marketing

  1. Michaelchilleh

    Naomba ushauri kuhusu kusoma Marketing Management ni chuo gani kizuri apa Dar es Salaam?

    Naomba ushauri kuhusu kusoma Marketing Management ni chuo gani kizuri apa Dar es Salaam kwa hiyo course
  2. I

    Hivi nikifungua digital marketing agency hapa Dar es Salaam, clients wapo?

    Habarini wakuu Mimi ni mjuzi mzuri wa masuala ya digital marketing haswaa. Ila nimekua nikijikita kwenye ishu nyingine kwa muda mrefu sasa ukiachana na hizi mambo za marketing. Sasa nimeona ni muda muafaka wa mimi kutumia ujuzi huu nilionao kuniingizia kipato zaidi. Je nikifungua digital...
  3. Jamii Opportunities

    Marketing Officers at Telesecurity Co. Ltd

    Marketing Officers TELESECURITY COMPANY LIMITED is among the leading Local Security Companies, established in the early 2001, The company is based in Dar es salaam with Operational Branches in more than ten regions in Tanzania including Dodoma, Mwanza, Kigoma, Kilimanjaro, Morogoro, Mtwara...
  4. Mtuflani Official

    Tanzania Breweries (TBL) na ubaguzi wa kutoa dili za marketing kwa wasanii wa Arusha pekee

    Matangazo mengi ya beer za TBL wanapewa watu wa Arusha. Hii kitu imekua inaendelea kwa muda sasa. Castle Lite wanawapo deals Weusi (wasanii kutoka Arusha). G-nako alifanya nyimbo kufanya promotion ya beer ya Kilimanjaro na pia alipewa ubalozi wa beer ya Kilimanjaro. Castle Lite Unlocks ya South...
  5. Pascal Mayalla

    Licha ya kufanya makubwa Tanzania, kampuni ya mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, yaahidi kufanya zaidi na zaidi!

    Wanabodi, Naomba nianze na facts: 1. Japo Tanzania, tangu tupate uhuru, tuna miradi mingi mikubwa ya uwezekazi iliyoanzishwa, na kuna makampuni mengi yamewekeza Tanzania, hakuna uwekezaji wowote mkubwa, zaidi ya uwekezaji wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies, kupitia mradi wake wa bomba la...
  6. Pascal Mayalla

    Serikali Yaipongeza TotalEnergies Marketing Tanzania Limited Kwa Uwekezaji Mkubwa, Kujenga Uwezo wa Technology Transfer, na Kutoa Ajira Kwa Watanzania

    Serikali imeipongeza Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies, kwa kuunga mkono juhudi za Tanzania kujenga Tanzania ya viwanda kwa kujenga viwanda, kutoa ajira, na kuleta teknolojia kwa Watanzania, ambapo kabla ya ujenzi wa kiwanda cha vilainishi, Tanzania ilikuwa ina aagiza lubricants kwasababu...
  7. JOHNGERVAS

    Naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS

    Habari wakuu naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS. Nataka nijiunga na huduma hiyo. so natka kufahamu vigezo, Company nzuri zinazofanya pamoja na gharama zake. nitashukuru
  8. Jamii Opportunities

    Head of Marketing at School of St. Jude

    Head of Marketing Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Do you love creating engaging and successful content for a good cause? Are you passionate about fundraising? Do you have experience leading a team? Does it sound like we’re talking about you… Keep reading...
  9. MrMaro

    Natafuta kazi ya marketing/ afisa mikopo/ procurement

    Habari wakuu, Mimi ni Kijana wa kitanzania Mwenye umri wa miaka 29. Banda ya kumaliza kidato cha nne nilijiunga na chuo cha utumishi wa umma TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE, TABORA CAMPUS. Nilisoma kozi ya Ugavi na manunuzi kwa ngazi ya diploma Lakini kutokana na changamoto za kifamilia...
  10. Online Pro

