lini

Linyi (simplified Chinese: 临沂; traditional Chinese: 臨沂; pinyin: Línyí) is a prefecture-level city in the south of Shandong province, China. As of 2011, Linyi is the largest prefecture-level city in Shandong, both by area and population, Linyi borders Rizhao to the east, Weifang to the northeast, Zibo to the north, Tai'an to the northwest, Jining to the west, Zaozhuang to the southwest, and the province of Jiangsu to the south. The name of the city Linyi (临沂) literally means "close to the Yi River".
The city recently expanded along the Yi River to Nanfang, now called the Beicheng New Area, under the slogan "Grand Linyi, Beautiful Linyi, New Linyi". Multiple recreational parks were built, along with new school campuses etc. The development is a consequence of a series of governmental projects, including relocate the city government, which is expected to stimulate the economy.
The population was 11,018,365 at the 2020 census, of which 3,651,868 lived in the built-up area made up of Lanshan District, Luozhuang District and Hedong District, as well as Linyi National Hi-Tech Zone.

View More On Wikipedia.org
  1. gstar

    Lini Waafrica tutaachana na tamaduni hizi?

    1. Kuvunja nazi njiapanda. 2. Kwa mama ntilie kupika chakula na maji yaliyooshea maiti / yaliyo tawaziwa. 3. Kuchukua watu misukule. 4. Kuwanga usiku. 5. Kufuga majini. 6. Kuhudhuria kwa waganga wa kienyeji. 7. Kugeuza watoto wetu mandondocha ili tupate utajiri. 8. Mwanamke kumlisha...
  2. Pascal Mayalla

    Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?

    Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo zinachapishwa kwenye gazeti la Nipashe kila siku za Jumapili. Leo naendelea na sehemu nyingine ya Ijue Katiba ya JMT kwa jicho la mtunga katiba. Sehemu ya kwanza nilifundisha katiba ni...
  3. SAYVILLE

    Ni wapi na lini CAF walitangaza ligi ya Tanzania ni ya 5 kwa ubora?

    Kwa muda sasa kumekuwa na kupongezana kutokana na taarifa kuwa ligi kuu ya NBC ilitangazwa ni ligi ya 5 kwa ubora katika bara la Afrika. Kwa muda mrefu nimejaribu kuitafuta hii taarifa humu mitandaoni kutoka vyanzo vyovyote vya nje ikiwemo CAF wenyewe ila hadi leo sijawahi kuiona mahali...
  4. B

    TANESCO watufahamishe umeme tuutarajie lini

    Huu ni uhuni kama ulivyo mwingine tu. Mambo haya hayakutokea nchi chini ya JPM. Hivi sasa nchi yote kasoro visiwani Iko gizani. Usalama wetu majumbani, vilivyoko kwenye majokofu, uzalishaji mali wenye kutegemea umeme, Simu zetu kuwasiliana na wapendwa nk nani anawajibika. Hii haikubaliki Kwa...
  5. Expensive life

    Mwanaume mwenzangu, mara ya mwisho kula hii kitu ilikuwa lini?

    Wanaume tumekuwa tukiangaika sana juu ya kufanya vizuri tuwapo kwenye tendo, wapo wanaotumia sijui mkongo, vidonge, energy drinks nakadhalika ili kuwa na pafomansi nzuri kwenye tendo. Hivyo vyote hapo juu vina madhara kiafya tena vinakumaliza kabisa maana kuna kipindi usipovitumia hivyo huwezi...
  6. Ngongo

    Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

    Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi. Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera. Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za...
  7. K

    Tangu lini TFF ikamiliki Image Right za wachezaji?

    Bodi ya Ligi imetoa marekebisho na maboresho ya kanuni toleo la 2023 ambapo hivi sasa ikiwa mchezo atapata dili zake binafsi na benki nyingine basi hawaruhusiwi kutangaza kwa sababu ya mkataba wa NBC Tanzania na Ligi huku atakayekiuka akikabiliwa na kufungiwa kwa kipindi cha kati ya mwezi mmoja...
  8. Bujibuji Simba Nyamaume

    How long shall they kill our prophets While we stand aside and look? Mtaendelea kuua manabii wetu hadi lini?

    Sasa tuseme yatosha. Watetezi wa rasilimali zetu wanabambikiwa kesi za uhaini, ili kuhalalisha mauzo haramu ya nchi yetu kwa Mabedui. Wananchi hùuu ndio wakati muafaka wa kulitetea taifa letu, wageni wanataka kutufanya sisi watumwa kwenye shamba letu wenyewe tulilorithishwa na mababu zetu...
  9. M

    Wanandoa ni lini mmeoga pamoja na kusuguana migongo?

    Nikisema hapa tuvue mashati, kila mtu aangalie mgongo wa mwenzake, tutakimbiana jinsi kulivyo na taka, sababu mikono yetu haifiki huko katika kujisugua. Mwenye uwezo wa kukusugua ni mkeo peke yake, sasa jaribu kumwambie mke wangu twende tukaoge wote, au njoo nisugue mgongo uone atakavyokukwepa...
  10. B

    CHADEMA wa Mtandaoni watamwelewa lini Dr. Lwaitama?

