kwenu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Simba mnashibisha familia ya jirani wakati ya kwenu inalala njaa!

    Ni ajabu na kweli mashabiki na wanachama wa simba pamoja na viongozi wao wamebaki kuiongelea yanga muda wote na kusahau kabisa ya kuwa wanaitaji kuijenga timu yao ambayo imetoka kapa misimu 2 mfululizo, Wamesahau kuwa wanaowasema wanaendelea na wataendelea kubeba makombe na kuvaa medali kwa...
  2. JF Member

    Kwenu Wazee Wa Dar: Bandari unaenda hiyoo

    Wazee wa Dar walikuwa na nguvu sana enzi hizo. Nakumbuka Tibaijuka aliondolewa uwaziri kwa nguvu zao. Hili la Bandali mnalionaje? Mnataka Bandali iende tuu ? NB. Ni marufuku mtu kulinganisha mkataba wa bomba la mafuta na Bandari. Bandari ni yetu na mafuta sio yetu
  3. Pascal Mayalla

    Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

    Wanabodi, Leo asubuhi hii waheshimiwa wabunge wetu, wataujadili mkataba wa IGA ( Intergovernmental Agreement), na baada ya hapo ndipo HGA ( Host Government Agreement) zitaingiwa kati ya TPA na DPW baada ya IGA kupitishwa. IGA kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai, kuruhusu kampuni...
  4. KING MIDAS

    Je mtaani kwenu kuna dampo? Kama hamna mnafanyaje kudumisha usafi wa mazingira?

    Hebu tuelezane ukweli ili tuweze kuyafanya mazingira yetu safi na salama.
  5. K

    DAWASCO Kimara mwisho matangini sasa yatosha, tunakuja ofisini kwenu

    Kwa masikitiko makubwa sasa mmeamua kula nje ya kamba naona mnatunia mipira inayovutika. Hivi ni kwa nini maji hayatoko kwa siku nnee? Na hamtoi taarifa yeyote, hivi nyinyi mnatuchukuliaje sisi wenye nchi au mnataka tutanguilie mbinguni. Raisi wa nchi ini msimamizi na sisi ndiyo boss wakee...
  6. Nyuki Mdogo

    Ukiolewa Kanda ya ziwa sahau kurudi kwenu

    Kwa wasio wenyeji wa kanda ya ziwa. Nimeona malalamiko mengi sana kina mama na kina dada wasio wenyeji wa mkoa wa Mara (na kanda ya ziwa ) wakilalamika sana kuhusu swala la kusahau kwao. Inasemekana kuna UCHAWI mzito sana wanafanyiwa ili kusahau nyumbani kabisa. Basi nawasogezeeni hili...
  7. Carlos The Jackal

    Karibuni tuoneshane Dawa za Kiasili za kabila lenu Kwa Picha au maelezo ya Maneno

    Inawezekana uko Mjini ndio, sema Simatifoni siku hizi hadi vijijini zimezagaa, embu mwambie aliyeko Kijijini akutumie picha ya Mmea wa Kiasili ambao Kikwenu, mnatumia kujitibu kitu fulani. 1. Majani ya Mpapai Aiseee, ukitaka kuongezea Damu kwa wingi na Kwa Gharama ndogoooo, chukua Majani ya...
  8. Mwanadiplomasia Mahiri

    Ukienda kwenu huwa unatumia usafiri gani?

    Siku ukisema unasafiri kwenda mkoani kwenu ni usafiri gani huwa unatumia usafiri gani?
  9. Chachu Ombara

    Haya matunda mazuri na matamu yanapatikana mkoani kwenu? Mnayaitaje kwa kilugha chenu

    Haya matunda mazuri na matamu yanapatikana mkoani kwenu? Mnayaitaje kwa kilugha chenu. Mkoani kwetu yanaitwa 'Ebitomasi' yapo ya aina mbili, Mekundu na njano. Unaweza kula yakiwa yamepikwa kwenye matoke au kula ambayo hayajapikwa.
  10. KIDUME20

    Hapa chini ntaweka visa kadhaa nilivyoshuhudia na vingine nilivyokutana navyo kwenye harakati za maisha

    Wakuu za sahizi Tuendee direct kwenye mada... Hapa chini ntaweka visa kadhaa nilivyoshuhudia na vingine nilivyokutana navyo kwenye harakati za maisha KISA CHA 1: CHA NDUGU YANGU WA MBALI - huyu ni mbibi wa miaka 57 tarehe x/7/2023 anatarajia kufunga ndoa mkoa x na muosha magari. Inaanza...
  11. NetMaster

    Hili ni swali langu kwenu mnaosema Israel ni ya wapelestina, Acheni kujitia upofu mtazame uhalisia

