Nashangaa kuona TFF haina wivu wa maendeleo, Kama nchi masikini kama senegal, togo na Cameroon zinaweza kwenda world cup finals vipi Taifa stars ishindwe?hii inaonesha kwa jinsi gani viongozi wa TFF hawsivyo na mikakati ya maendeleo vichwani waingiapo madarakani.
Iweje walipwe mishahala minono...
Hello 👋
Katika nchi zinazotumia wizi kama nguzo kuu Kuna vitu very common miongoni mwao kama KUTUKUZANA, KUBANA VYOMBO VYA HABARI, KUBANA UHURU WA UMMA NA KUOGOPA KUKOSOLEWA.
Viongozi wetu wanaingia bungeni kwa lengo la kutengeneza pesa na sio kutatua shida za wananchi, HAWAPIGI KELELE...
Watanzania Acheni ubaguzi na undumila kuwili, mnajifanya majizi na viziwi na vipofu. Hii tabia ya kujizima data itawacost sana mmesahu aliesema hata msipoigia kura CCM Bado CCM itashinda tu, na sio nongwa maana pia maoni yake kwa wakati huo.
Tangu lini Katibu Mkuu wa CCM anaibeba legacy ya...
Hili tukio la kuonyesha magari kazaman na kisasa siko tayar kulikosa.
Mwenye taarifa kamili ni wapi na lini anijuze. Nimepata taarifa robo.
Je, unaleta ndinga gani? Umemiss ndinga gani? Ya kale au kisasa?
Kuna mwenzenu huku (wife) amenitumia msj zenu za ku forward sijui katoa wapi akisisitiza niisome (nita share hapo chini), nikakumbuka wanawake wengi huwa wanasahau kwamba wanaume hatujaumbwa kusikiliza maneno mengi ili kupata point moja, niliishia kusoma heading na pale mwisho nikagundua alie...
Imezoeleka wazazi na walezi wengi hutamani kuwarithisha watoto wao kazi na taaluma zao, lakini kwa aliyekuwa rubani wa ndege ya Precision Air 5H-PWF, ATR 42-500, marehemu Buruhani Rubaga hali ilikuwa tofauti, kwani aliwazuia watoto wake kusomea taaluma ya urubani.
Siri hiyo imefichuliwa na...
Rais ndiye anatafuta pesa zote za miradi na kujenga uchumi wetu.
Hivyo ni yeye ndiye anajua kwa undani zaidi ukamilikaji wa miradi na level ya uchumi wa taifa letu.
Tuwe makini kumsikiliza Rais wetu anapohutubia.
Anaandika Eddoh Kumwembe,
Unamfungia Chama, Aziz Ki mechi tatu, kisa? Walikwepa kuwapa mikono wapinzani. Na nasikia kanuni ipo kabisa, tangu lini 'fair play' ikawa lazima?
Upuuzi kwa waliotunga na kuzipokea. Kuna mambo ya umuhimu hatutekelezi, tumeona wachezaji kupeana mikono ni muhimu...
Kuna watu wanahisi huu mgao labda ni kitu cha muda mfupi, yani labda by December mambo yatakuwa shwari.
Hii imenikumbusha ile scene ya movie ya Rango ambapo Rango anakutanishwa na Mayor wa kijiji cha Dirt kwa mara ya kwanza.
Kijiji cha Dirt kimekuwa kina shida ya ukame na watu hawana maji kwa...
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya...
Kipindi Cha ukoloni waafrica tulikuwa tunapigana sisi kwa sisi halafu mzungu ananyakua Mali kirahisi Sana. Mfano mango Sina dhidi ya mango meli halafu mzungu anapita kirahi.
Mangungo akalaghaiwa ka mikataba mibovu pia.
Sasa Rwanda inatumuwa na wazungu kuwapiga waafrica wenzake i.e Congo ili...
Danadana zinaendelea na kuendelea kutafuna fedha za umma. Ya Nyalali yalitupwa, Kisanga alifokewa na Mkapa, Warioba akashambuliwa na Kikwete na hadi kupigwa ngwala na kijana wake Makonda ambaye alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni.
Na huyu kaja na "si amri" - danadana zinaendelea...
Kiambu Governor Kimani Wamatangi (in white helmet) at Kirigiti, Kiambu where a six-storey building under construction collapsed killing a mother and her two children in an adjacent apartment.
Simon Ciuru | Nation Media Group
Three people among them a mother and her two children died in...
Nina uhakika asilimia zote CCM kwa maslahi yake inamuunga mkono yule binti Katibu Mkuu wa NCCR MAGEUZI ili kuleta mgogoro ili Mbatia afukuzwe na kubaki NCCR yenye u CCM ya hewala boss.
Sote tunatambua kosa la James ni pale alipojitokeza hadharani mwanzoni mwa Utawala wa Mtawala wa sasa kuuponda...
Hii special operation imekua aibu na kero kwa Warusi, dah... kainchi kadogo ka Ukraine kamekua mfupa uliomshinda fisi, kila nikiangalia hii ramani nashangaa sana
Kainchi ka Ukraine kwenye hii ramani, hata wale wanaoshabikia Urusi kisa mihemko ya kidini ya chuki zao kwa Marekani wanapaswa wapate...
Naibu Rais, Rigathi Gachagua amesema Serikali ya Awamu ya 5 imerithi Uchumi mbaya kutoka awamu iliyopita na wanatafuta suluhu ya kudumu.
Amewataka Wananchi kuwa na subira maana Ndani ya Siku 90 hadi 100 Uchumi utaimarika.
Walioachwa nyuma wakati wenzao walitoroka kwa magari, wameishia kuiba baskeli na kutoroka nazo ili tu waokoe maisha yao...vijana wa Ukraine wanaendelea kutembeza kichapo....
Russian soldiers abandoned by their units in the eastern Kharkiv region of Ukraine fled in disguises on bicycles...
Leo tumetolewa na Uganda mashindanoni,kabla yahapo tulitolewa na Zaire katika mashindano ya World cup mchujo, miaka ishirini ilopita tulitolewa na Burundi kufuzu Afcon kabla ya hapo tuliwahi kutolewa na Rwanda kufuzu world cup ligi, hii haibu na huzuni kitaifa mbona haihojiwi bungeni?
TFF...
Wakuu,
Mtoto amechaguliwa third selection na TAMISEMI hao, ambayo nadhani imetoka mwezi huu
Je, mwisho wa kuripoti shule aliyopangiwa ni lini? Muda umeisha au bado nimpeleke?
Naomba kujua niandae hela ya private tu.
umofia.
Mwigulu Lameck Nchemba Madelu alijitokeza kwenye kinyang'anyiro cha 2015.
Kwa kweli siyo siri kuwa huyu ndugu alikuwa na kiu kubwa ya kuitumia haki yake hiyo ya kikatiba. Basi tu wajumbe hawakuzithamini potentials zake nyingi anazozijua mwenyewe.
"Pana maswali ya kujiuliza kwa yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.