kuolewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Ulioa au kuolewa ukiwa na umri gani?

    Kipindi ukiwa na umri gani ndo uliamua KUOA AU KUOLEWA? ✨Ulimpata wapi your partner? HAPO ONGEZEA ULIMPATA WAPI HUYO MWENZA WAKO?
  2. Pascal Ndege

    Dada zetu wengi wanapambana kuolewa na wazungu tu

    Kwa muda Sasa toka nihamie kufanya kazi katika bank Moja hapa Kariakoo. Katika pitapita zangu nikakutana na Dada mmoja akanialika kwenye party ya vikoba ili niwashauri namna ya kuweka pesa na kupata mikopo. Sasa nilifika kwenye party Ile nikakuta waume wanne na wasichana umri wa Kati kama 50...
  3. R-K-O

    Ni kwanini hapo zamani mama na bibi zetu tuliwakuta wameolewa lakini kwa sasa wengi hawajawahi hata kuolewa

    Mtakubaliana nami hapo zamani karibu kila mwanamke kabla hajafika miaka 23 ashaolewa. Kwa nini kwa sasa wanawake ishazoeleka wanazeeka bila ndoa ?
  4. kimsboy

    Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

    Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu. Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke...
  5. Balqior

    Je ni kweli mabinti wengi wenye miaka 18-24 hawataki kuolewa kwa muda huo?

    Kwa wenye uzoefu kwenye hili mshee mawazo, inasemekana mabinti wengi wenye umri huo hawataki ku-settle kwenye ndoa au serious relationship, ilhali kwenye huo umri ndo wapo kwenye hot season/prime age/wako popular kwenye market.. Harakati za "binti" pia sielewi, kule FB kuna NGO imeanzishwa na...
  6. Replica

    Mchezo wa Sheria: Apoteza haki ya mgawanyo wa mali baada ya mume kudai hajawahi kumuoa Salma Mohammed, mke alibadili jina baada ya kuolewa

    Dar es Salaam. Hivi mwanamke aliyebadili jina la baba yake na kutumia la mumewe baada ya kuolewa anajua kama anaweza kupoteza haki ya kumiliki mali walizochuma katika ndoa? Hiki ndicho kilichompata Salma Mohamed Ibrahim. Kwa mujibu wa hukumu iliyotolewa juzi na Jaji John Nkwabi wa Mahakama Kuu...
  7. M

    Katika Ukristo Mwanamke anaruhusiwa kuolewa baada ya muda gani toka kufiwa na mume wake?

    Naomba kuuliza kwa wakristo, Mwanamke anaruhusiwa kuolewa baada ya muda gani toka kufiwa na mume wake au baada ya kuachwa? Maana kwa waisilamu pindi mume akifa mwanamke hukaa miezi 4 na siku 10, na taraka hukaa mpaka aingie mwezini mara tatu.
  8. S

    Sitaki kuolewa, naomba tuzae tu

    "Nimemfukuzia muda mrefu, amenizungusha sana kwa kutoa visingizio vingi, mfano mimi bado mdogo, siko tayari kwa ndoa, ngoja nitafakari n.k. Hivi karibuni kafunguka na kusema hayuko tayari kuolewa labda tuzae tu. Kungwi Sexless nimekuja kwako naomba unisaidie kuchakata kauli hii toka kwa...
  9. D

    Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

    1. They are selfish. 2. They are more likely to have a side family, child, multiple family or end the marriage for stupid reasons. 3. They are emotional damaged. They don't care of other people feelings. Any thing is the right way as long as wapo happy hata for a short time. 4. They always...
  10. Ester505

    Afadhali kuolewa na Muislamu kuliko Mkristo

    NI kutokana na SABABU zifuatazo (1)Wanaheshimu Sana wake zao, na wanahudumia vizuri Sana. (2) Wanaheshimu Sana dini ndio maana hata wakati wa Ramadhan Mambo mengi katika maisha hayaendi. Mfano migahawa hufungwa baadhi, madukani ndio hivyooo, n.k (3)Ni wasafi sana(hawawezi kujisaidia haja ndogo...
  11. Cute Msangi

    Kuoa au kuolewa kunapunguza ushawishi

    Kuoa na kuolewa ni Jambo nzuri na la kheri Katika dini zetu na Jamii inayotuzunguka. Kwa mwanamke ndoa ni heshima Ila ukiolewa tu ushawishi unapungua Katika Jamii yako mfano ukiwa mwimbaji,muigizaji,models nk ukishaingia kwenye Ndoa ule ushawishi wa kufanya kitu unachokipenda unapungua muda...
  12. Okrap

