maadhimisho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Maadhimisho ya miaka miwili ya Hayati Magufuli na utekelezaji wa ahadi zake

    Kwanza naanza kwa kumshukuru Mungu kwa maisha ya aliyekuwa rais wa JMT hayati JPM. Lakini pia nimpongeze rais wetu wa sasa mama yetu kipenzi SSH kwa kutimiza miaka miwili ya kuliongoza taifa letu. Mama anatuongoza vizuri sana. Katika kutekeleza ahadi zote za mtangulizi wa rais wetu, mama...
  2. T

    Nimependa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo cha Hayati Magufuli

    Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo. Kilichonifurahisha leo ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mary Masanja Alivyoshiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

    NW UTALII MHE. MARY MASANJA ALIVYOSHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja ameshiriki katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Wilayani Kwimba Mkoani Mwanza Machi 8, 2023. Akizungumza katika Maadhimisho...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Amina Mzee ameshiriki maadhimisho ya wiki ya Chipukizi Wilaya ya Micheweni

    MBUNGE MHE. AMINA MZEE AMESHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA CHIPUKIZI WILAYA YA MICHEWENI Mbunge wa Viti Maalum Vijana Mhe. Amina Ali Mzee ameshiriki Maadhimisho ya wiki ya Chipukizi Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba "Ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwanza kabisa...
  5. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Agnes Marwa ashiriki maadhimisho ya siku ya wanawake musoma vijijini

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Agnes Marwa amefanya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa kutembelea Kituo cha Afya Mugango na kutoa Misaada mbalimbali kwa akina mama wenye uhitaji. Akiwa ameambatana na kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Musoma...
  6. Roving Journalist

    Rais Samia ashiriki kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini Februari 1, 2023

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma leo tarehe 01 Februari, 2023 PROF. EDWARD HOSEAH, RAIS WA TLS Mh. Rais, dhana ya Suluhu kutatua migogoro na kukuza uchumi imekuja...
  7. J

    Ramadhani Mlao aunguruma mkoani Shinyanga kuelekea maadhimisho ya miaka 46 ya CCM

    Jumatano, Jan 25, 2023. Shinyanga mjini, Shinyanga. Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Cde Ramadhani Mwishehe Mlao (MNEC) amezungumza na wanachama wa CCM mkoa wa Shinyanga kuelekea maadhimisho ya miaka 46 ya CCM katika wilaya ya Shinyanga mjini mkoani Shinyanga. Katika ziara hiyo ya...
  8. BARD AI

    Leo ni Maadhimisho ya Siku ya Braille Duniani: Nguvu ya Maarifa!

    Mapitio Zawadi ya thamani zaidi kutoka kwa Mungu ni uwezo wa kuona ulimwengu huu wa kupendeza na wa kupendeza! Kwa kusikitisha, sio kila mtu ulimwenguni anayeweza kuiona. Hata hivyo, katika 1829, Louis Braille alitoa zawadi kubwa kwa jamii yake ya vipofu kwa kuvumbua nukta nundu. Kila mwaka...
  9. Roving Journalist

    Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Miaka 25 ya Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Africa - WiLDAF

    Haya ni baadhi ya mambo yaliyogusiwa kwenye Maadhimisho haya ya Miaka 25 ya Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF); Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi WiLDAF - Monica Mhoja Sheria ni nyenzo muhimu katika kuleta mabadiliko hasa ikitumiwa vizuri. Maombi ya Monica...
  10. S

    Nitakulipa vizuri ukinipa hotuba ya Nyerere kama India Republic Day Guest of Honour, 26 January 1971

    Natafuta sana hii hotuba ya Nyerere aliyotoa India pale alipoalikwa kama mgeni rasmi katika sherehe za India kuwa Jamhuri, tarehe 26 January, 1971. Kuna jambo kubwa sana alilisema ambalo tunapaswa tuliandike katika herufi za dhahabu katika historia ya Tanzania na India Nimeuliza ubalozi wa...
  11. Roving Journalist

    Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kilele cha Mbio za Mwenge Mkoani Kagera. Aagiza TAKUKURU na ZAECA kuchunguza miradi iliyobainika kuwa na wizi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Kilele cha Maadhimisho ya Mbio za Mwenge katika uwanja wa Kaitaba Bukoba Mjini Mkoani Kagera leo tarehe 14 Oktoba, 2022 Hotuba ya Rais Samia - Rais Samia ametoa salaam na Shukrani kwa Viongozi wote waliohudhuria pamoja na...
  12. goroko77

