laptop

  1. Mr Why

    Apple Laptop Inauzwa

    Apple Laptop MacBook Pro Retina Display Inauzwa 13 inch Processor 2.7 GHZ Dual Core Intel Core i5 RAM 8GB 1867 MHZ DDR3 Graphics Intel Iris Graphics 6100 1536 MB. Mbezi, Dar es Salaam Bei 650,000/= Mawasiliano 0623745875
  2. NetMaster

    Hard disk ya laptop naitumia tangu 2018, Je niendelee kuitumia au niibadili ?

    Salama wakuu Ni mwaka wa tano sasa natumia hard disk bila kuibadili, tena yaweza kuwa ni mwaka wa nane maana hata laptop ni hizi za Kariakoo refurbished zimeshatumika ulaya na marekani. Mwaka 2018 nilibadili laptop nikahamishia kila kitu kwenye hard disk ya laptop mpya yenye TB 1, hii hard...
  3. Melki Wamatukio

    SI KWELI Kupakata laptop au kuweka simu kwenye mfuko wa suruali hupelekea upungufu wa nguvu za kiume

    Hivi ni kweli kuwa watumiaji wa kompyuta mpakato huku wameipakata mapajani, pamoja na sisi tunaotumbukiza simu zetu zikiwa on air kwenye mifuko yetu ya mbele ya suruali tupo kwenye hatari ya kupoteza nguvu za kiume?
  4. J

    Laptop aina ya dell inahitajika yenye sifa zifuatazo

    Iwe Core i7 8 Generation Ram 8 Hdd 500 Display 15.6 Graphics 2Gb au zaidi battery 4hrs above, Warranty 6month above 0764125128
  5. Frumence M Kyauke

    Computer4Sale Apple MacBook Pro Laptop Inauzwa

    Apple MacBook Pro Laptop Inauzwa Bei 1M Mawasiliano 0623745875 Specifications Display Retina display 13.3-inch (diagonal) LED-backlit display with IPS technology; 2560-by-1600 native resolution at 227 pixels per inch with support for millions of colors Supported scaled resolutions: 1680 by...
  6. Awiaman ooza

    Laptop nzuri ya Programming budget yangu 2.2M

    Wakuuu za sahizi nipo Dar nilikuwa natafuta PC Au laptop nzuri ya 2.2M kama budget yangu Nilikuwa naomba muongozo wa sehemu nzuri ya kuipatia na pia specifications zake Napendelea kampuni ya dell Nipo chuo 1st year napiga IS Shukrani 👍☺️
  7. NetMaster

    Poteza simu/ Laptop unaweza kununua nyingine lakini mafaili binafsi yakipotea imeisha hio! Tupeane mbinu za kutunza copy za mafaili tukwepe majanga

    Wanasemaga huwezi kujua thamani ya kitu mpaka kipotee, ukiwa nacho waweza kukichukulia poa lakini kipotee sasa, tena kiwe na attachment yako ya maisha yako, historia, mali zako, elimu, n.k. Binafsi nkumbuka kuna siku nimeenda jengo flani nikapaki gari huku nimeacha laptop, ile narudi nakuta...
  8. sky soldier

    Kadri teknolojia ya computer inavyozidi kujitosheleza kwenye simu, umepunguza au umeacha kabisa kutumia laptop na desktop ?

    Sote ni mashuhuda wa jinsi teknolojia ya computer inavyozidi kuboreshwa kwenye simu za kiasasa smartphones, vitu kibao ambavyo zamani vilitulazimu kuvifanya kwenye desktop au laptop siku hizi tunavifanya kwenye smart phones hasa ukizingatia. Software kibao sikuhizi hata kwenye simu zipo na pia...
  9. Mlatino Zeshalo

    Nifanyeje mtu wa pembeni asione ninachofanya kwenye PC yangu?

