Lindi ni miongoni mwao mikoa inayopatikana ukanda wa kusini pamoja na mkoa wa Mtwara na Ruvuma, katika mkoa wa Lindi yanapatikana makabila tofauti tofauti lakini ukiniuliza wenyeji wa Lindi ni kabila gani? Jibu rahisi ni Wamwera. Vipo vitu vingi sana vya kujivunia kutoka Lindi Ikiwemo uwepo wa...