lindi

Lindi is a coastal town located at the far end of Lindi Bay, on the Indian Ocean in southeastern Tanzania. The town is 450 kilometers south of Dar es Salaam and 105 kilometers north of Mtwara, the southernmost coastal town in Tanzania, and gives its name to the surrounding Lindi Region, one of the most sparsely populated areas of the country. The town population was 78,841 as of the 2012 national census.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Serikali iwahamasishe wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara kuwa na makazi bora

    Lindi na Mtwara ni miongoni mwa mikoa ambayo wananchi wake wana uhakika wa kupata fedha za pamoja tofauti na baadhi ya mikoa. Kuna msimu wa ufuta, vijana hupata mamilioni, msimu wa korosho wazee pamoja na vijana hupata mamilioni, msimu wa mbaazi pia huwapa mamilioni wakulima baadhi. Ila makazi...
  2. covid 19

    Msada wa mwenye mawasiliano ya Kampuni ya Cassava Starch of Tanzania Corporation Limited (CSTC) ya Nyengedi mkoani Lindi

    Kwema tafadhali mwenye mawasiliano na mtu anayefanya kazi kiwandani hapo nahitaji mawasiliano yao kwenye site zao hayapo hewani naona kimya, hii kampuni ya Cassava Starch of Tanzania Corporation Limited (CSTC) ipo Nyengedi mkoani Lindi. Natanguliza shukrani wakuu.
  3. Mwalimu wa tuisheni

    Wakazi wa mkoa wa Lindi wameridhia kumpa muwekezaji hekari 1000 kwaajili ya uwekezaji

    Wakazi wa mkoa wa Lindi wameridhia kumpa muwekezaji hekari 1000 kwaajili ya uwekezaji. --- Mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka 12 baina ya Mwekezaji pamoja na Wananchi wa Kijiji cha Kichonda katika Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi umetatuliwa na Naibu Waziri wa Ardhi Geofrey Pinda...
  4. Roving Journalist

    Lindi: Mabasi ya Saibaba na Baharia yagongana uso kwa uso 7 wapoteza maisha

    Ajali ya barabarani iliyohusisha gari mbili za abiria, Saibaba iliyokuwa inatoka Nachingwea kwenda Dar na Baharia iliyokuuwa inaelekea Nachingwea. Ajali hii imetokea jana mchana tarehe 05.10.2023 katika eneo la Kiwawa, Mkoani Lindi. Tunasubiri Taarifa rasmi kutoka kwa mamlaka ===== Watu saba...
  5. Miss Zomboko

    Liwale, Lindi: Wazazi huwachoma Watoto Sindano za kuzuia Mimba na kuwaweka Vijiti wanapovunja Ungo

    Mkuu wa Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi amesema kumekuwepo na tatizo la wazazi wilayani humo kukwepa majukumu ya kuwasomesha watoto wao hali inayopelekea kuwachoma sindano za kuzuia mimba watoto wenye umri wa miaka 12 na kuwawekea vijiti watoto pindi wanapovunja ungo. Ameeleza "Mtoto...
  6. R

    Kipande cha neno la shukrani kwa Rais Samia kutoka kwa mnufaika wa boti za uvuvi Lindi, atakuwa anajua hata mwani ukoje kweli?

    Mmoja ya wananchi aliyechaguliwa kutoa neno la shukrani kwa Rais Samia, baada ya Rais kukabidhi boti za uvuvi, ikiwemo boti za mwani mkoani wa Lindi leo tarehe 19/9/2023.
  7. Erythrocyte

    Hospitali ya Rufaa inayozinduliwa huko Lindi ilianza kujengwa 1978

    Ni vema tukaweka sawa hizi kumbukumbu, Hospitali hiyo ya Lindi inayozinduliwa leo na Rais Samia ni mipango ya Mwl Nyerere na ujenzi wake ulianza 1978. Wala halikuwahi kuwa wazo la awamu ya 6, Mradi mkubwa sana ulioanzishwa na Awamu ya 6 na ambao utakumbukwa milele kwa kuwakutanisha akina Ally...
  8. Roving Journalist

    Likawage Wilaya ya Kilwa (Lindi) inadaiwa kuna changamoto ya mawasiliano, watu wanapanda milimani kupata mtandao

    Katika maisha yetu ya kila siku, mawasiliano hutusaidia kujenga uhusiano kwa kuturuhusu kushiriki uzoefu wetu, na mahitaji yetu, na hutusaidia kuungana na wengine. Ni kiini cha maisha, huturuhusu kuelezea hisia, kupitisha habari na kubadilishana mawazo. Sote tunahitaji kuwasiliana. Hata hivyo...
  9. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Kapinga - Mtwara na Lindi Wapate Umeme wa Kutosha

    NAIBU WAZIRI KAPINGA - MTWARA & LINDI WAPATE UMEME WA KUTOSHA Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amelihimiza Shirika la Umeme Tanzania - (TANESCO) kufanya jitihada mbalimbali kuhakikisha Mikoa ya Mtwara na Lindi inapata umeme wa kutosha. Kapinga ameyasema hayo leo September 14,2023 wakati...
  10. BARD AI

    Lindi: Watumishi wa AMCOS wafikishwa Mahakamani kwa Kughushi Saini na Kujipatia Tsh. 7,854,315

    Watumishi hao ni Said Akili Mtureni ambaye ni Karani wa Chama cha Ushirika wa Masoko ya Kilimo (AMCOS) Tawi la Naungo 'A' Nanjirinji na Afai Rajab Mbwani Karani chama hicho kutoka Tawi la Mawelenje, Nanjirinji wanaokabiliwa na Makosa 2 ya Wizi na Kughushi. Kosa la kwanza ni kuiba Ufuta...
  11. Pfizer