    CHADEMA kama ilivyo Kwa vyama vingine imesheheni wajumbe hadi wa mitandaoni. Ukweli mchungu Kuna Hawa wenzetu wa mitandaoni wenye kukaza bongo almaarufu kubadili bongo na kupania maembe: Kulikoni ndugu zetu ya Dr. Lwaitama kutambua umoja ni nguvu utengamano ni udhaifu yana kutokuwa yana...
  11. K

    Watanzania tutabadilika lini?

    Habari ya weekend na simba day kwenu wote? Watanzania ifike mahali tubadilike,kuna vitu kwa binadamu kuvishangaa mtu akikuuliza unaonekana ni ushamba na kutojitambua kabisa. Iko hivi,leo nilidamka mapema kwenda k/koo. Sasa kabla ya kutoka ikabidi ninywe pepsi ili kuweka koo sawa Nimefika kule...
  12. hermanthegreat

    Mara yako ya mwisho kuangalia movie za kihindi ilikuwa lini?

    Me mara yangu ya mwisho kuangalia movie za kihindi ni mwaka 2017 ilikuwa movie moja hivi inaitwa 'Shanklaj' Kwenye hii movie bana starling alipiga teke tembo, hadi tembo ikapaa, nikasema sitokaa tena niangalie Hindi movies. wewe kwa upande wako ilikuwa lini? au bado unatazama.
  13. Hance Mtanashati

    Hivi Kajala na Jonas Mkude watafanya mapenzi yao ya siri mpaka lini?

    Kajala na Jonas wanajisumbua tu kujificha na penzi lao la wizi wizi . Hilo penzi lao watu tunalijua kitambo wenyewe eti wanadhani wanafanya siri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Halafu mbaya zaidi Kajala alianza ku date na Mkude kipindi ambacho yupo na Harmonize ,halafu sasa Harmonize na Mkude walikuwa ni mabest ...
  14. B

    Interview ya TRA ni lini?

    Wadau interview ya TRA lini? kwa tangazo la ajira lililotanganzwa June 2023:mad:
  15. Zanzibar-ASP

    Serikali ituambie sasa ni lini na wapi zabuni ya uwekezaji wa bandari ilifanyika?

    Profesa Makame Mbarawa amekuwa akisema DP world ilipewa mkataba wa bandari kwa kuwa ilishinda kwenye kuomba zabuni ya uwekezaji wa Bandari (akidai ikizishinda kampuni zingine saba) na wakati huo huo document za mikataba ambazo zimetiwa saini na Professor Mbarawa huyo huyo zinaonyesha DP world...
  16. MIXOLOGIST

    Ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa na kupewa siku yetu ya mapumziko?

    Naandika kwa masikitiko makuu juu ya ubaguzi huu wa wazi wazi. Wafanyakazi tulipumzika mei mosi, leo ni sikukuu ya wachuuzi tunapumzika, tarehe 8 August tutapumzika kwaajili ya wakulima, ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa? Hili jambo liingie kwenye Katiba mpya.
  17. BakalemwaTz

    Matokeo ya kidato cha sita 2023/2024 yanatoka lini?

    Je na wewe unajiuliza juu ya tarehe ya kutoka Matokeo ya kidato cha sita 2023? Kumekua na maswali Mengi juu ya kutoka kwa matokeo ya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu 2023. Kidato cha sita walifanya mtihani wao mapema mno mwanzoni mwa mwezi tano. Kwa mwaka jana matokeo yalitoka tarehe 05...
  18. kali linux

    Android Developers wa bank ya NMB, huu uoga mmeanza lini?

    Hello bosses and roses.... "Security by obscurity" is for cowards, kwa sababu inaprove kwamba kuna loopholes nyingi na rahisi kupatikana kwenye hio system endapo nitajua au kuweza kufikia ulichokificha. Nikiwa nafanya security audit yoyote ile nikagundua developer ametumia sana 'secrecy' kwenye...
  19. L

    Ni lini Marekani itaacha mchezo wa kigeugeu?

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani Patrick Ryder hivi majuzi alisema imethibitishwa kuwa puto lililogunduliwa miezi minne iliyopita "halikukusanya taarifa za kijasusi wakati wa safari yake kwenye anga za Marekani." Mara tu taarifa hii kutolewa, vyombo vya habari vya Marekani vilijitokeza...
  20. JET SALLI

    Ni lini serikali itaweka Rami barabara ya Mlowo kwenda Kamsamba eneo lenye uchumi mzuri

    Ninaamini viongozi wengi mnapita humu Jamii Forums, naamini hata mbunge wa eneo hili la Mbozi anasoma humu. Nimepita barabara hii wiki iliyopita na kufanya utafiti na nikagundua kwamba barabara hii iko busy muda wote, ila haijatendewa haki, na sijasikia mbunge wa eneo hili akiizungumzia...
Back
Top Bottom