laptop

  1. DustBin

    SoC01 Laptop ilivyobadilisha maisha ya Jojina wa Gairo

    Baada ya kuhitimu masomo yake ya kidato cha sita mwaka 2013 katika shule ya sekondari ya wasichana Kilakala, Jojina alirudi nyumbani kwao Gairo. Jirani yao Mzee Mkude alikuwa amefungua duka la vifaa vya maofisini na shuleni (stationery) karibu na stendi ya zamani. Hivyo Jojina alimuomba Mzee...
  2. Acehood

    Msaada wakuu laptop yangu (DELL) imegomea hapo toka juzi

  3. E

    Computer4Sale Hp gaming pc -gaming laptop

    Hp probook G4 450 Intel core i7 processor 2.9@Ghz 7th generation Ram 8 gb ddr4 Storage 0.5tb Nvidia geforce 930mx(2gb)+ intel family graphic 620 4gb Window 11 64 pro Highest Hd(1920x1050). Display s:15.6inches Battery 4hr free gamesgta5 &fifa 21and softwares
  4. Lawrance franci

    Computer4Sale Laptop aina mbalimbali zinauzwa

    HP MIN LAPTOP 300,000/= TU INa RAM 2 GB HDD 160 SCREEN SIZE 10.1 Refuerbished Ina Kaa na charge Masaa 10 Call Me 0716889489
  5. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Laptop Zimewasili Na Ofa Ya Vitabu

    LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa...
  6. I

    Msaada wa Mkopo wa dharula Tsh 150,000/=

    Solved
  7. M

    Computer4Sale Computer, Laptop na Printer ndogo sokoni

    Printer ni HP Laptop ni samsung Computer ni ONDA Bidhaa zote zilikuwa zinatumika ofisini Bei laki 7 fixed for all Location Dar es salaam Communication 0625825641
  8. N

    Min Laptop ya del latitude 2120

    Kioo cha latitude 2120 kinauzwa bei gan wakuu hiki kilatop kamedondoka kioo Kwishiney kiweka mstari
  9. Superpower

    Android min personal computer

    Jamani habarini humu naombeni kuuliza Kuna kipindi nilikua naona kwenye mtandao wa Alibaba pc flani ndogo zilikua zinaendeshwa kwa Android. Sasa ningependa kujua je zinapatikana madukani na bei ni kuanzia TSH ngapi? Uzi tayari
  10. HISTAMINE

    Msaada: Lenovo laptop screen/monitor imevunjika na kumwaga wino

    Leo wakati naangalia mechi kati ya Aston villa na Chelsea, nikapata mihemko ya mpira nikadunda ngumi kitandani pembeni yangu, kumbe! nilikuwa nimeweka pc sikuiona, matokeo yake imevunjika screen ndani kwa ndani, rangi zimetawanyika, imepata kama kifafa hivi- maandishi yanacheza cheza. Wapi...
  11. peno hasegawa

    Laptop computers 10 zaibwa shule ya sekondari Moshi Technical - Mkoa wa Kilimanjaro

    Kumekuwepo na usiri mkubwa , kwenye sakata la wizi wa laptop computers 10 uliofanyika shule ya Moshi Technical kule kilimanjaro, ambapo shule hii Ina kitengo maalumu cha wanafunzi wenye matatizo ya kutokusikia vizuri. Hii ni mara ya pili kufanyika kwa wizi huo ndani ya mwaka mmoja. Kimsingi...
  12. dirtyboy

    Tatizo la Laptop kujizima yenyewe

    Habari za wakati huu wakuu Pc yangu imekumbwa na tatizo la kushindwa kuwaka. Nikibonyeza power button fen ina zunguka tu lakini screen haiwaki. Kabla ya hili tatizo ilikuwa inatabia ya kujizima nyenyewe, ila nikikaa baada ya mda nikiiwasha inawaka. Mwanzo nilijua tatizo ni betry nikanunua...
  13. 6WaS9

    Ushauri kuhusu Biashara ya Kuuza Computer: Laptop/dektop used

    Habari wakuu. Ni wapi zinapatikana Computer used nzuri kwa bei ya jumla? Nitapata kwa Tshs. Ngapi kwa pc 1 kutokana na specifications za computer husika? Yaani bei ya kila pc na specifications zake. Kwa wanaofahamu ma Supplier wa China na Dubai watujuze pia. Kwa mzigo wa kutoka nje gharama...
  14. Mrs Gudman

    Nahitaji laptop sharti iwe kwenye hali nzuri

    Naomba kuuliza mwenye laptop anauza. RAM iwe kuanzia 3GB na kuendelea. Hard disc kuanzia 200 na kuendelea. Ikae na charge kuanzia masaa mawili na kuendelea. Bei isizidi laki tatu Kama unayo comments chini nikufate au njoo pm. NB: Nipo Dodoma
  15. Ujo Group

    Computer4Sale Tunauza Laptop, tupo Kariakoo

    MSI gaming machine Core i7 - 7th gen RAM 16gb HDD 1tb SSD 256gb Nvidia Gtx 1060(6GB Dedicated) Used [emoji338]0784545494 Bei 2,850,000 Tupo Karibu na Mlimani City Mall Njia ya kwenda Survey/Ardhi University.
  16. Dr. Zaganza

    Laptop Zimewasili Na Ofa Ya Vitabu

    UPDATE LEO JULY 2 2021 LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia...
  17. W

    LAPTOP inaharibika muda gani usipoizima bali inapiga mzigo

    Poleni wandugu kwanza. Ni kwamba kuna kazi nafanya na laptop yangu ya siku nyingi Acer Quad Core 8gb ram. Sasa shughuli nyingine masaa 18 inachapa mzigo nazima nusu saa. Halafu inapiga masaa 6 huu mchezo wiki nzima nimekuwa nafanya usiku na mchana sasa nimeanza kuogopa nitaikuta imezima...
  18. Ryzen

    Naomba kujuzwa namna ya kutrack laptop iliyoibiwa

    Nimeibiwa laptop. Je kuna namna ya ku track au nipotezee tu? Cc Chief-Mkwawa
  19. Popacomputers

    Computer4Sale Lenovo Mini laptop for sale

    Lenovo Mini laptop for sale hard disk 250gb Ram 2gb core2duo Good condition price 230000 inapatikana karume Dar es salaam contact: 0757870230
  20. Popacomputers

    HP corei7 laptop for sale

    Hp elitebook 8460p Prosesa 2.7gh Gen ya 4 Hard disk 500gb Ram 4gb Corei7 Good condition Price 450000 tshs contact: 0757870230 inapatikana karume DSM
Back
Top Bottom