Na Mwandishi Wetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kina mpango wa kufanya maandamano yasiyo halali Jijini Dar es salaam katika siku za karibuni ambapo kulingana na maelezo ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, maandamano hayo ni kwa ajili ya kupinga vitendo vya utekaji nyara na...