Zipo mashine tatu za kuchakata maji kuwa safi.
Kila mashine ina uwezo wa kuzalisha lita 250 kwa saa na inatumia mfumo wa coin katika uendeshaji.
Mashine zote zipo katika hali nzuri (used) na zinapatikana Dar es Salaam.
Bei ni TZS 6,000,000 kwa kila moja.
Kwa wateja wa mikoani, tunatuma...