marketing

  1. Tembele

    Internship Opportunity Marketing Officer

    INTERNSHIP OPPORTUNITY Position: Assistant Marketing Officer ECOACT Tanzania, is a social enterprise based in Tegeta DSM, Our core business is transforming plastic garbage to manufacture plastic timbers used for building, construction as well as furniture making. Requirements: a) Diploma/...
  2. B

    Mtu marketing kwa ajili ya biashara ya utalii anahitajika

    tuko katika mkakati wa kutengeneza na kukuza brand yetu mtu wa masoko ni muhimu hivyo basi kama unadhani ww ni mbunifu, mchapakazi ,unafikiri nje ya box , tuambie kwanini ni ww na si mwingine kwa maneno machache tupe pia uzoefu na ujuzi wako kwa kifupi
  3. OLS

    Niliona/nauona udhaifu mkubwa kwenye mifuko ya Serikali na namna yao ya kuwafikia walengwa

    Kwanza nikiri nilikuwa naifahamu mifuko michache ya Serikali, ambayo pia walengwa wengi hawakuwa wakiifahamu. Jana nimemsikia Rais akisema mifuko ipo 18. Aisee ni mingi na ingekwenda sawa basi tungeona tija ya kila mfuko. Awali niliwahi kumuuliza Afisa Vijana wa Morogoro kuwa wanatumia njia...
  4. S

    Wataalam wa marketing. Je, Bidhaa ipi inayouza sana instagram?

    Nataka kufahamu nikitaka kufanya biashara kwa kutumia Instagram. Je ni bidhaa ipi inayouza sana? Wanasema vitu wanavyopenda wanawake ndio vina wateja sana. Wengine wanasema watu wa maofisini (mashefa) ndio wanunuzi wazuri mitandaoni. Ningependa kujua bidhaa moja (niche) nayoweza kuuza kwa...
  5. P

    Marketing & Sales Manager

    JOB DESCRIPTION MARKETING & SALES MANAGER (10) Brief description: The position of marketing &sales manager consists of directing the actual distribution or movement of a product or service to the customer, coordinating sales distribution by establishing sales territories, quotas, and...
  6. B

    Unahitaji Proposal, Business Plan na Marketing Research?

    Kwa wale wanaohitaji business plan, proposal na research, tafadhali wasiliana nami at humble2080@gmail.com. Ninatengeneza vitu tajwa hapo juu kwa ubora wa hali ya juu sana. Bei za vitu hivyo zinatofautiana na ni makubaliano baina yetu. Karibuni inbox au ktk email tajwa hapo.
  7. Jamii Opportunities

    Marketing and Administrative Assistant at SALHAP Company Ltd

    Position: Marketing and Administrative Assistant Overview SALHAP COMPANY LIMITED is a professional facilities management company based in Dar es Salaam Tanzania. The company intends to hire a Marketing and Administrative Assistant. Job Description Identify potential customers and market the...
  8. Jamii Opportunities

    Digital Marketing interns at Abel & Fernandes Communications

    Vacancy title: 84 Digital Marketing Interns Abel & Fernandes Communications Job Description We are looking for an enthusiastic, fast-learning digital marketing intern to join our growing team helping our clients achieve great results through effective digital marketing campaigns. You should be...
  9. Jamii Opportunities

    Sales and Marketing Assistant at Pyxus International - Dodoma

    Sales and Marketing Assistant Company: Pyxus International, of which Pyxus Agriculture Tanzania Limited (PAT) is a subsidiary, is a global agricultural company united behind a common purpose – to transform people’s lives so that together we can grow a better world. With 145 years’ experience...
  10. Jamii Opportunities

    Logistics & Marketing Coordinator at Pyxus International - Tabora

    Logistics & Marketing Coordinator Company: Pyxus International, of which Pyxus Agriculture Tanzania Limited (PAT) is a subsidiary, is a global agricultural company united behind a common purpose – to transform people’s lives so that together we can grow a better world. With 145 years’...
  11. Digital base

    Nahitaji Msimamizi na Marketing Officers wa kujitolea watakaowezesha kampuni yetu mpya kukua