    Tusichanyanya mafile, hatuzungumzii biblia bali tunazungumzia uenyeji wa ardhi husika Tuliza kicha tafakari hili swali Hivi mfano pale Mecca pangevavamiwa na wagiriki kisha waarabu wa hapo wangesafirishwa kutumiskishwa huko ugiriki na hapo Mecca mgiriki angeuza viwanja kwa waisrael, baada ya...
  12. B

    Heko kwenu nyote mnaosimama na CAG dhidi ya majizi

    Yamesikika mengi kuhusu ripoti ya CAG. Haikubaliki jiwe kuachwa juu ya jingine. Maendeleleo hayana chama hatimaye tuko hapa: Haikuwa rahisi kufika hapo. Pongezi kwao wote waliosimama imara kupambana na majizi, yatake yasitake. Jizi ni jizi tu, makazi yake ya kudumu ni Kisongo na Segerea...
  13. K

    Ushauri kwenu ACT Wazalendo, msifanye makosa yaliyofanywa na CHADEMA ya kuratibu maandamano na migomo. Jikiteni kwenye mikakati na mipango

    Ushauri huu ni mahususi kwa ajili ya ACT Wazalendo na vyama vingine vyenye muelekeo kama huu wa kuratibu maandamano na 'attention seeking' na nimetumia neno 'attention seeking' kwa sababu za ushiriki wao wa siasa za matukio ,kunapokuwa na tukio Chama kinaibuka na baadae kinapotea. Kwa mazingira...
  14. Orketeemi

    Kwenu wataalam wa Sounds

    Wakuu Chief-Mkwawa , Extrovert na wengine Mimi Orketeemi naomba msaada wenu mje hapa mnichagulie sound. na vip bei zake zikiwa used.
  15. Labani og

    Manula out Kariakoo derby ya kesho

    MANULA OUT KARIAKOO DERBY YA KESHO Kuna uwezekano mkubwa Aishi Manula akakosekana kwenye derby kesho kutokana na changamoto ya majeraha ambapo huenda akafanyiwa upasuaji wiki mbili baada ya hivi sasa. Uwezekano mkubwa ni Ally Salum akasimama langoni kesho kutokana na ukweli kwamba Beno...
  16. H

    Wanawake, kwanini inawachukua muda mrefu ku-save namba ya mtu?

    Habari zenu Nimekuwa nikijiuliza simpati jibu kwenye Hili suala yaani unakuta umemsimamisha binti mmoja na akumsaundisha na akakupa namba baada ya hapo ukawa unachati kama wiki hivi baadae ujipe gape kidogo then ukija kumtafuta unakuta kujua tangu ile siku mpaka kipindi unachat nae number yako...
  17. M

    We Zitto Kabwe kibaraka wa CCM acha propaganda uchwara. Habari hizi peleka kwenu ujiji.

  18. lufungulo k

    Leo nimepita pale gairo kwenye kiwanja cha shule ya msingi,, kumejaa watazamaji kulikuwa na mechi ya cricket nikapata fikra india imehamia tanzania!!!

    Kwa yeyote anayehusika na uhamasishaji, ufuatiliaji , utaratibu na uratibu wa kusimamisha, upatikanaji wa uwanja, uboreshaji wa uwanja huo na upatikanaji wa timu. Mafunzo ya timu hizo, mpaka kuwezesha kufanyika law mashindano madogomadogo ndani ya wilaya ya GAIRO. Tumezoea kushuhudia ...
  19. NetMaster

    Mnaoishi na watoto warefu mnakabiliana nao vipi wanapogoma kuadhibiwa kwa kipigo? Wamewahi kuwabadilikia?

    Walezi wa kiume iwe ni baba, mjomba, baba mkubwa, n.k, huwa ndio wanategemewa kusimamia kitengo cha kutia displini hasa utukutu ukizidi, hata walezi wa kike wakiona toto limekuwa tundu wanamwambia msubiri baba yako aje, mjomba wako aje, n.k. Sasa basi unakuta sometimes kijana mdogo yupo hata...
  20. NetMaster

    Kwenu wanawake, njia pekee ya kugundua mwanaume anakupenda ni pale akili yake inapofanya maamuzi baada ya kupiga mshindo (post nut clarity)

    Si kila mwanaume anaekwambia anakupenda anamaanisha. Haijalishi kwamba kakufanyia kitu gani iwe kukupa muda wake, kukusaidia, kukupa furaha, kukujali, kukupa pesa, n.k, kuna wanaume ambao huyafanya haya wakiwa bado hawapo timamu. Kwa mwanaume ambae kamfata mwanamke kwa lengo la starehe huyu...
Back
Top Bottom