TUWE MAKINI NA HILA ZA MABEBERU, TUSIJEINGIA KINGI
Na, Robert Heriel
Jana nimekumbuka habari za mabeberu na hila zao, nikashtuka sana, nilikaribia kuwa na hofu, Sikujua hofu ile ilisababishwa na nini. Lakini nikiri kusema, akili yangu inaniambia kuwa Mabeberu wapo inchaji mpaka sasa.
Kitabia...