laptop

  1. poposindege

    Adobe zinagoma ku-Install kwenye LAptop

    Habari Wakuu Najaribu kuInstall Adobe kama Premiere, Audition, Photoshop na zingine lakini inakataa na kunipa ujumbe (Angalia picha hapo chini) na nimejitahidi kupata maelekezo kupitia google na Youtube sikufanikiwa. Mwenye kujua naomba anisaidie.
  2. Nyamwage

    Napata maandishi haya nikiiwasha hii laptop leo

    Wakubwa shida itakua ni nini humu kwenye hii laptop angali hii picha
  3. Eternally to be

    Ni jinsi gani ya kupakua youtube playlist na kuihifadhi kwenye windows laptop

    Wakuu popote mlipo habari zenu, wakubwa shikamooni Katika pitapita zangu za online nimekutana na changamoto ya kushindwa kupakua playlist kutoka youtube yaani kuihifadhi kwenye laptop yangu ya windows. Na ni kawaida yangu sikuzote nihitajipo kujua jambo fulani la kimtandao huwa naigia kwenye...
  4. B

    INAUZWA Nauza Hard disk(HDD) za laptop kwa bei ya jumla

    Hard disk za laptop mpya 500 GB = 45,000 tsh Ukihitaji kuanzia mbili bei inapungua kwa mawasiliano zaidi 0621 089 762 tupo dar es salaam
  5. R

    Ni lini Serikali ya CCM itanunua laptop kwa kila mwanafunzi kuanzia shule za kata?

    Salaam, Shalom!! Nimewahi kuandika Thread isomekayo, Ushauri: Chakula Bure mashuleni kirudishwe Ili kuboresha uelewa wa wanafunzi. Katika mada hiyo, Nimeshauri Serikali kuhakikisha inaweka mfumo Nchi nzima utakaosaidia wanafunzi shule za msingi angalau wapate kikombe Cha uji wawapo mashuleni...
  6. Next Elon Musk

    Je, MacBook m1 air 8/512 ni nzuri kwa software development?

    Habari Wana-jamii nilikua nashida nahitaji kununua laptop aina ya MacBook m1 air yenye RAM 8 GB na SSD 512 GB kwa ajili ya software development tasks as naingia college course ya CS kwa mdau mwenye experience kwenye hii mashine je ni nzuri au la msaada tafadhali wadau
  7. MAranatha7

    Nauza laptop yenye kasi sana: HP Elite

    Imenunuliwa Picha post #2
  8. FRANCIS DA DON

    Kama kuna mtu anauza laptop ya PackardBell na Dell inspiron N5040 leo kwa pamoja nijulishe, Donge nono litatolewa

    Hizo laptop 2 zimeibiwa jana usiku maeneo ya Kinyerezi. Sasa hiyo Packard Bell ni computer rare kidogo, hivyo kama kuna mtu utasikia anaiuza leo au zote mbili kwa pamoja, basi nitonye, kuna critical files ambazo hazina backup kwingine. Donge nono litatolewa.
  9. K

    Nitapata wapi Powerful Laptop (Mobile Workstation)?

    Nahitaji laptop powerful iwe; 1. DELL au HP 2. 15 inch screen size and above 3. Numeric keyboard 4. 11th generation and above 5. Minimum Core i7 Wapi naweza pata?
  10. Last sentinel

    Computer4Sale Ninauza Laptop ya Samsung

    Hellow guys kwema? Ninauza laptop ya Samsung, Ram 4GB, processor 1.5ghz, HDD ~500 GB, haikai sana na chaji unachomeka moja kwa moja ukutani, Price ni 200,000/ Contacts: 0759~124378 Nipo Mbezi ya Kimara
  11. Nyamwage

    Niko uchi kwenye masuala ya laptop

    HABARI Nyingine hii hapa swali la kwanza je naweza kucheza game la ETS 2 kwa high quality humu swali la pili kinacho niogopesha ni hilo jina la hicho kifaa kinaitwa MEDION AKOYA sijawahi kulisikia nigeni niokoeni nisiende kupigwa na kitu kizito
  12. The last don

