UVCCM WAADHIMISHA MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA MADARAKANI KWA KISHINDO
Katibu Mkuu UVCCM Ndg. Kenani Kihongosi, aliongoza Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, tarehe 19/3/2022 katika Uwanja wa Taifa Kahama, Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya...