Wadau hope mko poa,
Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.
Sifa zangu:
Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
Nina umri wa miaka 32.
Dini ni mkristo.
Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
Awe...