    Computer4Sale Nauza laptop toshiba core i3 bei 250k

    SOLD
  13. BeiSawaNaBURE

    Computer4Sale Pata laptop dell latitude E6530

    PATA MALI KATIKA UBORA WAKE, ALIKUWA ANAITUMIA MCHINA, AMEIACHA KATIKA HALI NZURI HAINA DOSARI, SPECIFICATIONS Model ya PC: DELL Latitude E6530 Core i5 RAM 6 SSD 232 BEI ni TZS 450,000/= tu, Njoo Ukikimbia For Serious Buyers Only, call 0622440414
  14. John Reese

    Computer4Sale Laptop inauzwa bei poa

    Habari! Nauza laptop kwa bei poa. Hp Elitebook (used kwa miezi 6) Ram 8gb Hard disc 500gb Processor core i5 ,cpu 2.6ghz Bei 500 ,000/=(kuna maelewano pia) contact 0752 666 539 Mwanza
  15. B

    Computer4Sale Mpatie mwanao laptop za kisasa za watoto ili zimsaidie katika masomo yake

    Ewe mzazi unakosaje furaha na simu yako uwapo nyumbani??? Njoo tukuondolee hilo tatizo analokusumbua mwanao kwa kumpatia Laptop ya Watoto itakayokufanya uwe huru. UWEZO WAKE: √ Zinatumia mfumo wa Android √ Ni Touch screen √ Zimesheni masomo Nursery mpaka Class 7 √ Masomo ya sekondari O-level √...
  16. G

    Computer4Sale Pata hii HP laptop na hii Sony kamera kwa bei rahisi

    Jipatie hii laptop HDD 500 Gb, RAM 4GB, Intel Celeron 1.6Ghz Inakaa na charge mpaka masaa mawili na nusu kutegemeana na matumizi. Bei Tsh 230,000. Napatikana kinondoni vijana. Simu 0765137266 Pia kuna hii kamera kwa wale wenye biashara ya studio za kupiga passport. Sony original...
  17. General Nguli

    Nahitaji kuangalia Fainal ya UEFA Champions nyumbani kwangu kupitia Laptop.

    Wakuu naomba kujuzwa jinsi nitakavyo faidika kuangalia Uefa nikiwa kitandani na Laptop yangu. Msaada pliz
  18. Superfly

    Naweza kupata PC kali kwa bei ya 400,000/=?

    Wakuu kwema? I hope mko poa Nina 400,000/= hapa nahitaji kununua PC, ningependa mnishauri kwa budget hii - Napata Laptop MPYA yenye uwezo gani? na wapi naweza kuipata? - Napata laptop USED yenye Uwezo gani? (Kutoka yale maduka wanayouza used laptops) Naomba mnisaidie katika hili wakuu...
  19. Soph09

    Mikoba mizuri ya kuwekea documents na laptop

    Nauza mkoba wa kuwekea documents na laptop. Umetemgenezwa na material safi na ndani una sponji nyepesi ambayo haivunji PC Yako na haiingizi maji kabisa. Bei ni 40000tshs Nipo Dar derivery ipo ndani ya Dar na mikoani na nchi jirani ninatuma kwa uaminifu mkubwa Mawasiliano :0628935034
  20. J

    Computer4Sale Nauza Laptop HP Pavilion x360

    Habari wakuu Nauza HP Pavilion x360 touch screen RAM: 8GB Hard Disk: 500 GB SATA Graphics card: Intel with Radeon Changamoto: Haikai na chaji, yaani ni direct ila inalekebishika Ina mpasuko kidogo pembeni kama picha Inavyo onesha. Bei laki 4 na elfu 50 Mawasiliano 0620306221 WhatsApp+255...
Back
Top Bottom