magonjwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Equation x

    Kapu la kuchangia wanaopatwa na magonjwa hatari, yanayohatarisha kuzima uhai wao.

    Binadamu wote ni ndugu, kwa sababu safari yetu ni moja. Kumekuwa na changamoto nyingi za kiafya katika jamii zetu. Kumekuwepo na watu kuugua muda mrefu, na kupelekea kuporomoka kwa uchumi kwa familia husika, na hatimaye kushindwa kumudu gharama za matibabu. Ambayo hupelekea kwa mgonjwa...
  2. Mabula marko

    SoC02 Mabadiliko ya fikra za Vijana katika kujishughulisha na kilimo

    Picha na farming Africa. UTANGULIZI Nchi nyingi katika dunia ya leo hasa zile zinazoendelea zikiwemo nchi za AfriKa hasa katika ukanda wa Sahara ikiwemo Tanzania watu wake hutegemea sana kilimo kama uti wa mgongo wa uchumi wao kutokana na ukweli kwamba watu wake wanakaa katika maeneo ya...
  3. Mabula marko

    SoC02 Kuenea kwa usugu wa vimelea na vimelea sugu vya magonjwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu kupitia matumizi ya mbolea za wanyama katika kilimo

    DIBAJI Katika dunia ya leo ambayo muingiliano wa shughuli za kilimo na maisha ya binadamu vinaongeza utegemeano ongezeko la magonjwa sugu linaongezeka siku hadi siku kutokana na hali kwamba , matumizi ya mbolea kutoka kwa wanyama na biandamu katika kilimo hususani kilimo hai yanaongezeka na...
  4. sky soldier

    Kwanini bangi ikatazwe wakati pombe inaleta madhara pia. Turekebishe Sheria za Kikoloni

    Kama pombe tuijuavyo, inaweza kumfanya mtu ajinyee (mnisamehe kwa luga kali ila imebidi), atapike, azimie (kuzima), kuropoka, kushindwa kujitambua kabisa, hupunguza umakini (rejea mheshimiwa Kitwanga), n.k. licha ya haya yote lakini pombe hii ni halali. Ni utumwa wa fikra huu, tulirithishwa...
  5. Lady Whistledown

    WHO yaonya ongezeko la Magonjwa ya Binadamu kutoka kwa wanyama barani Afrika

    Shirika la Afya Duniani, (WHO) limeonya kuwa Afrika inakabiliwa na hatari ya kuongezeka ya milipuko ya Magonjwa, ambayo huenea kutoka kwa Wanyama hadi kwa Binadamu kwa asilimia 60 kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita Kesi nyingi zimehusisha Virusi vya Ebola, Magonjwa mengine ya Virusi ya Kuvuja...
  6. Tulip22

    Elimu ya magonjwa ya mbwa (LEPTOSPIROSIS) 01

    Habari wa kuu, naomba kushea pamoja nanyi maarifa juu ya ugonjwa wa mbwa ambao hua haupewi kipaombele sana na wafugaji wengi. Lakini unaweza pelekea kupoteza maisha ya mbwa endapo hatua stahiki hazitachukuliwa. Aidha nitakua nikitumia jukwaa hili kushea nanyi taarifa mbali mbali zinazo husu...
  7. Google Diggers

    Wakati wote niliolala na wanawake,wakiwa Lodge Kwenye vyoo vya kukaa hujimwaga tuuuuu bila kujali magonjwa inafedhehesha sana

    Ninaamini wapo wanakanyaga kwenye toilet hizi za kukaa chooni. Somo lahusu maradhi ya ngozi, UTI nk. Wakina mama sijui wenzangu Me wawapo faraghani. Nimeshuhudia partner wangu 30 ama 45 wanafika niliOingia nao maeneo ya kuondoka stress na kupapasana. Kama hivi ndivyo walivyo wote naaapa Ile...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Usipokuwa makini Unaweza pata Mikosi, mabalaa na magonjwa Chooni!

    USIPOKUWA MAKINI UNAWEZA KUPATA MIKOSI, MABALAA NA MAGONJWA YA AJABU CHOONI! Anaandika, Robert Heriel Moja ya dalili ya mtu mwenye akili ni kujua kutofautisha vitu visafi na vichafu, vitakatifu na Najisi. Ikiwa mtu yoyote atashindwa kutofautisha vitu hivyo basi ni kiashiria kuwa ni...
  9. JanguKamaJangu

    Uhusiano wa Ugonjwa wa Selimundu na magonjwa ya Moyo

    SELIMUNDU (sickle cell) ni ugonjwa unaorithiwa kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine, hutokana na tatizo kwenye chembechembe nyekundu za damu. Ugonjwa huu unaendelea kuongezeka hapa nchini kutokana na wazazi wa pande zote mbili kushindwa kupima vinasaba (DNA) kabla ya kuoana au kuzaa. Ikiwa...
  10. Magheahealthcare

    Suluhisho la magonjwa ya viungo na mifupa

    Leo tutazungumzia tatizo linalowapata watu wengi sana pale umri wao unapokuwa umezidi miaka 50 na hasa wale wenye miili mikubwa. Nina uhakika kuwa umewaona akina mama wenye umri mkubwa na miili mikubwa wanavyopata shida kutembea huku wakiinama toka upande mmoja hadi mwingine kila wakipiga hatua...
  11. Lycaon pictus

    Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

    Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe. 1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji. 2...
  12. Dokta Uchwara

    Bila Magufuli tungesalimika magonjwa na chanjo zinazoendelea duniani?

