laptop

  1. S

    Ushauri wa Laptop nzuri kwa ajili ya graphics design

    Habari wana JF, Naombeni ushauri nataka kununua laptop kwa ajili ya graphic designing. Je, ninunue laptop ipi? Naomba ushauri wa brand na aina. Mkifanya description kubwa mtanichanganya. Mfano ukisema lenovo thinkpad T350, inakuwa rahisi kwa mimi kwenda madukani na kuitafuta. Bajeti yangu...
  2. C

    Fundi mzuri wa laptop (Hardware na software )

    Habarini wakuu Naomba kujua fundi mzuri na wa kuaminika wa PC Kwa Dsm upande wa hardware na software hasa maeneo Tandika au Temeke ikishindikana maeneo Hayo basi kokote ndani ya Dsm Nawasilisha
  3. Komeo Lachuma

    Jinsi ya ku connect Simu Android kudisplay kwenye Laptop (Hasa Azam TV)

    Wadau nmekuwa nikisafiri sana ndani na nje ya nchi kutokana na nature ya kazi zangu. Changamoto ninayoipata ni kuangalia VPL kupitia Azam. Mara nyingi natumia App yao kuangalia mpira kupitia kwenye Simu.nikapata wazo la ku connect na laptop iwe ndo display ili niwe naangalia kwa ukubwa zaidi...
  4. Chuku chuku

    Kifaa chochote kitachoweza kutunza chaji ya laptop kwa masaa 24

    Naomba kujua ni kifaa gani kama ni betri au ups ambacho kinaweza kunisaidia kutumia laptop yangu kwa muda wa saa 24 pale umeme unapokuwa umekatika, kitu kama ups ila kiwe na uwezo huo wa kukaa saa 24.
  5. Dr. Zaganza

    Laptop zimewasili na Offer ya bure ya Software ya Research

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei nafuu. Kwa sasa tumeleta computer zifuatazo: 1. Lenovo ya kuzungusha screen. Sifa: Hard disk 160GB, ram 4...
  6. Eng Kahigwa

    Computer4Sale Dell-Laptop inauzwa

    Specification: Manufacturer: Dell Latitude E5430 RAM: 4GB HDD: 320GB Battery autonomy: 4-6hrs CPU: Core i3 Speed: 2.5GHz Other features: USB ports [USB 2.0, USB 3.0], Wi-Fi, Memory card slot, CD-Drive, HDMI & VGA port. Bei: 400,000/= Laptop haina tatizo la aina yoyote ile. Simu namba: +255 656...
  7. M

    Computer4Sale Laptop kali sana core i5 Dell inauzwa

    p
  8. beth

    Wezi wavunja na kuiba laptop na sukari kilo 25 Ofisi za Mahakama ya Wilaya Njombe

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za wizi baada ya kuvunja Mahakama ya Wilaya ya Njombe na kuiba vitu mbalimbali vya ofisi hiyo ikiwemo Laptop tatu (3) na Sukari kiasi cha Kg 25, waliokamatwa yupo aliyeiba na mwingine aliyeenda kuuziwa Laptop hizo. Taarifa...
  9. Dr. Zaganza

    Laptop Zimewasili Na Ofa Ya Software Ya Research

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei nafuu. Kwa sasa tumeleta computer zifuatazo: 1. Lenovo ya kuzungusha screen. Sifa: Hard disk 160GB, ram 2 gb,zinakaa...
  10. Ndama dume

    Computer4Sale Karibu laptop

    Bei mwisho laki 650,000/= Nipo kahama mjini Call na sms only 0620307124 Kama huiwezi hiyo bei sitaki usumbufu
  11. E

    Computer4Sale gaming laptop dell e6430 core i7 ram gb 8,, dedicated graphic inauzwa

    bei 350k imepungua to 300k location mwenge mpakani 0787202143 used Dell latitude e6430 nzuri for gaming and graphic processor :intel Core i7-3520qm clock speed 2.6 GHz and 3.6 GHz with turbo boost ram 8 gb hard disk 500gb 2 graphic card 1.intel hd 4000; 2.NVIDIA nvs5200m (1gb dedicated)...
  12. dymaka

