Wakuu habari za mwaka huu wa 2022!
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimeshajenga msingi tu.
Nyumba ina vyumba vitatu kimoja master, choo Cha public kipo ndani pia, sebule, jiko, stoo, dining, veranda mbili nyuma na mbele na pia kuna gharama za kuchimba chemba ya choo na kujenga fensi/ukuta...
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.
Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.
Sasa, watanzania...
Unaponunua nyumba au kiwanja ni uwekezaji wa kudumu. Ni muhimu ufahamu;
Kiwango cha uhakifu,
Utoro na mahudhurio ya watoto ma shuleni,
Kiwango cha kelele na udhibiti wake.
Haya mambo uyafahamu wakati umehamia, yanaweza hata kuathiri thamani ya nyumba au kiwanja unapotaka kukiuza. Mfano tu...
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Habari wadau,
Baada ya kuwa kwenye ajira kwa miaka 10 na kuona msoto uko pale pale,nimeamua kuingia kwenye kilimo kama njia ya kuongeza kipato cha ziada.
Nimeanza kwa kukodi shamba Ruvu kwani mimi niko Dar na niko kamili kwa kuanza na heka 2.
GHARAMA
Nimekodi shamba laki 3(@150,000),nikafyeka...
Kuna video inatrend jamaa wawili wako kwenye gari ndogo wanajirekodi video. Kufumba na kufumbua gari ya mbele yao inafunga break ghafla wanaipiga kwa nyumba hawaja kaa sawa dreva anataka kuitoa pembeni wanakutana na Basi uso kwa uso na wote wananyamaza kimya kwenye video.
Je, wamekufa?
Hiyo...
Habarini wadau, nizame moja kwa moja kwenye lengo la uzi.
Kumekuwa na Changio la NSSF la kisheria kwa wafanyakazi wa umma na binafsi na baadhi yenu mmekuwa mkisaidia taasisi zenu kukusanya na kudeposit kwenye control number husika.
Cha kushangaza kama inavyosemekana ni kwamba imekuwa ngumu...
Nianze na Profesa Mwandosya
Ni mhandisi wa umeme
Alisomea Japani
Amefundisha vyuo vikuu vingi kwanjia ya video conference kitambo
Hakusomea masters ila akawa Prof how? Alikuwa wizara moja na JK enzi za Mwinyi. Wakagombana. Mwinyi akawapatanisha
JK alipokuwa waziri akamteuwa kwenye serikali...
Ninajua hii itaondolewa hapa haraka,, some na usambaze. Chanjo ya covid 19 inamtengeneze mtu mpya. Hutakuwa wewe tena wala watoto wako, na vizazi vyakkko vyote. Ndiyo sababu inapigiwa kelele kwa lazima bila kujali kuna magonjwa mengi zaidi yanayoua kuliko corona.
Sasa hivi serikali...
Habari zenu wana JF,
Kuna magonjwa mengine kama yanadharirisha hivi jinsi ya kuyatamka kwa watu.. lakin ndo hvyo waswahli walishatwambia mficha malazi kifo umuumbua.. Mimi ndugu zangu nina tatizo la jipu limenitokea kwenye makalio pemben kidogo mwa njia ya haja kubwa..
Ni kama uvimbe ulio...
Wakuu habari za asubuhi,
Naomba kujua kwenye ufahamu na hii kampuni esra company ltd nimejaribu kuifuatilia sielewi ofisi zao ziko wapi kwa hapa Dar mana walinitumia Email kuhusu kazi kupatikana.
Mwenye uelewa anijuze.
Habari wakuu.
Kuna kitu hua nashindwa kukielewa hasa wizi wa magari.
Je wizi wa gari unafanyikaje kama gari imefungwa.
Je unakutamwizi ana funguo ya ziada ama nini kinafanyika.
Je kwa gari ambazo ni keyless za push to start pia zinaibiwaje maana nyingine kama hujaingia na ufunguo haiondoki...
Nawasalimu wana jukwaa. Natumai mu wazima sana humu ndani.
Kuna jambo ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je, hivi ni muhimu kufahamu chanzo cha kuvunjika mahusiano aliyotoka mpenzi wako kabla ya kuwa na wewe. Na hii ni kwa wote, wanaume na wanawake?
Ukweli wako kwa upande wako ni muhumi hapa.
Wajemeni eeh
Kuuliza si ujinga na kuuliza njia ndio kujua njia!
Nahitaji bastola, kwa self defence tu, si vinginevyo! Sababu; najiona vulnerable mno huko 'uswekeni' ninakoishi. Hamna umeme, na majirani wanahesabika, BTW, practicing targets zipo za kutosha huko!
Najua humu kuna wengi tu...
Salam ndugu zanguni.
Naomba kufahamu ni desktop computer yenye sifa zipi inauwezo wa kufanya kazi za kuzalisha na kuhariri picha za video, naomba kusaidiwa hili kwa wataalamu wa humu jukwaani wanaofanya kazi hizi na wasiofanya.
Inatakiwa iwe ya gharama za chini kabisa kuliko zote,Nataka kujua...
Naomba kujua bei ya oil ya gear box ya Toyota sienta,
Pia nikiwasha gari nyakati za asubuhi au injin inapokuwa imepoa huwa inatoa muungurumo wa juu kana kwamba nimekanyaga mafuta... Kisha baada ya dk 1 inatulia.
Msaada tafadhali
Habari wadau!
Nilikuwa nataka kujua je board ya wahandisi au engineering (ERB) inaumdwa na watu wangapi na majina yao kama yapo..!
Je yule mzee Dokta wa Civil engineering pale Kilimani mwenye kuingia na camera kama camera man ili ukicheat tu anakupiga picha anaposimamia mithiani yupo kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.