majina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wabongo tumezidi sana kujiita majina ya nje yasiyoendana kabisa

    Mzuka wanajamvi! Hii sasa imezidi kwa wanawake unakuta mdada jina lake Mwanaidi Maguire, Anastasia Shmidt, Scolastica O'brien unabaki kusema tu WTF. Na wala siyo jina la mume. Ukija kwa madume utashangaa Wolfgang Petersen, Melkizedek Mendez, Sospeter D'Angelo, Obadiah Van Basten, Eliasante...
  2. Slowly

    Haya ndo majina ya viongozi wa Africa

    Majina konki Sana , binafs nimeyaelewa😋
  3. Stuxnet

    Tubadili majina ya Daraja la Mfugale na Kijazi

    Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga. Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International...
  4. T

    Kwanini tunahoji uraia wa Watanzania wenye majina ya asili ya Burundi/Rwanda na si nchi nyingine?

    Kumekuwa na tabia ya kuhoji uraia wa Watanzania wenye majina yanayofanana na ya nchi za Rwanda na Burundi, kwanini hatuhoji uraia wa watu wenye majina yanayofanana na Wajaluo wa Kenya au Wamakonde wa Msumbiji, au Wamalawi, Zambia au majina ya Kiarabu na Kizungu? Hapa napata uelewa kwanini...
  5. Nyankurungu2020

    Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

    1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala 2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa. 3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka. 4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula. 5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba 6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba. Mdau na wewe...
  6. J

    Baada ya Mzee Kikwete kusema yeye binafsi ndio aliteua yale majina 5 ya wagombea Urais 2015, nimekubaliana na demokrasia ya CHADEMA

    JK amesema kuna watu waongo wanavumisha kwamba yeye hampendi Hayati Magufuli hiyi si kweli kwa sababu yeye ndio aliliweka jina lake kuwa namba 1 kati ya 5! Kikwete amesema alipokea majina 38 ya waombaji wa urais na yeye binafsi akayapitia na kupata orodha ya majina 5 ambayo aliyapeleka kamati...
  7. Erythrocyte

    Uchaguzi BAWACHA: Majina ya waliorejesha fomu za kugombea uongozi haya hapa

  8. TheDreamer Thebeliever

    Wajuaji naomba kufahamu je board ya engineering inaundwa na majina gani?

    Habari wadau! Nilikuwa nataka kujua je board ya wahandisi au engineering (ERB) inaumdwa na watu wangapi na majina yao kama yapo..! Je yule mzee Dokta wa Civil engineering pale Kilimani mwenye kuingia na camera kama camera man ili ukicheat tu anakupiga picha anaposimamia mithiani yupo kwenye...
  9. J

    CHADEMA ijifunze kwa ACT wazalendo namna ya kutuma majina ya wateule "wapendekezwa" kwa wakati bila mizengwe!

    Fikiria kwa mfano Chadema itakiwe kupendekeza jina la mtu mmoja atakayeingia katika baraza la mawaziri kama waziri, hakika hekaheka na majungu yanaweza kutamalaki. Tumeona namna walivyoshindwa kutoa ushirikiano wa kukipata " kikundi" cha wabunge 19 wa viti maalumu na tukasikia tu watu...
  10. M

    Utoaji Majina ya Viongozi katika Miundombinu ya nchi kusiwe ni kwa Mihemko, Unafiki, Ushkaji na Kukurupuka

    Na All - Rounder nawaombeni enyi Watoa Majina Siku zingine kabla ya kutoa Majina ya Watendaji wenu au Wanasiasa muwe mnatuambia Kwanza Watanzania ni nini au kipi cha maana na chenye Tija kwa nchi na Jamii hao (hawa) Wahusika wamekifanya na Kinaonekana. Nami naomba Mradi wa Umeme Rufiji au ule...
  11. R

    Msaada wa simu kufuta majina

    Simu inafuta majina (saved names). Je, hii inasababishwa na nini?
  12. Kiminyio 01

    Majina ya hawa wasanii katika nyimbo hii..

    Wakuu kupitia nlivyoandika kuna mwenye idea ya hiyo nyimbo nimeshindwa kuiandika vyema nimeikutia mwishoni,sifahamu hasa namna ya kuiimba Am so soulaa enheee,shwai issh Manish ndolee,tikiittk mandole tikiitk mandole am so soulaa ehh wishu badnlldole ...
  13. R

    Majina ya Mods wa JF

    Mbona wana majina ya "ajabu" ajabu kama ya wateja wao? Wao si inabidi wajulikane wapokee maoni/malalamiko kwa majina halisi maana wao si wachangiaji wanapkuwa kazini au vipi. Kama Maxence Melo ni jina halisi! Boqin Wand Active Diversity Panel Moderator etc etc
  14. Prisonerx

    Sijaona umuhimu wa sekretarieti ya ajira kurudia majina ya waliopata kazi katika matangazo mapya ya kazi

    Niende moja kwa moja kwa mada. Inasikitisha na ni fedheha kwa taasisi kubwa ambayo iko chini ya ofisi ya Raisi kuwaongopea/ kuwahadaa watanzania katika kutenda haki katika kutoa ajira kwa Watoto wa maskini pasipo kuwa na ukiritimba wa namna yoyote. Leo nilikuwa nikipitia tovoti ya Sekretarieti...
  15. Nafaka

    Mwenye kufahamu majina ya hawa samaki wa ziwa Tanganyika naomba anisaidie

  16. Red Giant

    Hebu sema jinsi kabila lenu linavyoharibu majina ya watu.

    Kuna makabila yamebobea katika kuharibu majina ya watu. Leo nimekumbuka William kuitwa Wile.
  17. Kingsmann

    Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    Kupitia akaunti yake ya Twitter, Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje, Mike Pompeo ameandika "Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo, tunaweka vizuizi vya visa kwa wale wanaohusika na uvurugaji wa uchaguzi nchini Tanzania. Tunabaki kujitolea kufanya kazi pamoja kuendeleza...
  18. Elisha Sarikiel

    Taarifa ya majina 300 waliopata ufadhili wa masomo ya Uzamili kwa mwaka 2020/2021

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, anawatangazia watumishi walioomba ufadhili wa masomo ya Uzamili kwa mwaka wa masomo 2020/2021 kuwa zoezi la uchaguzi limekamilika. Jumla ya watumishi 300 wamechaguliwa kupata ufadhili kwa mwaka 2020/2021, ufadhili huu...
  19. MALCOM LUMUMBA

    Hivi kwanini tunawabadilisha watoto wetu majina asilia baada ya ubatizo au kubadili dini?

    Wasalaam, Hivi kwanini mtoto alizaliwa anaitwa Mkwavinyika lakini baada ya kufanyiwa ubatizo anaanza kuitwa Paulo. Au mtu alizaliwa anaitwa Mushaija lakini baada ya kutaka kumuoa Maiumuna anasilimu na kuanza kuitwa Juma. Sasa nataka kufahamu haya yote yanatokana na nini: Je, majina yetu asilia...
Back
Top Bottom