lge 2024

LGE 2024
LGE 2024 - Local Government Election 2024 ni tagline inayotumika JamiiForums kwa maudhui yote yanayohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 (Local Government Election 2024).
  1. Cute Wife

    Pre GE2025 Rais Samia atoa ambulance kituo cha afya, Lukuvi aikabidhi. Ni mwendo wa kujifanya mwema tu kipindi hiki!

    Wakuu, Ni mwendo wa kujisafisha sasa hivi na kujifanya mwema na mwenye huruma mpaka kieleweke. ===== Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imetoa gari jipya la kuhudumia wagonjwa lenye usajili wa STN 3638 kwa Kituo Cha Afya cha Migoli ili kuendelea kurahisisha na kuboresha utoaji wa...
  2. Cute Wife

    Pre GE2025 Lindi: CHADEMA yazungumza kukamatwa kwa Steven Membe

    Wakuu, Taarifa za kukamatwa na kisha kushikiliwa kwa Steven Membe ambaye pia ni mtia nia wa kuwania Ubunge wa jimbo la Mtama, Lindi kupitia CHADEMA katika uchaguzi mkuu ujao (2025) zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii hatua ambayo iliibua maswali na sintofahamu huku kukiwa na hisia...
  3. sifi leo

    LGE2024 Hivi Zanzibari nako kuna Uchaguzi Serikali za Mitaa? Kweli CUF haina mgombea hata mmoja mwaka 2024?

    Mimi nimtanganyika Zanzibari naiskia kwa vyombo vya habari TU ila ninauliza Huko Nako mpaka Kizimkazi Kuna uchaguzi wa Serikali ya MTAA kweli? MBONA kuko kimnyaaa hivi? Kupata taarifa zote za kimkoa kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala...
  4. Cute Wife

    LGE2024 Mwingine apiga magoti! Chagueni CCM izidi kuwaletea maendeleo! Bado kuruka tu kama Wamasai!

    Wakuu, Safari hii kweli mambo magumu kwa CCM, mbinu za kijasusi zote zinatumika kuomba kura, bado kugeuza macho tu kama akina Zuchu :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote...
  5. Cute Wife

    Pre GE2025 Spika Tulia ashiriki ibada ya madhabahu ya sauti ya uponyaji. Mkienda na kwa waganga pia mturushie na picha!

    Wakuu, Huu ndio muda wa kujipendekeza kwa kila mtu mradi wapate kura, safari hii mkienda na kwa waganga mtupigie pia na picha. Msiwafiche fiche wakati tunajua na huko mnafika, kweli uongozi mtamu :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:. ==== Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa...
  6. Cute Wife

    Pre GE2025 Wananchi Morogoro wabubujikwa machozi ya furaha Rais Samia kutunikiwa Udaktari wa Heshima! Ukiwahesabu hao watu ni 2 tu!

    Wakuu, Hivi vichwa vya habari lazima director na mhariri mkuu atakuwa Lucas Mwashambwa tu, afu wana undugu na Tlaatlaah :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh: Mnatumia nguvu kubwa kufanya mama akubalike lakini wapi, angalau basi mkiwapa watu script wawe hata na tu lugha twa...
  7. Cute Wife

    Pre GE2025 Askofu Shoo afafanua madai ya kuhongwa Tsh. Milioni 150, asema ni mbinu za kumnyamazisha

    Wakuu, Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kiluther Tanzania (KKKT), Askofu Fredirick Shoo amefunguka kwa mara ya kwanza juu ya taarifa alizoziita potofu kuwa amehongwa Sh150 milioni na Rais Samia Suluhu Hassan, akisema ni taarifa zenye lengo la kuvunja nguvu sauti ya...
  8. Cute Wife

    LGE2024 Ado Shaibu: Hatuibiwi kura safari hii. Wasitubipu, tuna bando la mwaka

    Wakuu, Mambo yanazidi kunoga, kapilipili kanazidi kukolea. CCM wakiongonzwa na UVCCM Kagera wanawazoom tu 🌚 🌚 ===== "Sisi tumevumilia sana kuibiwa, 2020 tumeibiwa, na safari hii wamejaribu 'kutubipu' tukawapigia, wengine huko walipo wanajipanga eti wajaribu kutuibia tena, ninawaambia simu...
  9. Cute Wife

    Pre GE2025 DC Mtwara: Wanafunzi wa vyuo wameomba bonanza kutoa shukrani kwa Rais Samia

    Wakuu, Ila CCM hakuna kama nyinyi duniani🤣🤣😂: DC Abdallah anasema wanafunzi wa vyuo wameomba bonanza kumshukuru Rais Samia kwa kufanya maisha yao vyuoni kuwa bora, na hawa ni wanafunzi wote wote, kwakuwa ni wengi sana basi wamewakilishwa na wenzao wachache kwenye hilo Samia Uni Bonanza huko...
  10. Cute Wife

    Pre GE2025 Mbunge Cherehani akabidhi baiskeli kwa wakulima 40 ziwasaidie kufatilia mwendo uzalishaji pamba msimu wa 2024/2025. Rushwa inazidi kutamalaki!

