lge 2024

LGE 2024
LGE 2024 - Local Government Election 2024 ni tagline inayotumika JamiiForums kwa maudhui yote yanayohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 (Local Government Election 2024).
  1. Cute Wife

    LGE2024 Ruvuma: Jenista Mhagama apiga kura. Wanatembelea V8 wanapiga kura kwenye mapagala!

    Wakuu, Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mkoa wa Ruvuma Mhe. Jenista...
  2. Cute Wife

    LGE2024 Mbeya: Spika Tulia ashiriki zoezi la kupiga kura

    Wakuu, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Mbunge Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson leo tarehe 27 Novemba, 2024 ameshiriki zoezi la kupiga kura kuwachagua Viongozi wa Serikali za Mitaa. Kupata taarifa na matukio ya...
  3. Roving Journalist

    LGE2024 Special Thread: Matukio ya Rafu za Uchaguzi na Malalamiko kwenye Zoezi zima Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Wakuu, Wakati zoezi la kupiga kura linaendelea vitendo vya uchakachuaji na malalamiko ya kuonewa wakati wa uchaguzi huwa havikosekani. Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Uzi huu utakuwa maalum...
  4. Cute Wife

    LGE2024 Geita: Naibu Waziri Doto Biteko ajitokeza kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa

    Wakuu, "Uchaguzi huu tuufanye kwa amani na utulivu, aliyeshinda atangazwe na ambaye hajashinda asitangazwe. Niwaombe watu wote waliojiandikisha wasiache kuja kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua kiongozi wanaemtaka ili tuweze kusukuma mbele maendeleo yetu. Kupata taarifa na matukio ya...
  5. Cute Wife

    LGE2024 Kigoma: Kamanda wa Polisi apiga kura, asema wananchi waachane na mambo ya kulinda kura, wawaamini mawakala

    Wakuu, Si ndio huko mpaka saivi mgombea kashashikwa na kura zilizopigwa, mnaambiwa muamini mawakala, watafanya kazi nzuri kama malaika!:KEKWlaugh::KEKWlaugh: Asema usipoelewa utaelimishwa, na ukielimishwa lakini bado hujaelewa utachukuliwa ukaelimishwe zaidi mbere kwa mbere :BearLaugh...
  6. Mtoa Taarifa

    LGE2024 Kituo cha Kupigia Kura cha Lugalo, Kawe chakutwa na Maboksi ya Kura zilizopigwa kabla ya muda wa kupiga kura

    Kupata taarifa zote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kila mkoa ingia hapa: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Katika hali isiyokuwa ya kawaida inadaiwa kuwa masanduku matatu (3) ya kura...
  7. Cute Wife

    LGE2024 Pwani: DC Nikki wa Pili na RC Kunnenge wapanga foleni kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Wakuu, Drama zinaendelea mpaka siku ya uchaguzi! Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Kunnenge wakiwa kwenye foleni ya kwenda kupiga...
  8. Cute Wife

    LGE2024 Mwigulu: Tufanye uchaguzi wa amani na utulivu

    Wakuu, Mwigulu amewahimiza wananchi wa Mkoa wa Singida kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika kesho, Novemba 27, 2024. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya...
  9. Cute Wife

    LGE2024 Msimamizi Uchaguzi Arusha: CHADEMA walikosea, tukawaita kuwasaidia wakatugomea

    Wakuu, Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya wilaya ya Arusha Ndg. John Kayombo amesema mvutano uliopo miongoni mwao na Wanachama na Viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoa wa Arusha, unatokana na makosa ya kiutendaji yaliyofanywa na Chama hicho kwa kuandikisha mawakala...
  10. Cute Wife

    LGE2024 CCM kuhimiza wanachama wao kutawanyika baada ya kupiga kura ni taa nyekundu kwa wapinzani, kuna jambo linapangwa

    Wakuu, Hiyo siyo kawaida kwamba CCM wanajiamini sana na kuamini mawakala wao kuwa mambo yataenda vizuri. Kuja jambo linapangwa; 1. Mapolisi kuwa standby wapinzani wakifanya nywi kitatembezwa kipigo cha mbwa koko, halafu waje kusema wapinzani walileta vurugu wakati wameshindwa zoezi limeenda...
  11. Cute Wife

    LGE2024 Jokate: Rais Samia ameuthibitishia ulimwengu Tanzania ina Demokrasia imara, vyama vina wagombea na kampeni zimeisha kwa amani