    Nahitaji Motherboard ya laptop aina ya Acer Aspire V5 - 123. Iwe inafit kwenye specification zifuatazo CPU. AMD dual - core

    Nahitaji Motherboard ya laptop aina ya Acer Aspire V5 - 123. Iwe inafit kwenye specification zifuatazo CPU. AMD dual - core processor E1 - 2100 (1.0GHz) MEMORY. 2GB DDR 3 Memory, NB: V5 - 123 -1210G50nkk. Kwa mawasiliano Voda 0769269374 Tigo 0655269374 kwa what's app & call
  13. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Laptop zimewasili toka U.S.A

    COMPUTER ZIMEWASILI TOKA U.S.A Drone Computer tumekuwa kwa muda mrefu tukitoa ushauri wa computer, mafunzo ya kutumia computer,matengenezo ,kuwaletea sample za computer bora. Wiki hii tuna computer zifuatazo. Piga 0713-039875 kuwahi bei hizi za ofa kabla ya wikiend kuanza.Au fika Ofisini...
  14. tamsana

    Msaada: Laptop yangu aina ya Toshiba Tecra ina tatizo la kuwaka (blinking) taa ya charge

    Habari ya majukumu wadau. Kama ambavyo title inajieleza, Laptop yangu imegoma kuwaka na taa ya charge ina blink throughout. Nimejaribu kutoa battery na kuunganisha charge moja kwa moja lakini bado ile taa inablink. Pia nikirudisha battery ile taa inaendelea kublink throughout hadi niiondoe...
  15. Ally_34

    INAUZWA Laptop Dell inauzwa

    Bei Tsh 530,000 Inapatikana Morogoro Ina 500 gb Mawasiliano piga 0746897449
  16. ze future

    Msaada: Laptop yangu inakataa kuconnect na internet

    Habari yako, PC yangu kwa muda sasa kila nikijaribu kuconect internet kupitia simu yangu inasema "Limited" na status yake inasema "unidentified network" na "no internet access", natumia windows 8. Nimekuja hapa kuomba msaada wenu wa jinsi ya kulitatua tatizo hili.
  17. G

    Computer4Sale HP Laptop inauzwa laki moja na nusu

    HP Laptop min 1104 inauzwa dual core hardisk 160 inch 10 RAM 2GB ipo na charger yake ni laki 150 tu mtu anashida tatizo la pc ni keyboard tu na keyboard ni elfu 30 wanauza karibuni sana nipo Dar Mbezi ya Kimara 0656804462
  18. IT MAN

    Nanunua Laptop Mbovu

    Kama una Laptop mbovu lete nikupe pesa.Bei inategemea na ubovu, Specs na Muonekano. Machinga Complex Karume DSM, 2nd floor D3(4-6) 0736883363
  19. Samaki Nchanga

    Msaada kwa wajuzi wa Laptop

    Kuna PC yang HP Elitebook ile ya Fingerprint ina muda sijaitumia. Sasa juzi naiwasha inawaka vizuri kabisa tatizo ni keypads mpaka ulong press ndo inakubali yani ukibonya keypad inapiga kimlio flani hivi mpaka ubonyeze bila kuachia ndo herufi ina respond. Je, yaweza kuwa tatizo window nibadili...
  20. M

    Naomba usaidizi wa Matumizi ya WhatsApp kwenye Laptops

    Wakuu habari ya uzima na poleni na majukumu yenu ya kila siku, Wakuu nataka kuanza kutumia whatsapp version kwenye laptop yangu badala ya simu, Je kuna mwanajukwaa ambaye alishawahi kutumia apps ya whatsappp kwenye laptop? alifanyaje? Asanteni. 🙏
Back
Top Bottom