Kiswahili kimekuwa na kinatambulika kimataifa. Kuadhimisha siku hii tunatoa ofa ya vitabu viwili vilivyofasiriwa kwa kiswahili. Tuone whatsapp(0715278384). Sema umetoka JF.
Mwaka jana mnamo mwezi Novemba, Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) liliipa heshima lugha ya Kiswahili kwa kutangaza rasmi kwamba kila ifikapo tarehe 7 Julai ya kila mwaka itakuwa ni siku ya Kiswahili duniani.
Heshima hii ya kipekee ikafanya Kiswahili kuwa lugha...
Waziri wa Ulinzi na JKT, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) ameshiriki Maadhimisho ya Miaka 41 ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) yaliyofanyika katika Viwanja vya Maonyesho ya Sabasaba Temeke, Jijini Dar es Salaam.
Maadhimisho ya Miaka 41 ya SUMAJKT yanaenda...
Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Sherehe ya Miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Mfuko wa Fursa sawa kwa wote (Silver Jubilee of Equal Opportunities for All Trust Fund - EOTF ) katika Ukumbi wa JNICC - Dar es Salaam leo tarehe 27 Juni, 2022.
Rais Samia ameanza kuzungumza, ameanza kwa...
Wadau wa haki Nchini Tanzania wanakaribishwa kujitokeza kwa wingi kuungana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 10 ya Haki za Binadamu, leo Mei 13, 2022 kwenye Ukumbi wa PSSSF Jijini Dar es Salaam
Shughuli hiyo inatarajiwa pia...
Ukraine imeishutumu Urusi kwa kupanga kufanya gwaride la kijeshi la 'Siku ya (mashujaa) katika mji uliotekwa wa Mariupol tarehe 9 Mei kusherehekea ushindi dhidi ya Wanazi katika vita vya pili vya dunia, AFP inaripoti.
Idara ya upelelezi ya kijeshi ya Ukraine ilisema afisa kutoka utawala wa rais...
Kuelekea Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari (Mei 03, 2022), Maadhimisho hapa Nchini yameanza rasmi leo Mei 01, 2022 Jijini Arusha
Kaulimbiu ya Siku hii kwa Mwaka 2022 inasema "Uandishi wa Habari na Changamoto za Kidijiti"
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema changamoto zipo katika...
Tanzania inaungana na mataifa mengine katika kuazimisha siku hii ambayo itakuwa ni mara ya pili kwa Rais Samia Hassan kuwahutubia wafanyakazi baada ya kushika wadhifa huo.
Rais Samia atakuwa mgeni rasmi katika maadhimisho haya huku wafanyakazi akisubiri kwa hamu hotuba yake kutokana na ahadi...
Katika kuadhimisha Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe wafungwa wapatao 3,826 kwa masharti mbalimbali
Msamaha huo utahusisha Wafungwa wanaotumikia adhabu kwa makosa ya usafirishaji wa Dawa za Kulevya ambao wamekaa gerezani kuanzia miaka 20 na...
Leo ni maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar na sherehe zimeshaanza kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete mjini Dodoma na anaeongoza ni makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu na Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi hawajahudhuria sherehe za leo...
Habari wanajukwaa,
Ikiwa ni mara ya kwanza kwa WUTz kufanyika Njombe, na nikiwa ni mmoja wa waratibu wa jukwaa hili la WUTz Kanda ya Njombe nimeona ni vyema nikilileta suala hili hapa JF. Kwanza ni kwasababu ninaamini kuna wadau wengi wenye uzoefu na fikra tunduizi za kutosha zinazoweza...
Wanajamvi
Habari za mihangaiko na poleni.
Moja kwa moja kwenye mada. Sanaa ya muziki ina nguvu kubwa sana, inapenya mioyoni na inaathiri hisia moja kwa moja.
Kwa kulitambua hili, nawaalika wenye uwezo wa kutunga mashairi yenye maudhui ya kuboresha stahiki za wafanyakazi kuelekea mei mosi hii...
The importance of water
World Water Day, held on 22 March every year since 1993, focuses on the importance of freshwater.
World Water Day celebrates water and raises awareness of the 2.2 billion people living without access to safe water. It is about taking action to tackle the global water...
UVCCM WAADHIMISHA MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA MADARAKANI KWA KISHINDO
Katibu Mkuu UVCCM Ndg. Kenani Kihongosi, aliongoza Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, tarehe 19/3/2022 katika Uwanja wa Taifa Kahama, Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya...
Leo ni Maadhimisho ya Mwaka mmoja tangu Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli atukote. Maadhimisho hayo yanafanyika mkoani Geita katika wilaya ya Chato.
Maadhimisho hayo yatahudhuriwa na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia suluhu, Makamu wa Rais Dkt. Isdori Mpango...
Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali...
Wakati maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kifo cha JP Magufuli yakikaribia, ni vyema tukaangazia miradi yake aliyotekeleza na inayoendelea kutekelezwa / kukwamishwa kwa sasa.
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka uwanja wa Karume - Musoma mkoani Mara katika maadhimisho ya miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi. Kaulimbiu ya maadhimisho haya ni "CCM Imara, Shiriki Uchaguzi Kwa Uadilifu."
Mgeni rasmi katika maadhimisho haya ni Mwenyekiti wa Chama Cha...
(Tunafanya Siasa tusiyoijua)
Nimeona na kusoma sehemu kadhaa makada na mashabiki wa chama cha Chadema wakilaani taarifa inayokinasibu chama cha ACT wazalendo kuunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo.
Na niliiona nongwa hii tangu siku ya sherehe za mapinduzi...
Wakati Mahakama Nchini ikielekea katika uzinduzi wa Waki ya elimu ya sheria Nchini kwa mwaka huu 2022.
Wananchi wengi wanashngazwa kwa nini Mahakama zetu bado zina kigugumizi/uzito wa matumizi ya Lugha yetu ya Kiswahili katika kutoa Haki za Wananchi?
Pamoja na Bunge kufanya marekebisho ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.