Habari zenu wakuu.
Mwenye uelewa naomba aniisaidie hapa Natafutaa warehouse kama kichwa cha thread kinavyojieleza hapo, either kwa kupanga au kununua kabisa.
Lakini kabla ya kufanya uamuzi naomba kufahamishwa haya mambo mawili
1-Kwa kupanga, kodi hukipwa kwa muda gani?
2-Nimesikia kuna kodi...