Baada ya kuhitimu masomo yake ya kidato cha sita mwaka 2013 katika shule ya sekondari ya wasichana Kilakala, Jojina alirudi nyumbani kwao Gairo. Jirani yao Mzee Mkude alikuwa amefungua duka la vifaa vya maofisini na shuleni (stationery) karibu na stendi ya zamani. Hivyo Jojina alimuomba Mzee...
LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa...
Printer ni HP
Laptop ni samsung
Computer ni ONDA
Bidhaa zote zilikuwa zinatumika ofisini
Bei laki 7 fixed for all
Location Dar es salaam
Communication 0625825641
Jamani habarini humu naombeni kuuliza Kuna kipindi nilikua naona kwenye mtandao wa Alibaba pc flani ndogo zilikua zinaendeshwa kwa Android. Sasa ningependa kujua je zinapatikana madukani na bei ni kuanzia TSH ngapi? Uzi tayari
Leo wakati naangalia mechi kati ya Aston villa na Chelsea, nikapata mihemko ya mpira nikadunda ngumi kitandani pembeni yangu, kumbe! nilikuwa nimeweka pc sikuiona, matokeo yake imevunjika screen ndani kwa ndani, rangi zimetawanyika, imepata kama kifafa hivi- maandishi yanacheza cheza.
Wapi...
Kumekuwepo na usiri mkubwa , kwenye sakata la wizi wa laptop computers 10 uliofanyika shule ya Moshi Technical kule kilimanjaro, ambapo shule hii Ina kitengo maalumu cha wanafunzi wenye matatizo ya kutokusikia vizuri. Hii ni mara ya pili kufanyika kwa wizi huo ndani ya mwaka mmoja.
Kimsingi...
Habari za wakati huu wakuu
Pc yangu imekumbwa na tatizo la kushindwa kuwaka. Nikibonyeza power button fen ina zunguka tu lakini screen haiwaki. Kabla ya hili tatizo ilikuwa inatabia ya kujizima nyenyewe, ila nikikaa baada ya mda nikiiwasha inawaka.
Mwanzo nilijua tatizo ni betry nikanunua...
Habari wakuu.
Ni wapi zinapatikana Computer used nzuri kwa bei ya jumla?
Nitapata kwa Tshs. Ngapi kwa pc 1 kutokana na specifications za computer husika? Yaani bei ya kila pc na specifications zake.
Kwa wanaofahamu ma Supplier wa China na Dubai watujuze pia.
Kwa mzigo wa kutoka nje gharama...
Naomba kuuliza mwenye laptop anauza.
RAM iwe kuanzia 3GB na kuendelea.
Hard disc kuanzia 200 na kuendelea.
Ikae na charge kuanzia masaa mawili na kuendelea.
Bei isizidi laki tatu
Kama unayo comments chini nikufate au njoo pm.
NB: Nipo Dodoma
MSI gaming machine
Core i7 - 7th gen
RAM 16gb
HDD 1tb
SSD 256gb
Nvidia Gtx 1060(6GB Dedicated)
Used
[emoji338]0784545494
Bei 2,850,000
Tupo Karibu na Mlimani City Mall Njia ya kwenda Survey/Ardhi University.
UPDATE LEO JULY 2 2021
LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia...
Poleni wandugu kwanza.
Ni kwamba kuna kazi nafanya na laptop yangu ya siku nyingi Acer Quad Core 8gb ram.
Sasa shughuli nyingine masaa 18 inachapa mzigo nazima nusu saa. Halafu inapiga masaa 6 huu mchezo wiki nzima nimekuwa nafanya usiku na mchana sasa nimeanza kuogopa nitaikuta imezima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.