    Wakuu, Mkuu wa UVCCM Taifa Jokate Mwegelo amesema Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kwamba Tanzania ina demokrasia kwasababu hadi sasa hakuna machafuko yaliyotokea kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vyama vingi vinashikiri ambapo amewataka pia Vijana ku kutothubutu kujiingiza katika...
  12. Cute Wife

    LGE2024 Eric Shigongo: Msifanye makosa mkaniletea mtu ambaye hatokani na CCM

    Wakuu, Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amefunga kampeni za wagombea wa serikali za vijiji kwenye Kijiji cha Kanyala, Kata ya Bulyaheke na kuwaomba wananchi kuchagua viongozi wanaotokana na CCM ili iwe rahisi wananchi kupata maendeleo. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi...
  13. Cute Wife

    LGE2024 Biteko aimba kilugha na wananchi, awaambia wana Geita wasiiangushe CCM

    Wakuu, Ndio maana Nyerere alikataa makabila makubwa kushika nafasi ya Urais, kuanza kutuimbia vilugha na kubaguana tu! ===== Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko amewataka wananchi wa Geita kujitokeza wa wingi kesho na kuchagua wagombea wa CCM. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu...
  14. Cute Wife

    LGE2024 Siyame: Chagueni CHADEMA, CCM haijabadilika

    Wakuu, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Momba, mkoani Songwe, kimehitimisha kampeni zake za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kufanya mikutano katika kata za Bonde la Kamsamba wilayani Momba. Mtia nia wa ubunge jimbo hilo, Fanuel Siyame, amewataka wananchi kuwachagua...
  15. Cute Wife

    LGE2024 Mwanza: CCM wakatiza mbele ya mkutano wa ACT wakati mgombea akinadi sera zake

    Wakuu, Huu ni ukorofi kabisa, CCM kama inapumulia mashine vile afu wanajaribu kutanua mapafu :BearLaugh: Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa...
  16. Cute Wife

    LGE2024 Katibu Uenezi CCM Dodoma: Tuna tetesi wamejiandaa kulalamika na kususia matokeo

    Wakuu, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma Jawadu Mohamed amesema baada ya vyama vya upinzani kushindwa kuteua wagombea wenye sifa katika baadhi ya maeneo, amedai zipo tetesi za vyama hivyo kujiandaa kususia na kulalamikia matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za...
  17. Cute Wife

    LGE2024 Lema: Nina taarifa kuna kura zimeshapigwa, wanatafuta namna ya kuingiza kura feki

    Wakuu, Zikiwa zimesalia saa chache kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Jumatano, Novemba 27, 2024 nchini Tanzania, jijini Arusha kumekuwa na malalamiko kutoka kwa vyama vya siasa, hususan CHADEMA Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa...
  18. Cute Wife

    LGE2024 Mbunge Gekul: Tuwalipe CCM kwa kura nyingi kesho

    Wakuu, Tunawalipa CCM kwani wanatudai nini? ==== Mbunge wa Jimbo la Babati mjini Mhe. Paulina Gekul amewataka Wananchi wa Jimbo hilo kuhakikisha wanarudisha shukrani kwa Chama cha Mapinduzi kwa kukipa kura nyingi za ushindi kesho Jumatano Novemba 27. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa...
  19. Cute Wife

    LGE2024 Nchimbi: Ukiongea matusi wanaenda kusimuliana "Yule mwehu wetu ulimsikia leo". Wanakupigia makofi lakini kura wanakunyima

    Wakuu, Siku ya leo wakati wa kufunga kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM amegusia kuhusiana tabia ya baadhi ya wagombea kutumia matusi kuwasilisha hoja akimuita mgombea huyo Mwehu na Kichaa! Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali...
  20. Cute Wife

    LGE2024 Nchimbi: Tunasumbuliwa na maombi nchi jirani kujifunza Samia amefanyaje kueleta maendeleo nchini, kazi yake nzuri inajiuza

    Wakuu, Kumbe kuna watu wanapigana kupata nafasi ya kujua tanzanania tunaishije kama tupo Dubai na watu hamseni? Mna siri nyinyi :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh: Watanzania wanasema katika mikutano kasi ya maendeleo iliyopatikana katika miaka hii 4 hawajawahi kukutana nayo...
Back
Top Bottom