    Nafundisha na Kutengeneza Proffesional CV, Proposal, Presentation & Digital Marketing (SEO, Affiliate Marketing)

    Habari, Kwa yeyote anaehitaji/ unamfahamu anahitaji huduma ya kujifunza au kutengeneza Profesisional Business Pieces(Documents), CV-Curriculum Vitae, Proposal, Presentation & huduma za Digital Marketing. Tuwasiliane kwa namba: +255 688 372 118
  11. Leak

    Watu wa marketing / matangazo mnawaonaje wenzenu wa huyu mzungu wa upeno ,imani na miujiza?

    Hivi hawa watu walikuwa wana bandika mabango muda gani na matangazo yao? Wataalam wa matangazo na masoko mnawazungumziaje hawa jamaa waliofanikisha kutandaza vipeperushi dar nzima? Hawa watu wanafananaje? ni kampuni iliyopewa tenda Kila unayemuuliza kuhusu haya mabango na watu walio bandika...
  12. The Assassin

    Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

    Rais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, anachukua nafasi ya marehemu Elias Kwandikwa Dkt. Ashatu Kijaji ameteuliwa kuwa...
  13. Jamii Opportunities

    Trade Marketing Manager at Kilombero Sugar Company Limited

    Overview Kilombero Sugar Company Limited, the largest producer of sugar in Tanzania operating cohesively with Illovo Distillers Tanzania Limited (IDTL) and a member of Illovo Sugar Africa Limited (Africa's largest sugar producer) The Company now invites applicants who are self-motivated...
  14. A

    Fahamu siri kubwa na faida ya DIGITAL MARKETING katika biashara yako

    MASOKO YA KIDIGITAL I(digital marketing) ni nini? MASOKO KWA NJIA YA KIDIGITALI ni matumizi ya mtandao yaliyoanza kuibuka kuanzia miaka ya 90 mpaka 2000 yaliyokuwa na lengo la kuendeleza shughuli za kunadi masoko kwa uuzaji bidhaa mitandaoni/ na services (shughuli) kwa kutumia vifaa vya...
  15. Master Kutu

    Sales And Marketing Officers are Needed

    We are seeking creative, driven, and energetic marketing officers to become part of our growing marketing team. Candidates should have previous marketing experience in creating effective brand strategies and advertising campaigns, as well as an eye for detail and design. Marketing Officer...
  16. Jamii Opportunities

    Sales and Marketing Freelancer at SEiFSON AFRiCOLLA

    Sales and Marketing Freelancer Position: Sales and Marketing Freelancer Seifson Africolla RESPONSIBILITIES Make sure our brand services are top of mind in terms of both sales and visibility by establishing contact and developing fruitful relationships with clients. Create a data base for...
  17. jamii01

    Nafasi za mauzo

    Naomba niwatumie kama nilivyoipokea. Location: Mwanza Singida Geita Shinyanga Kagera Tabora Simiyu Kigoma Mara Qaulifications. Diploma in Sales, Marketing,Business Administration,Business Management,Supply chain,Accountancy, etc and recognised by Nacte. Valid Draving Licence( not necessary)...
  18. Joackim Joseph

    Uwekezaji Tanzania kupitia Online Marketing

    Karibu wana JF tupeane mawazo ya kuwekeza katika online marketing mfano kuwengeneza website kama jumia kupatana facebook twitter youtube whatsapp halloapp Tuwe na sisi na vya kwetu sio kutegemea vya wenzetu. Karibu tujadiri kwa undani. Natanguliza shukurani.
  19. Ndengaso

    Opportunity for Sales and Marketing Executives Gardaworld Mwanza Branch - 3 Positions.

    Job Summary The Sales and Marketing Executive is tasked with promoting, selling, securing orders from existing and prospective clients within the assigned branch/territory in line with agreed set targets and ensures client retention. Minimum Qualification: Diploma Experience Level: Executive...
Back
Top Bottom