    Bila ungangari wa kile chuma, tusingesalimika na maigizo yanayoendelea duniani ya magonjwa na machanjo ya ajabu ajabu. Mara corona, mara sijui monkeypox, mara nini! Kwa misingi ile ya ungangari aliyoiweka, hata aliyemfuatia anaogopa kufanya jambo la kipuuzi kwa kuhofia kusutwa na wananchi...
  13. Magheahealthcare

    Matibabu ya magonjwa ya mfumo wa uzazi, kisukari, moyo, mifupa, na mmengonyo wa chakula

    Magheahealthcare Dar es Salaam Ilala. Cantact +255 678 211 747 WhatsApp +256 733 482 038 Call/Massage
  14. The Sheriff

    Choo ni Zaidi ya Mahali pa Kuhifadhi Taka

    Uwepo wa miundombinu ya usafi wa mazingira kama vile vyoo unachochea afya kwa sababu vinaruhusu watu kutupa taka zao ipasavyo, kuzuia uchafuzi wa mazingira yao na kupunguza hatari kwao wenyewe na majirani zao. Duniani kote, watu wengi hawana huduma za vyoo, na hivyo kusababisha utupaji usiofaa...
  15. beth

    Wizara ya Afya: Tatizo la Magonjwa yasiyoambukiza linaongezeka

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema katika kipindi cha Julai 2021 - Machi 2022, kumekuwa na ongezeko la watu wanaolazwa kutokana na Magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo Kisukari, Shinikizo la Damu na Saratani Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara kwa Mwaka 2022/23 Bungeni, ametoa Wito kwa...
  16. JanguKamaJangu

    Daktari: Watumiaji wa dawa kuzuia hedhi hatarini kupata magonjwa ya MOYO

    Wataalam wa afya wametoa angalizo kwa wanawake wanaotumia dawa za kuzuia hedhi bila kuzingatia ushauri wa daktari kuwa wako hatarini kupata madhara, yakiwamo maradhi ya moyo. Daktari wa Magonjwa ya Kinamama Hospitali ya Rufani Mkoa wa Njombe, Shomari Masenga ametaja dawa hizo kuwa zimegawanyika...
  17. N

    Nadharia Potofu na Ukweli Juu ya Magonjwa ya Figo

    Wazo Potofu: Magonjwa yote ya figo ni hatari. Ukweli: La, magonjwa yote ya figo si hatari. Yakitambuliwa na kutibiwa mapema, magonjwa mengi ya figo yanaweza kuponywa. Kwa mengi, utambuzi na matibabu hupunguza au kusimamisha kuendelea kwa magonjwa hayo. Wazo Potofu: Hitilafu ya figo huweza...
  18. BigTall

    Jamii imetakiwa kujikinga na magonjwa ya mlipuko

    Jamii imetakiwa kujikinga magonjwa ya mlipuko ikiwepo kufuata miongozo na elimu inayotolewa kwa umma katika kuongeza uelewa na kujenga utayari wa kukabiliana na magonjwa ya mlipuko. Hayo yamesemwa Aprili 15, 2022 na Mratibu wa Elimu kwa Umma na Ushirikishaji Jamii wakati wa dharura Dkt. Tumaini...
  19. Suley2019

    Waziri Ummy Mwalimu azitaka Hospitali za Rufaa kuboresha huduma ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Waziri Ummy Mwalimu amezitaka Hospitali za Rufaa kuboresha huduma ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa Muhimbili, Amesema hospitali za kanda, rufani, mikoa na wilaya huwa wanawahamisha wagonjwa wenye matatizo wanayoweza kuyatibu kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Agizo hilo alilitoa...
  20. Analogia Malenga

    #COVID19 'Lockdown’ za Covid sio suluhu-Kituo cha udhibiti wa magonjwa Afrika(CDC)

    Kirusi kipya cha Omicron kilisababisha ongezeko la maambukiziImage caption: Kirusi kipya cha Omicron kilisababisha ongezeko la maambukizi Kituo cha uchibiti na kuzuwia magonjwa cha Afrika (Africa CDC), kimesema sheria kali ya kukaa nyumbani au ‘lockdown’ sio tena njia bora ya kukabiliana na...
Back
Top Bottom