    Maadhimisho ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari ya Old Moshi. Tukutane Wahandisi tuliosoma hapo

    MAADHIMISHO YA MIAKA 100 YA SHULE YA SEKONDARI OLD MOSHI(1922 - 2022). - Shule ya Sekondari Old Moshi inaenda kutimiza miaka 100 mwezi Oktoba, 2022, tangu kuanzishwa kwake Oktoba, 1922. Shule hii kongwe ya Old Moshi ilianzishwa na serikali ya Waingereza mwaka 1922 ikiwa ni shule ya kwanza ya...
  13. Roving Journalist

    Rais Samia ashiriki maadhimisho ya miaka 10 ya kuanzishwa kwa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC). Asisitiza Vijana kufundishwa aina zote tatu za vita

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki maadhimisho ya miaka 10 ya kuanzishwa kwa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC), leo tarehe 08 Septemba, 2022 jijini Dar es Salaam. Mkuu wa majeshi ya ulinzi (CDF) Jacob John Nkunda amesema dhamira ya kuanzisha chuo cha Taifa...
  14. Roving Journalist

    Rais Samia akishiriki kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kizimkazi, Septemba 3, 2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kizimkazi (Kizimkazi Day) leo tarehe 03 Septemba, 2022.
  15. Roving Journalist

    Nanenane - Mbeya: Rais Samia asema watatoa ruzuku za mbolea lakini sio kwa miaka yote

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki kilele cha maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane)uwanja wa John Mwakangale Mkoani Mbeya leo tarehe 08 Agosti, 2022 Aliyoyasema waziri wa kilimo Hussein Bashe Waziri Bashe asema Serikali itaanza kutoa zawadi kwa...
  16. M

    Je, maadhimisho ya siku ya wakulima, maarufu kama nanenane yana tija yoyote kwa wananchi wa Tanzania?

    "Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, ametangaza rasmi kurejea kwa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi maarufu kama Nane Nane kwa mwaka 2022. Waziri Bashe amesema baada ya timu ya Wizara kupitia na kubuni namna bora kulingana na mazingira ya sasa ya namna bora ya kuendesha...
  17. Roving Journalist

    Waziri wa Ulinzi aongoza maadhimisho miaka 95 ya Jeshi la watu wa China

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) ameongoza maadhimisho ya miaka ya 95 ya Jeshi la Ukombozi la Watu wa China (Chinese People’s Liberation Army) tangu kuanzishwa kwake mwaka 1927, maadhimisho haya yamefanyika kwenye Ubalozi wa China hapa Nchini...
  18. Roving Journalist

    Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa Afrika, leo Julai 12, 2022

    ====== Maxence Melo: PESA ZA UVIKO SIO BWERERE, TAKUKURU IPO MACHO Tanzania imeelezwa kuwa ni miongoni mwa Nchi zinazofanya vizuri katika mapambano dhidi ya rushwa licha ya changamoto kadhaa, ambapo ushauri umetolewa pesa za UVIKO-19 zinazotolewa na Serikali zikitakiwa kutumiwa vizuri kwa...
  19. Roving Journalist

    Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Mkutano wa 20 wa AMECEA, asisitiza ushirikiano wa Taasisi za Kidini na Serikali katika Utunzaji wa Mazingira

    RAIS SAMIA SULUHU HASSAN Nataraji baada ya kazi ngumu kwa wale wageni mliotoka nje ya mipaka yetu mtakuwa na muda wa kuzunguka na kuiona vema Tanzania. Waheshimiwa Maaskofu, Wajumbe wa kutano huu, Mabibi na Mabwana nimejulishwa kuwa mnakutana hapa Dar es Salaam – jiji letu la kibiashara...
  20. Tanzania Nchi Yetu Sote

    Maadhimisho ya kwanza ya siku ya Kiswahili Duniani 07/07/2022: Mustakabali wa Tanzania na Kiswahili ni upi?

    MAADHIMISHO YA KWANZA YA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI 07/07/2022: MUSTAKABALI WA TANZANIA NA KISWAHILI NI UPI? (Muhtasari wa masuala muhimu niliyohojiwa katika kipindi cha Stimela cha TBC FM tarehe 07/07/2022 saa 10:00 -11:00 jioni) 1.0 UTANGULIZI Tarehe 23/11/2021 ndio siku ambayo Shirikika la...
Back
Top Bottom