    Wakuu, Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ambekabidhi Baiskeli kwa Wakulima 40 wa Mfano kwa Zao la Pamba Halmashauri ya Ushetu, ambazo zitawawezesha kufuatilia mwenendo wa uzalishaji Pamba kwa Msimu huu wa kilimo 2024/2025. Akizungumza wakati wa kukabidhi baiskeli hizo Cherehani...
  11. Cute Wife

    LGE2024 Babu Duni: Kapigeni kura miaka mingine mitano migumu isije tena, Serikali za Mitaa ndio Ufalme wenu. Imizaneni kupiga kura

    Wakuu, “Wewe ndiye unayekwenda kupiga kura, wewe ndiye unayesema siitaki CCM, ni wewe. Sasa nyinyi mumeachiwa mitaa miwili, itakuwa miujiza mitaa hii msishinde, itakuwa miujiza kura muzipoteze, itakuwa miujiza msiende kupiga kura, kwa maana miaka 5 migumu itakuja tena. Kwa hivyo mimi...
  12. Cute Wife

    LGE2024 CCM Katavi wapiga magoti kuwaombea kura waogombea wao Uchaguzi Serikali Mitaa! Mpaka watatambaa ili wapewe kura

    Wakuu Akina mama wa CCM wapiga magoti ili kuwaombea kura wagombea wao kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wakija kuomba kura mpaka wanatambaa, wakishazipata wanaanza kutupiga matukio, hata kuwasogelea huwezi, unasikia unajua mimi ni nani? Tutaona mengi wakati huu. Kupata taarifa na matukio...
  13. Cute Wife

    LGE2024 Jeshi la Polisi laonya mikusanyiko isiyo halali Uchaguzi Serikali za Mitaa, lasema raia wasijichanganye na uvunjivu wa amani

    Wakuu, Justification ya kuzuia baadhi ya mikutano ya kisiasa na kampeni za vyama fulani ileee inawekwa kwenye mstari! Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza limevionya vyama vya siasa na kuvitaka kuepuka mikusanyiko isiyo halali katika kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika...
  14. J

    LGE2024 JamiiForums na StarTV kuwahoji wanasheria kuhusu Hali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo Novemba 23, 2024

    JamiiForums kwa kushirikiana na StarTV itaendesha Mjadala kuhusu Nafasi ya Wanasheria Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 Mjadala utaongozwa na Mtangazaji Edwin Odemba (Chief Odemba) akiwa na Wadau wa Masuala ya Sheria wakiwemo Onesmo Olengurumwa...
  15. Cute Wife

    LGE2024 Nyarugusu, Kigoma: ACT wamuombea kura mgombea wa CHADEMA

    Wakuu, Upinzani wakifanya hivi kwenye maeneo ambayo wagombea wa chama kimoja wapo wameenguliwa watafanikiwa kuwazidi CCM? ==== Naibu Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara wa Chama cha ACT-WAZALENDO, Ndugu Julius Massabo akimnadi Ndugu Maisiana Damasi; ambaye ni mgombea Uenyekiti kwa tiketi...
  16. Stephano Mgendanyi

    LGE2024 Makalla: CCM hatucheki na mtu katika kushika Dola, tumejipanga

    KATIBU wa Halmashauri Kuu ( NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Itikadi, Uenezi, Siasa na Mafunzo CPA Amoss Makalla amesema Chama hicho hakicheki na mtu katika kushika dola na katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu wamejipanga kuhakikisha wanashinda kwa kishindo. CPA Makalla ameyasema...
  17. Stephano Mgendanyi

    LGE2024 CCM Wilaya ya Hai Yazidi Kuvuna Wanachama wa CHADEMA

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro kimeendelea kuvuna wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaojiunga na CCM. Hayo yamefanyika wakati wa kampeni zinazoongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Mhe. Saashisha Elinikyo Mafuwe, ambapo wanachama wengi wa...
  18. Cute Wife

    LGE2024 UVCCM Kagera Faris Buruhani: CHADEMA Kagera hawatashinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa labda washinde njaa

    Wakuu, Hivi huyu anafanya nini uraiani na bado ni kiongozi wkati alituambia wazi kabisa yeye ni wale watu wasiyojulikana wanaopoteza watu? Polisi mnazidi kutuangusha, yaani kila siku mnajipaka matope. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 -...
  19. Cute Wife

    LGE2024 Askofu Shoo: Kampeni zimeanza na upinzani wameanza kunyanyaswa!

    Wakuu, CCM na polisi, bila manyanyaso kwa wapinzani mnaweza kutoboa kweli? ===== Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024...
  20. technically

    Pre GE2025 Ningekuwa na uwezo ningevifuta kwenye uliwengu wa siasa vyama vyote vya upinzania Tanzania

    Tanzania hakuna vyama vya upinzania vyote ni ma agent wa CCM Sema ndani ya upinzani Kuna baadhi ya watu makini ambao ningekuwa na uwezo ningevifuta vyama vyote vya upinzani na kuanzisha chama kimoja Cha kupambana na CCM. Sio chadema sio act wazalendo sio cuf vyote vimejaaa majasusi wanaofanya...
Back
Top Bottom