maombi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    RC Chalamila, Umeshindwa kujifunza kwa Paul Makonda na Petro Magoti?

    Hivi ni wewe ULIKUWA Kagera wakati wa tetemeko la ardhi wakati ule...naomba nikumbushwe, sikumbuki kama tayari ULIKUWA siasani. Ukaenda Kagera dege la precision likaanguka pale kwenye maji, palikuwa na uchelewaji mkubwa wa kuokoa majeruhi na Vifo (ndipo walipozaliwa nyota wapya kina Majaliwa)...
  2. matunduizi

    Ujue Mtazamo wa maombi kwa mkristo ambao utakufanya uwe mchapakazi na mtu wa vitendo vingi

    Isaya 65:24 Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; Sio kila kitu unatakiwa kuomba. Vingi unatakiwa kuamini unavyo, hivyo unaanza kutenda kwa msingi kuwa kabla hujaviomba Mungu ameshakujibu tayari. Kwa hiyo, mfano ukitaka nyumba, badala ya kukesha na kufunga anza kuhulizia bei ya...
  3. zabron k

    Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

    Habar ya leo, Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali. Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni maneno hayo na Mimi mwenyewe sijawahi kufanya lakini natumaini had naacha ajira nitakuwa nimejifinza...
  4. Waufukweni

    Harmonize abadili dini na kuwa Mkristo? akutana na Pastor Tony Kapola nakufanyiwa maombi

    Wakuu, Rajab Abdul Kahali maarufu Harmonize amepanda Madhabahuni na kupigwa maombi na Pastor Tony Kapola === Harmonize afanyiwa maombi na Pastor Tony Kapola sikuche baada kuonyesha kuvutiwa na mtazamo wa mtumishi huyo wa Mungu na kuandika, "Nataka nione kile ambacho Mungu ataniambia!!"...
  5. Magical power

    Maombi ya usiku

    Tunasema, asante tena kwa majira haya ya usiku. Bwana uliyagawa majira na nyakati kwa ilivyokupendeza nasi tuyafurahia majira haya katika utukufu usioringanishwa na chochote. Asante kwa wakati wa kutwa zima ya leo. Bwana tunaomba ulinzi utokao kwako katika majira haya ya usiku tena. Tulale...
  6. Magical power

    Maombi ya asubuhi ya Baraka Njema

    Tunakushukru Eee Mungu Baba kwa pendo lako kuu umetulinda na hatari zote za mwili na roho tumeamka salama tunazo changamoto ndani mwetu kwasababu sisi ni wahitaji Bwana Tunaomba ututendee wema wako sisi wahitaji katika maeneo yetu ya uhitaji wetu Eee Bwana Tutakapoyakabili majukumu basi...
  7. Magical power

    Maombi ya usiku wa manane kufunguliwa milango yako ya baraka usiku huu ikafunguke🙏🏽

    Eee Bwana ni usiku tena asante kwa neema hii. Tuliikabili siku kwa juhudi zetu huku tukiwa na tumaini ndani mwetu. Yawezekana haikuwa vile tulivyotarajia yawezekana haikuwa fungu letu kesho inaweza kuwa vile tulivyotami leo Bwana wakati mwingine hili nililopitia leo ni kwasababu ya...
  8. Magical power

    Saa nane usiku nitakua na maombi ya kufunguliwa unahitaji nikuombee nini Mungu afanye kwako

    Saa nane usiku nitakua na maombi ya kufunguliwa unahitaji nikuombee nini mungu afanye kwako.🙏❤️
  9. Ancient Resident

    Maombi ya kujengewa uwanja wa Basketball Toangoma wilaya ya Temeke

    Ndugu zangu nimekuwa nikiwaza ni jinsi gani ntaweza kusaidia kujenga uwanja wa BASKETBALL mtaani kwangu kwa muda mrefu sasa, sina kiasi cha pesa cha kutosheleza kwasababu mimi pia ni mwanaharakati wa hapa na pale ili nipate kula. Katika kukaa na kutafakari nkagundua kwamba naweza nikakutana na...
  10. matunduizi

    Kwanini bado usipuuze Maombi?