    Habari ya leo wakuu,mimi ni mmiliki mwenza wa kampuni ya Jerusalem Company Limited iliyopo jijini Mbeya inayo jihusisha na mambo ya usafi wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufua nguo kwa Laundry and Dry Cleaner machine lakini pia usafi maofisini,usafi majumbani, usafi viwandani, usafi ulio...
  12. mayowela

    Marketing officers at WASSHA

    20+ Job Opportunities at WASSHA Inc, Marketing Officers Marketing Officers 20+ Position: Marketing Officers REPORT TO: Group Leader Location: Simiyu, Kilimanjaro, Kigoma, Iringa, Songwe, Katavi, Dodoma, Mtwara, Manyara, Singida, Shinyanga, Tabora, Njombe, Rukwa, Lindi, Songea, Kagera, Mwanza...
  13. T

    Natafuta Mtaalamu wa Digital Marketing

    Hello wadau, Natafuta mtaalamu mwenye uwezo wa kutengeneza na kuchanganya high quality graphics na videos kwa ajili ya marketing. Sifa: 1.) Awe na ujuzi wa kutengeneza na kuchanganya sauti, video na graphics kwa kiwango cha juu. 2.) Ajue kiingereza na kiswahili vizuri sana, kuongea na...
  14. Cvez

    Hakuna watu wanajiona ni mafighter kama hawa wa Networking Marketing

    Hawa jamaa wa forever, Qnet, Global Alliance na jamii hizo hasa hasa wale newbie. Financial education wao ndio wameimaster, kuona wengine hawajielewi ndio wao, health experts pia wao, top class wajasiriamali ndio wao kumbe masikini ya Mungu wao ni sales people wa kampuni husika..
  15. Mukulu wa Bakulu

    AIM Global, Qnet, Forever Living, One Coin, GNLD na wengine mbadili mbinu za utapeli, hii ya utajiri ndani ya siku 2 imepitwa na wakati

    Huu ni ushauri wa bure. Haya makampuni ya fursa hebu wajitahidi kubadili mbinu za kutapeli watu. Hii ya kutajirika ndani ya siku 2 imepitwa na wakati. Qnet acheni kukodi magari ya watu na kujifanya ni yenu. Na visimu vya Iphone 6 Iphone 8. Badilini mbinu basi. Kupiga picha na selfie kwenye...
  16. Prodigy Oligarchy

    Hiring Marketing Manager

    Job brief If you live and breathe marketing, we need to talk. We’re looking for a flexible and versatile marketer who will be responsible for the growth of our inbound sales channels. Marketing manager responsibilities include tracking and analyzing the performance of advertising campaigns...
  17. Titicomb

    Kwanini muziki wa sasa haunogi wala hauuziki bila ngono?

    Nimejadili sababu za kibiashara na za kisayansi ya akili na saikolojia ya binadamu. Pamoja na ombi hili naomba kukiri nimeanzisha thread hii kutokana na mjadala nilio taja awali. Nimejaribu pia kugusia kwanini wanafunzi kule Mbeya walichoma moto shule sababu ya kuzuiwa kutumia simu shuleni...
  18. M

    Dada mwenye uzoefu wa kufanya sales, marketing na customer care anahitaji katika shule ya udereva

    Sifa: 1. Uwezo mzuri sana katika masoko, mauzo na huduma kwa wateja 2. Awe tayari kufika kazini kabla ya saa 12:30 asubuhi na kuondoka saa 12:00 jioni kwa Jumatatu mpaka Ijumaa na kuanzia saa 1:30 asubuhi mpaka saa 12:00 jioni kwa Jumamosi 3. Awe tayari kufanya kazi yenye matokeo chini ya...
  19. P

    Employment opportunity

    Kyando Book Publishers & Co. Limited is a private limited company, duly incorporated in the United Republic of Tanzania in 2018; among others with the objectives of carrying on the business of Publishing, graphic designing, coordinating events and supplies in Tanzania and the rest...
  20. I

    Nafasi ya kazi Open University of Tanzania - Marketing Officer II

    JOB TITLE: MARKETING OFFICER II - 1 POST JOB CATEGORY(S): MARKETING,MEDIA AND BRAND EMPLOYER: Open University of Tanzania - OUT APPLICATION DEADLINE: February 24, 2020 VIEW & APPLY
Back
Top Bottom