laptop

  1. gkasambo

    Wapi wanauza desktop na laptop kwa bei ya jumla?

    Habari za mchana, Ninaomba kwa anayefahamu sehemu duka/ kampuni/ kiwanda ambapo ninaweza pata desktop na laptop kwa bei ya jumla au ya chini zaidi. Ninahitaji destop 300 na laptop 50 kuna mahali zinatakiwa kuwekwa.
  2. emma115

    Fahamu Herufi “Y-U-H” kwenye Laptop

    Wakuu habari za muda huu. poleni na pia hongereni kwa majukumu ya kila siku Kama ulivyoweza kusoma kicha hapo juu, leo nitaenda kukujuza maujanja ambayo inawezekana ulikuwa hujui kuhusu laptop. Maujanja haya yatakusaidia sana pale unapotaka kununua laptop hasa hapa nchini Tanzania. Ukweli ni...
  3. Eng Kahigwa

    Computer4Sale Dell Laptop for sale

    Dell Latitude E6330 RAM: 8GB HDD: 500GB Operating System: Windows 10 | 64-bits CPU: Core i7 | Speed: 3.0GHz Battery Autonomy: 3hrs Status: Good condition Location: Ubungo, Dar es salaam Price: Tsh. 440,000/= Call/Whatsapp: +255 656 814 383
  4. Frumence M Kyauke

    Computer4Sale Laptop Inauzwa

    HP PRO BOOK 6470B Inauzwa Ram 4GB Hard Disk 500GB Windows 10 Webcam Finger Print Battery 4 Hours Bei 250,000 Mawasiliano: 0768776716
  5. M

    Nahitaji kununua laptop

    Wakuu habari za majukumu, Nilikuwa nahitaji laptop used ya kununua .specification ziwe hizi processor core 5 au 7. Generation ya 5 au ya sita HDD 500gb bajeti yangu Ni 400000 - 500000. Location Niko Mwanza . Kama iko dar pia mzigo naweza kuufata.
  6. Fundi Madirisha

    Kwanini Polisi wanapomshikilia mtu wanakimbilia kwenye simu na Laptop yake?

    Amani iwe nanyi Waungwana! Mimi swali langu ni Short and clear, huu utaratibu wa Polisi kushikilia mtu kisha wanabeba na simu yake pamoja na Laptop yake, wanataka nini hasa? Ni sheria gani inayoruhusu wao kuingia na kufungua simu na computer zangu bila ridhaa yangu wakati mimi ni mshukiwa...
  7. C

    INAUZWA Offer: HP Laptop for Sale 199,000 Tzs

    Grab this unbeatable offer: 199,000/= HP Laptop for sale Specs Model HP 6550b Ram 4GB Intel i5 Battery (charge) depletion time 45"- 1hr ❌Webcam isn't working ( but you can use external webcam) Price: 199,000/- (OFFER) UPDATE: SOLD Out! ☑️
  8. luangalila

    Msaada: PC (laptop) yangu screen yake imebadili rangi kuwa pink

    Habarini za Usiku wadau wa Tech Leo nimekumbana na hii scenario nawasha Pc yangunlkn muonekano wa screen sio ule wa kawaida, ina ka rangi kama ya pink flan iv sometime ina ambatana na kama mistari iv ..ningeomba watalaam mnisaidie ku share tip juu ya hili tatizo Je ni kioo kina shida au ndio...
  9. zink

    Bei na ubora wa alienware gaming laptop

    Habari wakuu nimevutiwa sana na hizi alienware gaming laptop, nauliza kuhusu bei zake pamoja na ubora wake ukishindanisha na kampuni kama hp omen, acer, msi, na je hizi msi gaming laptop zina ubora gan maana zinanivutia kimuonekano.
  10. C

    Computer4Sale HP Laptop for Sale

    HP Laptop for sale Specs Model HP 6550b Ram 4GB Intel i5 Battery - can store the charge 45"- 1hr Price: 250,000/- First call, first served! UPDATE: SOLD Out! ☑️
  11. G

    Computer4Sale Laptop hpfolio 9480 inauzwa

    Ram: 8gb Hdd: 500gb Processor : Coi5 Battery mbovu (haina tatizo jingine) Bei: Tsh. 550, 000/= Phone : 0764232348 Location : Dar es Salaam Exchange allowed with any dell laptop
  12. Niache Nteseke

    MSAADA: Hivi, Naweza Kutumia Laptop kupita simu?

    Wakuu. Heshima kwenu. Kama mada inavyojieleza wakuu nahitaji kutumia Laptop kutokea kwenye simu wakuu. Vitu gani vinawezekana na vipi haviwezekani...? Naweza kuona interface ya laptop kwa bluetooth nikafanya ninachoweza kufanya kwenye laptop kwa kutumia simu yangu...? Kama ipo hiyo app...
  13. M

    Computer4Sale Laptop -Toshiba Satelite C855

    Habarini wote, Laptop iko sokoni: Toshiba Satelite C855 RAM:8gb HD 200gb Processor:Intel Pentium R -2.3ghz(2cpus) Windows 10 Pro:64Bits Bei ya kugombaniwa -200,000 Njoo kwa inbox tufanye biashara
  14. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Laptop Zimewasili na Ofa ya Vitabu, Best and Cheap

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta computer za kipekee, chache aina...
  15. steve emile

    Jinsi Data(mb)za simu zitumike kwenye pc laptop

    Msaada nataka kujua jinsi ya kutumia mb za cmu..zitumike kwe.ye laptop
  16. Renald Gasper

    Fahamu Laptop zinazofaa kwa Designers na Content Creators kabla hujanunua

    Kabla hujafanya uwamuzi wa kununua laptop yako mpya kwa ajili ya matumizi yako ya Graphic designing, Architecture, au Content Creation yafahamu haya. NI MUHIMU! • Category hii ya watu wa aina hiyo, wanahitaji PC (Laptop) yenye uwezo wa kustahimili program zao zenye uwezo mkubwa, kama CAD, Adobe...
  17. D

    Computer4Sale Laptop inauzwa bei ya kutupa

    Wakuu mdogo wenu nina used laptop hp hapa in clean condition naiuza yenye sepecifaication zifuatazo Intel R 1 . 4 .6 ghz 4gb , 64 bit porcessor,na inapatikana kwa 350 k ila kua maelewano picha yake hiyo hapo nashukuru mnakaribishwa. Namba kwa ajili ya mawasiliao ni 0783672221
  18. ngotho

    Laptop nzuri ni ipi? Nataka ya Tsh. 400,000

    Wakuu nawasalimia kwa jina la Yesu Wale wenzetu waislamu salaam aayqum. Wakuu ivi kwa mtu anayesomea Bachelor of Science in Business Information Technology anafaa awe na PC gani? Budget yangu ni 400,000/= je naweza kupata inayoendana na kozi yangu hiyo? Naombeni ushauri.
  19. D

    Computer4Sale Laptop inauzwa

    Lenovo ideapad 110-15IBR RAM 4GB HDD. 500GB PROCESSOR. duo 1.6Ghz Battery >3 hrs Bei 380,000 📞 0767353674 Dodoma.
  20. EINSTEIN112

    Hivi Laptop ambayo haina KEYBOARD LIGHT naweza kuwekewa

    Heading imemaliza swali langu. Ni laptop aina ya HP Envy x360 15-aq005na
Back
Top Bottom