Nimeona kuna computer nyingi sana aina HP, ususani nataka kujua kuhusiana na izi laptop aina ya HP, nataka kujua zipi lianza kutoka mpaka muda huu zipi ndio zipo updated sokoni, (hapa nataka kueleweshwa mfano kama ulivyo Iphone, ilianza iphoe1, ikaja iphone2, ikaja iphone3, ikaja iphone4...
interact with your PC.Video graphics: NVIDIA GeForce GTX 1050 (2 GB GDDR5 dedicated); Turn your laptop into a creative powerhouse for visually demanding apps.
NVIDIA Pascal and Game Ready technologies drive the latest games in their full glory.Display: 15.6-inch diagonal Full HD (1920x1080) IPS...
Mwaka 2019 kabla sijaajiliwa na Company ya kuuza LAPTOP...
Siku moja nilihitaji kununua LAPTOP kwa ajili ya matumizi yangu ya Freelancer niliingia Mtandaoni na kutafuta LAPTOP kutokana na Budget yangu nilipata...
Ilikuwa ni aina ya LogiQ kwa kuwa sikuwa na uelewa mzuri kuhusu LAPTOP...
Habari wana mzengo!
Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako
Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:
Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi
Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
Nina laptop ya hp Envy x360, Fan yake ya GPU imekufa, nimejaribu kupiga simu kwenye maduka tofauti hapa Tanzania bila mafanikio. Nimejifunza kuwa maduka yote niliyopiga hayauzi spare za laptop kama yanavyojitangaza. Naomba msaada kwa mtu yeyote anaeweza nipa mwongozo wapi nitapata. Ukinisaidia...
Karibu nikuzie laptop na computer aina zote kama:
-HP
-DELL
-LENOVO
-APPLE
-FUJITSU
-ALIENWARE
-SAMSUNG n.k
Accessories aina zote zinapatikana kama:
-RAM (1gb 2gb 4gb 8g)
-Hard disk (180gb, 320gb, 500gb, 1000gb, 2000gb)
-Adapter charge aina zote
-Keyboard na Mouse wired na wireless
-VGA...
Habari Wakuu. Nina laptop aina ya Toshiba ila tatizo niiiunga na WiFi hotspot ya Simu yangu ya Tecno inakula data so mchezo. Juzi tu niliiunga ili kuperuzi website kadhaa lakini ndani ya dakika tano ikawa imetafuna MB 300! Naomba msaada nifanyeje kudhibiti hii hali.
Lenovo XIIM 2-in-1 laptop slim and nice
Affordable 2-in-1 Tablet 10 windows tablet with detachable keyboard and hi-res display 11 Size
••Processor : Intel Atom X5 ••Generation: 6th
••RAM 4GB (DDR4)
••Storage: SSD 64GB. GB Extra
••Touch screen ✔️
Let your fingers do the talking
••Long...
Habari ya leo wakuu, samahani
Nahitaji kununua Laptop kwa ajili ya matumizi Katika shughuli zangu
Kazi nnazo hitaji kuzifanya zaidi ni kuandika vitabu, kutengeneza matangazo, posters n.k
Napenda nitumie laptop kufanya kazi hiyo kutokana na mazingira yangu kibiashara kuwa ya kusafiri mara...
HP LAPTOP
Intel Core i2 2nd generation
CPU @ 2.00GHz
RAM 4.00 GB
HDD 250 GB
System type 64 bit OS
Bei 350,000/=
haina tatizo lolote
0718965554/0759901919
Dar es Salaam
Husika na kichwa hapo Juu..Nauza laptop Acer ikiwa na sifa hizi
Liquid Crystal Display 15'5
RAM 4GB
Harddisk 320GB
Battery 2hrs
WebCam
Bluetooth
Running Windows 10
Bei nahitaji Tsh.250,000 only
Napatikana Dsm
Mabibo Hostel
Mob:0713598825
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.