    Bado maombi yana nguvu. Puuza wanaopuuza maombi. Maombi Yanaweza kugeuza maamuzi ya Serikali na viongozi wakubwa wa nchi. Mfalme wa Iran Koreshi, Altashasta na Dario walijikuta wanaendeshwa na maombi ya wakina Danieli, Nehemia, Ezra licha ya ukatili wao. Maombi yalimtoa Petro Gerezani. Maombi...
  11. K

    Leo nalala nyumbani kwa Ex wangu,nahitaji maombi yenu wakuu.

    She my ex girlfriend for last five years. Well katika hizi hustle za maisha nimejikuta leo niko mji anaoishi.ktk blah blah za chattings za hapa na pale leo natakiwa kulala kwake while her boy is currently huko new York kwenye mambo yao ya diplomatic mission cos the guy is working with one of...
  12. mtwa mkulu

    Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

    Ndugu watanzania kupitia Uzi huu nitakuwa Kila siku Alfajiri ninatuma mstari maalumu wa maombi Kwa wale waombaji wa asubuhi. Ufunguapo Uzi huu kuanzia saa nane kamili usiku utakutana na maneno yatakayokuongoza na kuchochea nguvu ya maombi. MSTARI WA KUSIMAMIA Zaburi 90:14 "...
  13. Msaga_sumu

    Maombi ya kazi

    Ndugu zangu habari na heshima kwenu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, mkazi wa Dar es Salaam, kwa sasa najishughulisha na kazi ya ufreelancer katika kampuni moja malipo ni kwa commission, pia najihusisha na vishughuli vya hapa na pale kujipatia chochote kitu ikiwa pamoja na udalali wa...
  14. ward41

    Kuna maombi ulimwenguni kote kuliombea taifa la Israel (pray for Israel)

    Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱 Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱. Nini maana yake? Israel ni taifa ni...
  15. Kidagaa kimemwozea

    Mitandao ya simu iongeze umakini katika maombi ya ku recover password

    Nimeona malalamiko ya Wadau wakilalamika password zao zilibadilishwa muda mchache baada ya kuibiwa simu zao na fedha kutolewa kwenye account. Huenda mitandao ya simu hukubali maombi ya kubadilisha password kwa namna dhaifu na matapeli kutumia mwanya huo kuomba kubadilishiwa password na kuweza...
  16. Gulio Tanzania

    Anza utaratibu wa kufanya maombi asubuhi alfajiri utajibiwa haraka sana

    Bwana wetu Yesu anasema yeye ndiye mzabibu wa kweli na baba yake ndiye mkulima na sisi ni matawi pasipo yeye sisi hatuwezi kufanya neno lolote. Yohana 15 Kwako wewe Kama ambaye unakutana changamoto za kiuchumi na magonjwa nk anza sasa kumtafuta Bwana Yesu katika mida hii ya kuanzia mida hii...
  17. Waufukweni

    Muandamanaji wa Kike adakwa na Polisi Magomeni akifanya maombi

    Tukio la mmoja ya waandamanaji wa kike ambaye jina lake halijafahamika, akamatwa na Polisi alipokuwa akifanya maombi, eneo la Magomeni, jijini Dar es Salaam. Septemba 11, 2024 Mwenyekiti wa Chadema, Mbowe alitangaza kufanyika maandamano ya kulaani matukio ya watu kutekwa na kuuawa, akiwemo...
  18. M

    Maombi ya mikopo ya elimu ya juu

    Tunaomba bodi ya mikopo ituangalie kwa jicho la tatu ambao hatukufanikiwa kukamilisha kuwasilisha nyaraka zote za muhimu kwenye maombi ya mikopo Hata kama muda wa maombi umeisha au watakao kosa kabisa basi mwezi wa kumi lifunguliwe dirisha jingine
  19. L

    Paul Makonda Afanyiwa Maombi Na Mtume Boniface Mwamposa.Atahadharisha Walaghai wanaotumia Neno La Mungu Kuwarubuni Watu.

    Ndugu zangu Watanzania, Mkuu wa Mkoa Wa Arusha Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara .Amefanyiwa Maombi Na Mtumishi wa Mungu Mtume Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka Uangaze. Ambapo Mwamba huyo na jabali La siasa hapa Nchini na ambaye...
  20. S

    Maombi hayatuepushi na mabaya

    Ndugu zangu wanaJamiiForums habari? Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia. Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa...
Back
Top Bottom