugu zangu watanzania; Je, ni neno lipi la Kiswahili sanifu huanza kwa consonant "C" na vowel yoyote ile kama "O"? Virusi wale ni sahihi kuwaandika Corona au Korona? Kwa kawaida ya uandishi wa lugha hii ya Kiingereza maneno...
  5. Superbug

    Mama yangu anakohoa sana, inasemekana kuna vikohozi vya moyo. Naomba msaada wa dawa

    Aisee naomba msaada wa dawa gani nimpe mama yangu maana anakohoa Sana Tena kwa muda mrefu huu ni mwaka wa tatu. Ila sio korona maana hamuambukizi mtu na kazi anafanya Kama kawaida ila kwakweli amekohoa muda mrefu mpaka namuonea huruma. Nimejaribu kuulizia Kuna wanaosema ana kikohozi Cha moyo...
  6. Q

    Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Coronavirus

    Dar es Salaam, The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Dr Dorothy Gwajima, yesterday said the government will issue an official statement on its stand regarding Covid-19 vaccines soon. Many countries around the world are rolling out the vaccine following...
  7. Q

    Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Korona inayotolewa na WHO kwa nchi mbalimbali duniani

    Dar es Salaam The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Dr Dorothy Gwajima, yesterday said the government will issue an official statement on its stand regarding Covid-19 vaccines soon. Many countries around the world are rolling out the vaccine following...
  8. V

    Naunga mkono kwa asilimia mia Serikali kutoagiza Chanjo ya Corona kutoka nje

    Naiunga Mkono Serikali kwa ASILIMIA MIA isiruhusu wala kuagiza CHANJO ya Corona. Hii ni kutokana na taarifa zinazozunguka kuhusu uwezekano wa chanjo kutokuagizwa kuleta hapa nchini. Hii ni kutokana na mwenendo mzima wa hali ya Ugonjwa Duniani ambayo inaweza kutuoatia taswira ya chanjo yake...
  9. Mparee2

    Tanzania tuwe na vituo vya kupimia Coronavirus ili kuokoa utalii

    Wengi tunajua kuwa Utalii umekuwa na Mchango mkubwa sana kwa ukuaji wa Uchumi wetu na ajira kwa Watanzania Kutokana na hili Janga la Corona kumekuwa na changamoto kubwa tunayopata kwa mashirika ya ndege na Nchi nyingi za Ulaya na Marekani kuhitaji wageni wawe wamepima nakupata majibu negative...
  10. B

    Kama mkoani au wilayani kwenu kuna mradi wa covid-19 Korona tafadhali tujulishe mnanufaikaje na huo mradi

    Wana Jamvi kama Mkoani kwenu au WIlayani kwenu kuna miradi ya kupambana na COVID19 tafadhali njoo utujuz mnanufaikaje.
  11. The Mongolian Savage

    Corona imeleta baraka. Ureno imewapa wahamiaji wote residence permit

    Habari Wanajamvi Serikali ya Ureno imewapatia wahamiaji wote waliokuwa wanaishi nchini humo bila vibali, vibali vya kuishi. Pia imeenda mbali na kuwapa wote ambao maombi yao yalikuwa processed pamoja na wale walionyimwa. Pia imehusisha asylum seekers wote. Na wote watapewa haki sawa kama za...
  12. M

    Uchaguzi 2020 Upinzani hizi dakika za majeruhi naona Dkt. Magufuli anatuumiza sana na hoja ya korona, tujipange kumjibu

    Kwa jinsi anavyoipiga kwa sasa kila anapopita ni kama anaiweka kichochezi hivi, kwa sababu hadi sasa ni kweli Korona ipo na Ulaya na marekani hari bado ni tete. Yeye anazungumzia mambo yaliyopita kuwa vingozi wetu walikimbia bungeni mara kujilokudouni hii anatuchafua sana, na kibaya zaidi...
  13. D

    Miguu kuuma na uchovu mwili kuuma inaweza kuwa ni dalili mpya ya Corona?

    Nimesikia watu wengi Sana tangu kipindi Cha korona kianze wanalalamika miguu kuuma, na maumivu ya mwili bila sababu! Je, inaweza kuwa dalili mpya ya korona? kwamba labda mili ya watu Sasa imekuwa sugu na korona kiasi Cha mili ya watu imejitengenezea ant-bodies (Kinga) ambazo zinapambana na...
  14. A

    Uchaguzi 2020 CHADEMA hawaaminiki, tuwapime kwa ishu ya Korona tu tutapata picha

    Wanabodi, Sina lengo la kuishambulia CHADEMA ila Kuna mambo yananitatiza kuhusu kuaminika kwao. Sote tunajua timbwili walilolianzisha bungeni kuhusu korona mpaka kufikia kijikarantini kibabe. Wakati wenyewe wanajikaranti, wapiga kura wao walikuwa wanapambana uraiani kutafuta mkate wao wa kila...
  15. I

    Kama jpm alipeperusha korona na Hali uko hivi, he asingeipeperusha ingekuwaje!

    Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau. Maskini jpm mi nakuonea huruma...
  16. P

    Trump tested positive for Coronavirus

    Trump na mke wake Melanie wakutwa na virus vya Corona. Rais wa Marekani Donald Trump na mkewe wakutwa na #CoronaVirus, amesema ataanza kukaa karantini haraka iwezekanavyo Rais Trump alipima baada ya msaidizi wake, Hope Hicks KUkutwa na maambukizi na kufanya maambukizi ya #COVID19 kuingia...
  17. T

    Lissu alitaka tufe na Corona kwa wingi ili Magufuli ashindwe halafu anataka awe Rais wetu?

    Alitaka tufe na Corona kwa wingi ili Magufuli ashindwe halafu anataka awe rais wetu? Alisema Magiufuli atake asitake korona intamshinda na kuthibitisha hana uwezo wa kuongoza, alitaka korona ituue kwa wingi kuthibitisha yake sio? Si lolote si chochote ila anataka urais anufaike yeye na jamaa...
  18. M

    Wakati nchi ya jirani imerekodi visa 15,601 vya korona, Tanzania inapaswa kuchukua tahadhari kwenye mipaka yake

    Kufikia jana tayari Kenya imerekodi visa 15601 vya wagonjwa wa korona huku visa 700 vikirekodiwa kwa Jana pekee. Hali inazidi kuwa mbaya zaidi kwa nchi hii jirani. Mwingiliano baina ya raia wa nchi hizi mbili ni mkubwa mno na kama Tanzania ikiendelea kurelax na kuona kwamba hili siyo gonjwa la...
  19. Venus Star

    Kiswahili: Siri ya Tanzania kushinda Corona

    Nimekaa na kutafakari kwa kina tunu ya lugha yetu hii ya Kiswahili. Kiswahili kilitumika katika kuleta uhuru wa Tanganyika na Zanzibar. Kiswahili kilitumika kuunganisha makabila zaidi ya 120 yaliyopo Tanzania. Kiswahili kilitumika kumng'oa Nduli Idd Amini Dadaa, alipojaribu kuivamia Tanzania...
  20. M

    Wananchi wote wasifiwe kwa kujilinda na korona, Mungu ashukuriwe inaisha.

    Sasa naamini Mungu anailinda Tanzania na korona, lakini pia sababu sisi ni wasafi sana kuhusu pua na mdomo, tunakinyaa cha vyote kutoka puani na mdomoni. Yaani dunia nzima inavyoogopa korona na bado kuipata kwa wingi zaidi, pamoja na lockdown zao kali za hata kuuwa wananchi wasiofuata sheria...
Back
Top Bottom