kufungua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GIRITA

    Msaada kufungua internet Banking Equity

    Habari wakuu, Naomba kusaidiwa kufungua online banking au Internet Banking kwa bank ya equity bank, kwa anaweza anisaidie.
  2. ChizzoDrama

    Naomba msaada kufungua line ya Vodacom upande wa calls na sms

    Habari wadau Nilikua najaribu kuminya codes tofauti kwenye simu yangu, Sasa sijajua nimeilock kwa codes zip? Laini ninayo tumia ni Vodacom , naomba msaada wa codes za kui activate, Natanguliza shukrani zangu
  3. Kine Master

    Msaada accout yangu ya facebook imefungiwa

    Habari za muda huu wana JF natumai mnaendelea vizuri kama kuna mgonjwa ugua pole, moja kwa moja niende kwenye mada yangu naombeni msaada wenu akaunti yangu ya Facebook imefungiwa bila sababu siku chache zilizopita japokuwa email address na password nimetumia kurejesha but sina access yoyote...
  4. NetMaster

    Wazo la kufungua biashara ya kushusha mafaili GB 1 kwa jero hadi buku kwa kutumia unlimited internet mnaliona vipi?

    Kwa hali ya mabando jinsi ilivyo kwa sasa kuna shida kubwa kwenye kudownload mafaili, kufa kufaana mwanangu! penye shida mpya huwa pana mlango wa fursa mpya. Ttcl hasa kwenye majiji wanatoa unlinited internet ya fiber kupitia nyaya za kwenye nguzo hasa maeneo ya town, unavutiwa waya nyumbani...
  5. Upekuzi101

    Mama anaupiga mwingi na kufungua nchi

    Huruma
  6. Congo

    Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?

    Naomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje? Wajuzi wa mambo ya ndege tafadhali.
  7. matunduizi

    Jinsi ya kufungua kanisa 'la Mchongo' la kilokole na upige pesa Kwa Muda mrefu

    1:Anzia kijijini. Kule utapata wafuasi wengi wasio na uwezo wa kuhoji kipindi uwezo wako wa kushawishi Bado mdogo. 2: TUMIA Muda mwingi kusoma vitabu vya uchawi ili ujue watu wanalogwaje, vitabu vya migogoro ya ndoa, magomvi ya familia na ukoo. Ujue watu wakienda Kwa waganga Huwa wanafanywaje...
  8. NetMaster

    Kufungua forum inagharimu fedha kiasi gani?

    Habari zenu wana tech, nipo hapa nimepata wazo nataka nifungue forum iwe kama JamiiForums ila tu utakuwa mahususi kwajili ya watu wanaotokea sehemu moja, kufanana interests, kufanya kazi / biashara sawa, n.k. (niche specific) Wanachama wa kukadiriwa kujiunga ni takribani elf 30. Je, ni kiasi...
  9. G Sam

    Nikikutana na Majaliwa aliyejinadi kufungua mlango wa ndege ya Precision namcharaza viboko kweli kweli! Watanzania ifikie pahala tutumie akili

    Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania. Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko...
  10. BARD AI

    Serikali ya Kenya kufungua vituo 25,000 vya Wi-Fi ya bure

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Uchumi wa Kidijitali, Eliud Owalo amesema lengo la kutoa Wi-Fi bure kote nchini ni kukidhi hitaji hilo muhimu kwa wananchi. Amesema "Serikali inaamini katika uwekezaji wa Kidijitali kama njia ya kuwezesha Ujuzi wa Vijana, pia, tutatambua Mapungufu ya Ujuzi na...
  11. L

    Taasisi ya China-Afrika kufungua vituo vitano Afrika

    Gianna Amani Taasisi ya China-Africa (CAI) ambayo inajihusisha zaidi na utafiti wa masuala yanayohusu uhusiano kati ya China na Afrika imesema inatarajia kufungua vituo vitano barani Afrika ili kusogeza huduma karibu kwa Waafrika. Akizungumza na waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika...
  12. M

    Zitto na vijana wako acheni kuwananga CHADEMA kisa tu kufungua ofisi ya makao makuu

  13. Wand

    KWELI Ubalozi wa China wakanusha kufungua vituo vya Polisi Afrika ikiwemo Tanzania

    Madai Shirika la utangazaji la BBC liliripoti kuwa nchi ya China ina mpango wa kufungua vituo vya polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na raia wake wanaoishi katika nchi hizo tatu za Afrika, tovuti inayomilikiwa na mtu binafsi ya Nigeria ya...
  14. Q

    China kufungua vituo vya Polisi Afrika ikiwemo Tanzania. Ubalozi wa China wakanusha

    BBC. China inadaiwa kufungua vituo vya polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na raia wake wanaoishi katika nchi hizo tatu za Afrika, tovuti inayomilikiwa na mtu binafsi ya Nigeria ya Vanguard imeripoti. Wakiwanukuu watetezi wa Usalama...
  15. Bexb

    Je, unahitaji kufungua kampuni ya ulinzi? Basi jifunze hapa!

    Habari ya usiku wakuu, nawiwa kushare machache kuhusu mada tajwa hapo juu. Watu wengi wamekua wakitamani ama kuwa na mpango wa kufungua kampuni inayotoa huduma za ulinzi katika maeneo mbali mbali. Ni rahisi sana kwani mtu huweza kufanya shughuli hii akiwa binafsi ama kupitia kampuni na mahitaji...
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je tutaweza kufungua nyumba kwa kutumia ufunguo wa gari?

    Mkoloni alipofika tu kwetu alikimbilia kuzinyonga mila na tamaduni zetu maana alifahamu mila, desturi na utamaduni ndizo nguvu na nguzo za kila mtu, kila familia, kila ukoo na kila taifa. Hizo ndizo anuani za mawasiliano kati yako, familia, ukoo, kabila, taifa na Mungu wao, ndio ufunguo wa...
  17. Sildenafil Citrate

    Siyo sahihi kuifungua dawa iliyotengenezwa kwa mfumo wa “Capsule” ili utumie unga wake

    Baadhi ya watu huamini kuwa kutumia unga wa dawa iliyo tengenezwa kwa mfumo wa “capsule” ndiyo njia sahihi na haraka ya kupona ugonjwa husika. Kitaalamu, dawa hutengenezwa kwa mfumo wa capsule ili kuepusha athari za kupungua kwa nguvu yake kabla haijafika kwenye sehemu sahihi ya mwili...
  18. tax_expert

    Je, ungependa kufungua kampuni ndani ya siku saba?

    Naamin huu uzi unaweza usiwe wa kwanza kwako juu ya ujuzi wa kufungua Kampuni na umekua ukipata ujuzi kutoka kwa watu mbalimbali Lakin ngoja nikuulize swali “unahisi bado kuna kipande cha ujuzi ndani yako kinakosekana? Bhas huu uzi ndio kipande cha ujuzi kilichobaki ambacho kilikua kinakosekana...
  19. J

    Wakuu naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kufungua website na kulipia domain

    Wakuu naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kufungua website na kulipia domain. Hela ya vocha ipo
Back
Top Bottom