Waswahili wanasema kwamba ukila nyama ya mtu sio rahisi kuacha hata kama utaahidiwa nyama nono ya ng'ombe kila siku. Wakati nilipopokea video hii (tazama hapo chini) kwenye kundi sogozi nilidhani mambo haya hufanywa na wazungu tu kwa kuwa wao wamepinda sana ukilinganisha na waswahili.
Nilikuwa...
Wakati majira ya kuchipua yakianza nchini Ukraine, hali ya utulivu ya uhasama imeshuka kwenye medani za vita vilivyoanza Urusi mwaka jana. Mashambulizi ya majira ya baridi ya Moscow hayakufanyika kabisa licha ya uhamasishaji wa mamia ya maelfu ya wanaume wengi ambao hawakuwa na mafunzo. Wengi...
Kuna mazingira wananchi wametengenezewa na CCM kuwalazimu wao kusifia tu kusifia tu hata kama yeye na ukoo wao wote ni masikini wa kutupwa na hawana mbele wala nyuma
CCM, yenyewe imejitengenezea ulaji wa keki ya Taifa kupitia familia chache sana ambazo ndizo zitaendelea kuneemeka na mema yote...
Hii post haina lengo la kumdhihaki mkristo yeyote atakaeisoma, wala kujaribu kulinganisha imani zozote.
Ningependa kujua kutoka kwa yeyote anayefahamu mwanzo wa haya makanisa maarufu ya mitume au manabii watenda miujiza. Labda unajua, ama ulikuwepo kipindi hicho.
Huu ndio ukweli ambao Roman imeamua kuuachia katika kipindi hichi cha mfungo wa kwalezima
And the LORD said to Moses, "Make a fiery serpent, and set it on a pole; and every one who is bitten, when he sees it, shall live." So Moses made a bronze serpent...
Numbers 21:8-9
Recently we received an...
Kwanza namba ieleweke kwamba Mimi Ni mkristo haswaa na ninaipenda Sana Imani hii ya Mungu mmoja.
Ila Kuna wakati napata kugugumizi juu hizi dini zetu na mapokeo yake mfano na hii picha hapa chini siyo kwamba naidhalilisha dini au Imani ya muhusika hapana Ila wasiwasi wangu Ni juu ya Yale mapokeo...
Katika ripoti ya ukaguzi wa CAG imeeleza kuwa Aprili 2022 kwa mujibu wa ripoti hiyo, Wizara ya Afya iliingia mkataba na kampuni ya Zenj Motors wa ununuzi wa magari 12 ya wagonjwa yenye thamani ya Sh1.97 bilioni kwa ajili ya hospitali za Zanzibar ambao haukutekelezwa ipasavyo.
Chini ya mkataba...
Wakuu salamu,ama baada ya salamu naomba kuelekea kwenye swali ama hoja.
Tumeona leo Sabaya akiachiwa huru na kurejea nyumbani baada ya taarifa za kukili kosa na kupewa kifungo cha nje kwenye kesi 7 za uhujumu alizokua amefunguliwa hapo Moshi.
Kabla ya yote wote tujikumbushe kua Sabaya...
Mimi kama nasmile.nilijiunga 2011
Uzi wangu ninaokubali ni ule ni maswali gani hayajibiki duniani
https://www.jamiiforums.com/threads/ni-maswali-gani-unahisi-hayajibiki-duniani.651919/
Tangu nipate ufahamu juu ya mambo ya siasa ni muda sasa. Wakati Hayati Mkapa anaingia madarakani sikuwa najua habari za siasa, lakini wakati wa Kiwete nilishajua mbivu na mbichi. Kikwete alipoingia madarakani alipimwa utendaji wake ndani ya siku mia.
Magufuli nae alipoingia madarakani alipimwa...
Jaman naomba kwa wale ambao mnauzoefu na haya maswala ya application ajira portal mnielekeze nb maana nimekuwa muanga wa kila kukicha kufuatilia majina ya usahili kwa nafasi ya postal clerk ambayo ilipangwa deadline kuwa tarehe 02/03/2023 lkn hadi leo tarehe 03/04/2023 hamna jambo.hivi...
Amani ya Bwana iwe nanyi nyote,
Ndugu zangu, Pamoja na pilikapilika na mihangaiko ya kutafuta mkate wa kila siku, inatupasa kuendelea
kumtumikia Mungu mwenyezi aliyeziumba mbingu na nchi na vitu vyote tuvionavyo na tusivyo viona,
Simu zetu zimekuwa karibu zaidi kuliko vitabu vitakatifu vya...
Asalaam ndugu zangu..
Nianze kumpongeza Rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya. Wamesikilizwa, na ninasikia mchakato karibia utaanza. Ni jambo jema. Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo. Hatuhitaji katiba mpya na tuna...
Wakati bado wananchi wakiwa kwenye sintofahamu ya nini kilitokea kwenye utaratibu wa kumaliza kesi za uhujumu uchumi uliotumika na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Hayati Rais Magufuli, swali jipya linaibuka zikiwa zimebaki siku chache mwezi Machi 2023 kumalizika na hakuna taarifa yoyote...
Nikiwa kama shabiki wa Simba huwa ninaumia sana kuona miaka yote sisi tunakuwa wasindikizaji. Mbaya zaidi kila tunapokutana na watani zetu tunaishia kuchapwa tukijitahidi sana ni draw.
Nadhani ifike wakati kocha apewe malengo kwamba asipoweza kuchukua ubingwa wa ligi au walau kuifunga Yanga...
Je, walimu wa serikali wanaumizwa na mpango wa mikataba na wakuu wao?
Ofisi ya Haki ya Askofu Mwamakula imepata malalamiko kutoka kwa baadhi ya walimu wa Shule katika Mkoa wa Dar es Salaam na pia tumegundua kuwa walimu kadhaa wako katika msongo mkubwa sana wa mawazo kufuatia 'mikataba mipya' ya...
Barabara za Nanotechnology zimeanza kutumiwa na nchi nyingi;
1. Inachukua muda mfupi kujenga.
2. Ni environmental friendly (inaweza kujengwa hata Serengeti na mbuga zetu zote).
3. Naamini wataalamu wetu kama Ibra Construction wanazimudu. Maida Waziri alionekana South Africa akizionyesha kwenye...
Ni miaka 4 au 5 tokea msanii Roma Mkatoliki kukimbilia Marekani.
Mpaka leo hatujui sababu zipi zilizofanya utimkie katika nchi za watu na kuwa mkimbizi wa kisiasa
Wakati wew ni msanii mkubwa Sana ulietoa nyimbo nyingi na hit za kiharakati ni muda Sasa wa kurudi bongo Kama mmoja wa shabiki yako...
Mwenye kujua vyuo vya NACTE vitamaliza muhula wa pili mwezi gani ie semester 2 inafungwa lini?
Zamani kulikuwa na ratiba ya masomo, sasa ni vurugu tupu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.