    Habari wakuu, Nipo ofisini katika kampuni fulani. Ninapitia wakati mgumu sana kwani meza yangu ipo angle mbaya sana. Boss wangu ambaye ni CEO wa kampuni anaona kila kitu nachofanya kwenye PC yangu. Hii PC inaonesha clear sana kiasi kwamba hata mtu aliye umbali flani ananizoom vizuri...
  10. Alfatonics

    Unaangalia vigezo gani kununua Laptop? Chagua Laptop inayoendana na matumizi yako

    Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya kuchagua laptop ya kununua Processor, Storage,RAM, Display, Graphics n.k 1.Processor Hapa ndo kwenye performance nzima ya kompyuta yako Ni namna kompyuta inavyochakata taarifa au kila kitu unachofanya kwenye kompyuta yako kinapitia hapa kufanyiwa kazi...
  11. Kaka yake shetani

    Asilimia kubwa tunanunua simu na laptop zenye uwezo mkubwa na pesa kubwa wakati matumizi yake ni madogo

    Ili jambo watanzania tunajikuta tunapoteza sana pesa kwa kununua kitu chenye uwezo mkubwa kuliko matumizi.yani mtu ana nunua laptop yenye uwezo wakufanya kazi za production,game na injinia alafu yeye anaenda kutumia kwa ajili ya kuandikia barua na kazi za ofisi. Tuje kwenye simu huku ndio...
  12. S

    Natafuta laptop budget 250k to 300k Morogoro Mjini

    Wakuu habarini, Natafuta laptop used budget kama bando linavyojieleza mahari Moro town tafadhari nicheki Kwa namba hii 0692672194.
  13. chiembe

    Wataalamu wa computer, nina documents nyingi sana katika laptop, namna gani naweza kuzipanga iwe rahisi kuzipata in a friendly way!

    Nina thousands of documents, nyingine hata kuzipata ni kazi japo za muhimu. Kuna namna naweza kufanya? Au Kuna application inaweza kusaidia? Naiingizaje hiyo application? Any one with experience ?
  14. God knows

    INAUZWA Brand new Laptop Bag for Sale

    Habari za jioni wakuu, Nauza begi la laptop jipya halijatumika kabisa. Nipo DSM Bei: 30,000 Value price estimated between 70,000 - 100,000 PM if you need. Photos below
  15. D___________Loy

    Wataalamu wa Softwares za Laptop tusaidiane

    Habari wana jamvi, Mimi natumia Microsoft Office 2016 kwa sababu ya shida. Pia ni mpenzi wa kutumia Outlook kwenye mambo yangu binafsi. Ni mwezi sasa nimesitishiwa huduma ya login to Outlook mail kwa sababu nisizozifahamu. Kila nikijaribu nakutana na mambo yafuatayo 1. Disconnected 2. Outlook...
  16. Pantomath

    Computer4Sale DELL 500GB/4GB 280K

    HDD 500GB, RAM 4GB, DISPLAY SIZE 11.2 INC, PROCESSOR 2.16GHZ, BATTERY 7HRS, SPEAKERS ZINA SAUTI KUBWA SANAA VERY CLEAN BEI 280K DSM.
  17. Complex

    Computer4Sale Jipatie laptop yenye SSD storage, Core i5, RAM 8GB kuanzia 369,000 tu

    Karibu tukuhudumie. Laptop zetu zote zina SSD storage, 8GB RAM. Karibu tukuhudumie. Tunapatikana Machinga complex floor ya pili. Tupigie ama tutumie message whatsapp kupitia namba zetu 0753555055 ama 0714894798. Instagram kwa picha zaidi ozonetechnologiestz Laptop ni refubrished, lakini zetu...
  18. I

    Computer4Sale Laptop nzuri yenye uwezo, inauzwa

    Ni portable(14") lakini ni powerful. -RAM 12GB -HDD 500GB -Processor i5 5300u -64bit -Windows 10 pro(Activated) - haina tatizo lolote Bei 380,000 tu Location DAR mawasiliano: 0768985321 PM kwa maelezo zaidi Adaptor yake ni original sio ya kununuliwa dukani, pia nakupa na external mouse MPYA...
  19. NetMaster

    kwenye laptop ni kiwango kipi cha audio kinatosha kwenye kuangalia movie kati ya 768 kpbs, 320 kbps, 128 kbps au 64 kbps ?

    kwenye audio kuna option ta 32 kbps, 64 kbps, 128 kbps, 320 kbps na hii DD+ atmos 768 kbps. Nimevutiwa na namba kubwa, laptops zetu hizi za kawaida kuna haja ya kushusha huo mzigo wenye 768 kbps ??
  20. dvj nasmiletz

    Computer4Sale Laptop inauzwa laki 2 na nusu tu..nina uhitaji wa pesa haraka

    Toshiba Hdd- 128ssd Ram 4 Touch screen Nina shida na uhitaji wa pesa haraka sana.wakuu nimebanwa na shidaaa nahitaji 250000 tu. Ipo dar piga simu 0627474141
Back
Top Bottom