Habari za mchana,
Ninaomba kwa anayefahamu sehemu duka/ kampuni/ kiwanda ambapo ninaweza pata desktop na laptop kwa bei ya jumla au ya chini zaidi.
Ninahitaji destop 300 na laptop 50 kuna mahali zinatakiwa kuwekwa.
Wakuu habari za muda huu. poleni na pia hongereni kwa majukumu ya kila siku
Kama ulivyoweza kusoma kicha hapo juu, leo nitaenda kukujuza maujanja ambayo inawezekana ulikuwa hujui kuhusu laptop. Maujanja haya yatakusaidia sana pale unapotaka kununua laptop hasa hapa nchini Tanzania.
Ukweli ni...
Wakuu habari za majukumu,
Nilikuwa nahitaji laptop used ya kununua .specification ziwe hizi processor core 5 au 7. Generation ya 5 au ya sita HDD 500gb bajeti yangu Ni 400000 - 500000.
Location Niko Mwanza .
Kama iko dar pia mzigo naweza kuufata.
Amani iwe nanyi Waungwana!
Mimi swali langu ni Short and clear, huu utaratibu wa Polisi kushikilia mtu kisha wanabeba na simu yake pamoja na Laptop yake, wanataka nini hasa? Ni sheria gani inayoruhusu wao kuingia na kufungua simu na computer zangu bila ridhaa yangu wakati mimi ni mshukiwa...
Grab this unbeatable offer: 199,000/=
HP Laptop for sale
Specs
Model HP 6550b
Ram 4GB
Intel i5
Battery (charge) depletion time 45"- 1hr
❌Webcam isn't working ( but you can use external webcam)
Price: 199,000/- (OFFER)
UPDATE:
SOLD Out! ☑️
Habarini za Usiku wadau wa Tech
Leo nimekumbana na hii scenario nawasha Pc yangunlkn muonekano wa screen sio ule wa kawaida, ina ka rangi kama ya pink flan iv sometime ina ambatana na kama mistari iv ..ningeomba watalaam mnisaidie ku share tip juu ya hili tatizo Je ni kioo kina shida au ndio...
Habari wakuu nimevutiwa sana na hizi alienware gaming laptop, nauliza kuhusu bei zake pamoja na ubora wake ukishindanisha na kampuni kama hp omen, acer, msi,
na je hizi msi gaming laptop zina ubora gan maana zinanivutia kimuonekano.
HP Laptop for sale
Specs
Model HP 6550b
Ram 4GB
Intel i5
Battery - can store the charge 45"- 1hr
Price: 250,000/-
First call, first served!
UPDATE:
SOLD Out! ☑️
Wakuu. Heshima kwenu.
Kama mada inavyojieleza wakuu nahitaji kutumia Laptop kutokea kwenye simu wakuu.
Vitu gani vinawezekana na vipi haviwezekani...?
Naweza kuona interface ya laptop kwa bluetooth nikafanya ninachoweza kufanya kwenye laptop kwa kutumia simu yangu...?
Kama ipo hiyo app...
Habarini wote,
Laptop iko sokoni:
Toshiba Satelite C855
RAM:8gb
HD 200gb
Processor:Intel Pentium R -2.3ghz(2cpus)
Windows 10 Pro:64Bits
Bei ya kugombaniwa -200,000
Njoo kwa inbox tufanye biashara
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta computer za kipekee, chache aina...
Kabla hujafanya uwamuzi wa kununua laptop yako mpya kwa ajili ya matumizi yako ya Graphic designing, Architecture, au Content Creation yafahamu haya.
NI MUHIMU!
• Category hii ya watu wa aina hiyo, wanahitaji PC (Laptop) yenye uwezo wa kustahimili program zao zenye uwezo mkubwa, kama CAD, Adobe...
Wakuu mdogo wenu nina used laptop hp hapa in clean condition naiuza yenye sepecifaication zifuatazo
Intel R 1 . 4 .6 ghz 4gb , 64 bit porcessor,na inapatikana kwa 350 k ila kua maelewano
picha yake hiyo hapo nashukuru mnakaribishwa.
Namba kwa ajili ya mawasiliao ni 0783672221
Wakuu nawasalimia kwa jina la Yesu
Wale wenzetu waislamu salaam aayqum.
Wakuu ivi kwa mtu anayesomea Bachelor of Science in Business Information Technology anafaa awe na PC gani?
Budget yangu ni 400,000/= je naweza kupata inayoendana na kozi yangu hiyo?
Naombeni ushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.