    Ikiwa unataka kuolewa zunguka duniani hutakosa wa kukuoa

    Ikiwa unapenda kuolewa, lazima uolewe ndani ya miaka 2. Vyanzo vyote vinavyoaminika kama vile U.N na World Factbook vinaonyesha uwiano wa kimataifa wa Wanaume kwa Wanawake ni takriban 1:1. Kwa maana kali, wanaume ni zaidi kidogo kuliko wanawake duniani leo. Kulingana na Umoja wa Mataifa...
  13. Gily Gru

    Kuolewa tena na mwenza uliyemtaliki

    Wasalaam wana JF Unakuta mwanaume alikuwa na mke na wanaishi pamoja pika pakua. Ikatokea kuhitilafiana na wakachukua maamuzi ya kutalikiana kila mtu aende kumi zake. Baada ya kila mmoja kusukuma gurudumu la mahusiano na watu wengine huko waliko mwisho mahusiano yakatika kikomo pia. Unakuta...
  14. Dasizo

    Hivi kati ya mwanamke na mwanaume nani anatakiwa kubadili dini ili aoe au kuolewa? Na kwanini?

    Naombeni mnisaidie kuna mdada nimempenda anakata kubadili dini anasema nibadili mimi .
  15. TheForgotten Genious

    Wanawake wa kizigua wanafaa kuolewa?

    Kwa wale mlioishi Handeni ama mmeoa wazigua naombeni sifa za hawa watu, tamduni zao, changamoto zao tafadhali.
  16. TheForgotten Genious

    Hivi ni kwanini wanawake wengi wa kihaya wanaforce mtu kuolewa na flani?

    Hawa wanawake wa kihaya mimi wiwaelewi,yaana unamkuta mdada anang'ang'ana umuoe ,na hapo hata miezi 2 haijaisha tangu mmejuana,utadhani kuoana ni kama mchongo. Utamsikia"Mimi nataka kuolewa,natafuta mume anioe tuishi pamoja tu basi,wewe kama vipi nichukue tuishi wote",,bladifakeni kabisa...
  17. Mohammed wa 5

    Kwanini wazazi wengi wa kiislamu hasa wa kike hawataki watoto zao kuolewa mke pili

    Wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhan unakaribia vijana wanavuta jiko na wengine wanaongeza mke wa pili,tatu mpaka wa nne kama dini inavyoruhusu. Kuna tukio limetokea juzi mama wa binti ni muislam Safi tu na mumewe ni shekh mkubwa Ila mama wa binti amekataa mtoto wake kuolewa mke wa pili, Je hii...
  18. Carlos The Jackal

    Mahakama Uganda, yamwamuru Mwanamke ( Slay ueen a.k.a Gold digger) Kumlipa Mwanaume (Sponsa) Kwa kosa la Kuvunja Kiapo Cha ahadi ya Kuolewa naye !!.

    Yaan ni kama Wee Jamaaz Umsomeshe Demu iwe kuanzia shule au Chuo Cha Kati au Chuo Kikuu Kwa ahadi ya Demu Kuolewa Nawewe. Alafu Demu baada ya kusoma ale Kona ... Dai chako !!!! Dai Chako.!! KATAA WIZI !!KATAA KUIBIWA !! Kuna kipindi nmewahi msikiliza Mwanasheria Mmoja akitoa Elimu ya...
  19. M

    10 Reasons why you should not marry while you are still young

    There are many reasons why waiting until later in life may be advantageous, even though some individuals may feel ready to get married at an early age. Photo: LS Archive/Sazzad Ibne Sayed Marrying young can be problematic because there are many possible obstacles and traps. Before deciding to...
  20. Dr Matola PhD

    Tuongee Kifamilia leo, kama unataka kuoa au kuolewa na mna imani za dini tofauti jitafakari upya

    Nitaandika kwa kifupi tu, kuna case nimeshindwa kuipa suluhu nimeitwa kuleta amani kwenye nyumba ya hawa wanandoa. Wewe ni mwanamke muislamu olewa na mwislamu mwenzako, na kama wewe mwanaume ni Mkristo oa Mkristo mwenzako. Issue ni ngumu, Mkristo kaowa mwanamke muislamu kipindi mahaba...
Back
Top Bottom