    Maonesho ya Madini yafungua Mkoa wa Lindi

    #Mkoa watajwa wa Tatu kwa wingi wa Madini nchini. Ruangwa - Lindi Maonesho ya Kwanza ya Madini na Fursa za Uwekezaji yanayoendelea Mkoani Lindi yametajwa kuufungua mkoa huo kiuchumi na kuongeza fursa mbalimbali za uwekezaji katika Sekta ya Madini. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini Dkt...
  12. Pfizer

    Huduma za TGC kivutio maonesho ya madini na uwekezaji mkoani Lindi

    Ruangwa - Lindi Wadau mbalimbali wanaoshiriki Maonesho ya Madini na Uwekezaji mkoani Lindi wamevutiwa na bidhaa zilizozalishwa na Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) katika banda la Wizara ya Madini. Baadhi ya bidhaa zinazotengenezwa na TGC kutokana na madini mbalimbali zilizopo katika...
  13. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Lindi Mjini aungana na wadau kuishauri Afrika kuwekeza katika utafiti mbegu asili

    NCHI za Afrika zimeshauriwa kuwekeza katika utafiti wa mbegu asili kwa kuwa zina lishe bora, uhakika wa chakula na salama kwa afya ya mtumiaji. Ushauri huo umetolewa na wadau mbegu asili kutoka nchi 25 za Bara la Afrika, Marekani na Ulaya ambao wanakutana jijini Dar es Salaam kwa siku tatu...
  14. mrdocumentor

    Lindi yangu ina nini?

    Lindi ni miongoni mwao mikoa inayopatikana ukanda wa kusini pamoja na mkoa wa Mtwara na Ruvuma, katika mkoa wa Lindi yanapatikana makabila tofauti tofauti lakini ukiniuliza wenyeji wa Lindi ni kabila gani? Jibu rahisi ni Wamwera. Vipo vitu vingi sana vya kujivunia kutoka Lindi Ikiwemo uwepo wa...
  15. BARD AI

    Dar es Salaam, Lindi, Mtwara, Tanga, Pwani kupigwa na Upepo mkali kwa siku 5

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam, Lindi, Mtwara, Tanga, Pwani pamoja na wale wa Visiwa vya Pemba na Unguja kuchukua tahadhari na kujikinga na upepo mkali kwa siku tano mfululizo. Ushauri huo wa tahadhari umetolewa na leo Alhamisi ya Julai 13...
  16. B

    Lindi: Ajinyonga akidai watu wanamvuruga

    Kijana aitwaye Hassan Ally Mnali (32) Mkazi wa Mtaa wa Jamhuri, kata ya Msinjahili, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi amefariki baada ya kujinyonga usiku ikidaiwa kuwa kabla ya kujiua alikuwa akilalamika kuna Watu wanamvuruga. Ndugu wa Marehemu wanasema hawafahamu sababu ya kujinyonga lakini...
  17. Dalton elijah

    Kijana wa Sabasaba Mkoani Lindi ajikata sehemu zake za Siri

    Kijana Simon Nyamsika (30) mkazi wa sabasaba mjini Lindi, amelazwa katika wodi ya uangalizi maalumu (ICU) katika hospitali ya rufaa ya Sokoine mkoani Lindi kwa kile kinachodaiwa kuwa amekata sehemu zake za siri kwa kitu chenye ncha kali na kuiondoa kabisa sehemu hiyo Taarifa inasema kijana...
  18. 101 East

    Nachingwea, Lindi: Mwanamke wa miaka 28 ajiua baada kuchepuka

    Mwanamke anayeitwa Salma Shaibu(28) amefariki dunia Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi baada ya kujiua kwa kunywa sumu ya kuulia wadudu chanzo kikidaiwa ni kujihisi mwenye hatia baada ya kukiri mwenyewe kabla ya kujiua ya kuwa alichepuka na Mwanaume mwingine. Salma ambaye ameacha Watoto wawili...
  19. Stephano Mgendanyi

    Cecil David Mwambe - Wawekezaji Mradi wa LNG badala ya Kutumia Bandari ya Dar es Salaam Watumie Bandari ⛵ na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Lindi

    MHE. CECIL MWAMBE - MRADI WA LNG WAWEKEZAJI WATUMIE BANDARI NA UWANJA WA NDEGE WA MTWARA NA LINDI BADALA YA DAR ES SALAAM Mbunge wa Jimbo la Ndanda, Mhe. Cecil David Mwambe wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Nishati amesema ni vyema wawekezaji wa mradi wa LNG badala ya kutumia Bandari ya Dar...
  20. Stephano Mgendanyi

    Mbunge wa Nanyamba Abdallah Chikota Ametaka Watu wa Mikoa ya Lindi na Mtwara Kuendelea Kushirikishwa Katika Mradi wa Gesi Asilia Iliyosindikwa (LNG)

    MBUNGE ABDALLAH CHIKOTA ATAKA USHIRIKISHWAJI MRADI WA GESI ASILIA WA LNG Mbunge wa Nanyamba (CCM) Abdallah Chikota ametaka watu wa mikoa ya Lindi na Mtwara kuendelea kushirikishwa katika mradi wa Gesi asilia iliyosindikwa (LNG) kwasababu yapo mambo mengi yanayohitaji ushirikishwaji. Chikota...
Back
Top Bottom