laptop

  1. Last sentinel

    Computer4Sale Laptop Lenovo inauzwa

    Laptop inauzwa.... Type:Lenovo Ram:4GB Processor:2.1ghz dual core HDD:300GB Price:230,000/- Battery:3hours Contacts:0759-124378 Nipo mbezi ya kimara
  2. kikoozi

    Wataalamu wa computer naomba kujua kuhusu "HP laptop"

    Nimeona kuna computer nyingi sana aina HP, ususani nataka kujua kuhusiana na izi laptop aina ya HP, nataka kujua zipi lianza kutoka mpaka muda huu zipi ndio zipo updated sokoni, (hapa nataka kueleweshwa mfano kama ulivyo Iphone, ilianza iphoe1, ikaja iphone2, ikaja iphone3, ikaja iphone4...
  3. Alfred

    Una 1.5M, utanunua Laptop au TV?

    Mada fupi sana, tupe maoni yako. Una 1.5M, utanunua Laptop au TV?
  4. Senator jr

    Computer4Sale Nauza HP Pavilion Gaming Laptop bei nafuu

    interact with your PC.Video graphics: NVIDIA GeForce GTX 1050 (2 GB GDDR5 dedicated); Turn your laptop into a creative powerhouse for visually demanding apps. NVIDIA Pascal and Game Ready technologies drive the latest games in their full glory.Display: 15.6-inch diagonal Full HD (1920x1080) IPS...
  5. M

    Computer4Sale Laptop inauzwa

    Habari Wadau, Inauzwa laptop yenye ukubwa wa Hard disc 500 GB, Ram 4, Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa +255 676 796168 Ahsante
  6. The Finesse Kid

    LENOVO LAPTOP X131e INAUZWA

    Lenovo X131e HDD 500 CHARGE 3HRS PRICE 200K FIXED CONT; 0766345199 IMETUMIKA MIEZI MINNE(4)
  7. Rabama

    Je, Unahitaji Laptop ya Bei Ndogo Alafu Refurbished?

    Mwaka 2019 kabla sijaajiliwa na Company ya kuuza LAPTOP... Siku moja nilihitaji kununua LAPTOP kwa ajili ya matumizi yangu ya Freelancer niliingia Mtandaoni na kutafuta LAPTOP kutokana na Budget yangu nilipata... Ilikuwa ni aina ya LogiQ kwa kuwa sikuwa na uelewa mzuri kuhusu LAPTOP...
  8. geofreyngaga

    Computer4Sale Laptop HP inauzwa TShs 300,000 Arusha

    Laptop HP processor intel core i5 2.5ghz ram 4gb HDD 500gb. Inafanya kazi vizuri. Note: Tatizo lake haikai na chaji hivyo betri sio nzuri Ipo Arusha Piga simu 0765390225 au 0652494919
  9. Last sentinel

    Computer4Sale Dell laptop inauzwa

    Hellw nauza dell laptop. Specifications: Intel core i-5 ,5th Generation ,2.2Ghz 500 HDD,8 GB RAM Windows 10 64 bit Supports USB/HDMI/Wifi/webcam/ethernet/aux jack 14" HD display Contacts:0759-124378 Price:950,000/-
  10. Last sentinel

    Computer4Sale Nauza laptop lakin imeharibika kioo

    Nauza laptop lakin imeharibika kioo nauza vitu vya ndani HDD yake 500 GB na RAM 3 GB contacts:0759-124378 Bei laki moja na elfu thelathini
  11. GP Logistics Company

    Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

    Habari wana mzengo! Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako
  12. Ndebile

    Laptop Used Inahitajika Haraka

    Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo: Brands: Dell au Hp Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi Ram: 4gb au zaidi Hard drive disc: angalau 500gb Screen size: 15" au zaidi Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
  13. trojan

    Wapi nitapata fan ya laptop?

    Nina laptop ya hp Envy x360, Fan yake ya GPU imekufa, nimejaribu kupiga simu kwenye maduka tofauti hapa Tanzania bila mafanikio. Nimejifunza kuwa maduka yote niliyopiga hayauzi spare za laptop kama yanavyojitangaza. Naomba msaada kwa mtu yeyote anaeweza nipa mwongozo wapi nitapata. Ukinisaidia...
  14. Termux Black

    Computer4Sale Karibu nauza laptop, Computer na nafanya maintenance

    Karibu nikuzie laptop na computer aina zote kama: -HP -DELL -LENOVO -APPLE -FUJITSU -ALIENWARE -SAMSUNG n.k Accessories aina zote zinapatikana kama: -RAM (1gb 2gb 4gb 8g) -Hard disk (180gb, 320gb, 500gb, 1000gb, 2000gb) -Adapter charge aina zote -Keyboard na Mouse wired na wireless -VGA...
  15. R

    Nawezaje kudhibiti matumizi ya internet Kwenye laptop yangu?

    Habari Wakuu. Nina laptop aina ya Toshiba ila tatizo niiiunga na WiFi hotspot ya Simu yangu ya Tecno inakula data so mchezo. Juzi tu niliiunga ili kuperuzi website kadhaa lakini ndani ya dakika tano ikawa imetafuna MB 300! Naomba msaada nifanyeje kudhibiti hii hali.
  16. Rabama

    Computer4Sale Tunauza laptop za kila aina

    Lenovo XIIM 2-in-1 laptop slim and nice Affordable 2-in-1 Tablet 10 windows tablet with detachable keyboard and hi-res display 11 Size ••Processor : Intel Atom X5 ••Generation: 6th ••RAM 4GB (DDR4) ••Storage: SSD 64GB. GB Extra ••Touch screen ✔️ Let your fingers do the talking ••Long...
  17. Digital base

    Naomba msaada jinsi ya kujua Laptop ya bei ndogo chini ya 500,000 yenye uwezo mzuri

    Habari ya leo wakuu, samahani Nahitaji kununua Laptop kwa ajili ya matumizi Katika shughuli zangu Kazi nnazo hitaji kuzifanya zaidi ni kuandika vitabu, kutengeneza matangazo, posters n.k Napenda nitumie laptop kufanya kazi hiyo kutokana na mazingira yangu kibiashara kuwa ya kusafiri mara...
  18. Wasi

    Computer4Sale HP Laptop for sale

    HP LAPTOP Intel Core i2 2nd generation CPU @ 2.00GHz RAM 4.00 GB HDD 250 GB System type 64 bit OS Bei 350,000/= haina tatizo lolote 0718965554/0759901919 Dar es Salaam
  19. N

    Computer4Sale Laptop Acer inauzwa

    Husika na kichwa hapo Juu..Nauza laptop Acer ikiwa na sifa hizi Liquid Crystal Display 15'5 RAM 4GB Harddisk 320GB Battery 2hrs WebCam Bluetooth Running Windows 10 Bei nahitaji Tsh.250,000 only Napatikana Dsm Mabibo Hostel Mob:0713598825
  20. Last sentinel

    Computer4Sale Laptop inauzwa

    Laptop inauzwa Jina :Zed air HDD:500GB RAM:4GB Price:250,000/- Contacts:0759-124378
Back
Top Bottom